Hawa ndio magaidi wa Hamas waliouawa kwenye shule huko Gaza

Hawa ndio magaidi wa Hamas waliouawa kwenye shule huko Gaza

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2018
Posts
8,082
Reaction score
17,838
20240811_093511.jpg

Hiyo hapo juu ni orodha na picha ya Magaidi 19 ya Hamas na Islamic Jihad yaliouwawa na Airstrike ya Jeshi teule tukufu la IDF yakiwa yamejificha shuleni wakidhani yatakuwa salama.

Pia soma: LIVE - Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Inasemekana maisha ya kujificha kwenye mahandaki ardhini kama panya. yamekuwa magumu yameamua kuibuka nje. Na wapalestina wazalendo wanawachomea kwa wateule. Mungu awabariki hawa wapalestina wazalendo anawasaidia Mossad na Shin Bet na intelejensia.

Imaam Hussein Ibn Ali A.S FOREVER
 
View attachment 3066568
Hiyo hapo juu ni orodha na picha ya Magaidi 19 ya Hamas na Islamic Jihad yaliouwawa na Airstrike ya Jeshi teule tukufu la IDF yakiwa yamejificha shuleni wakidhani yatakuwa salama.

Inasemekana maisha ya kujificha kwenye mahandaki ardhini kama panya. yamekuwa magumu yameamua kuibuka nje. Na wapalestina wazalendo wanawachomea kwa wateule. Mungu awabariki hawa wapalestina wazalendo anawasaidia Mossad na Shin Bet na intelejensia.

Imaam Hussein Ibn Ali A.S FOREVER
LINI TENA IMETOKEA HII?
 
View attachment 3066568
Hiyo hapo juu ni orodha na picha ya Magaidi 19 ya Hamas na Islamic Jihad yaliouwawa na Airstrike ya Jeshi teule tukufu la IDF yakiwa yamejificha shuleni wakidhani yatakuwa salama.

Inasemekana maisha ya kujificha kwenye mahandaki ardhini kama panya. yamekuwa magumu yameamua kuibuka nje. Na wapalestina wazalendo wanawachomea kwa wateule. Mungu awabariki hawa wapalestina wazalendo anawasaidia Mossad na Shin Bet na intelejensia.

Imaam Hussein Ibn Ali A.S FOREVER

Picha za watu kuuliwa zinakuwa hivyo?
Onesha picha za watoto na wanawake waliouliwa kweli.

Wajinga ndiyo waliwao.

Mmejazwa ujinga ukawajaa.
 
From the River to the Sea...
Someni mambo ya nyakati ninyi watu, mko Brain washed sana na Propaganda za Mzionist...
Damu ya watanzania wawili wakulima namba moja waliouwawa kikatili na haya magaidi inazidi kulipiza kisasi.

Rest in peace our lovely brothers Joshua Mollel and Clemence Mtenga.
 
Damu ya watanzania wawili wakulima namba moja waliouwawa kikatili na haya magaidi inazidi kulipiza kisasi.

Rest in peace our lovely brothers Joshua Mollel and Clemence Mtenga.
Unalijua lengo la Hamas kukua hadi kujiimarisha kwake lilikuwa lipi?, pamoja na intelligence kali ya MOSSAD, unanambia hawakuwa na taarifa za October 7?, amka usingizini ww!
Nukuu; "From river to the sea"
 
Usichoelewa ni kuwa, huu ni mwanzo wa mwisho wa mazayuni kuikalia nchi ya watu. Hata ANC afrika Kusini waliitwa magaidi na wakauliwa Waafrika wengi sana, mwisho wa siku, sasa wanaongoza nchi yao kwa raha zao.
uwongo ulioaminishwa ambao kamwe hautotimia🤣😂
 
Back
Top Bottom