Hawa ndio magaidi wa Hamas waliouawa kwenye shule huko Gaza

Hawa ndio magaidi wa Hamas waliouawa kwenye shule huko Gaza

Ndio maana nasema na huyo kamanda wa israel kaeleza vizuri nini chanzo cha ugomvi
Na kuifananisha serikali ya israel navya hitler
Ingawa imemgharimu nafasi yake ya kuwa mkuu wa majeshi lakini amesimamia ukweli
kuchukua ardhi ya mtu kimabavu na kuuwa wapalestina na kuwakamata na kuwatesa bila ya sababu kila siku huo ni ukatili na wamefanyiwa hivi kwa miaka 50 iliyopita
Huyu kamanda ambaye amerisk maisha yake vitani akiipigania israel huku akipendekezwa kuwa mkuu wa majeshi anajua mambo mengi na ya siri kuliko wewe mkristo wa mbwinde lakini hakusita kusema ukweli
Hakuna sehem ardhi ina wenyewe wewe. Hii dunia ni survive of the fittest mzee. Hata waarabu kasikazin mwa Africa waliua weusi na sasa wanaishi wao. Na ndicho wanachofanya hapo Darfur. Popote anaposema ni pa watu flan sio kwao ni kuwa wazee walipapenda wakaweka maskan sio kwao
 
Hakuna sehem ardhi ina wenyewe wewe. Hii dunia ni survive of the fittest mzee. Hata waarabu kasikazin mwa Africa waliua weusi na sasa wanaishi wao. Na ndicho wanachofanya hapo Darfur. Popote anaposema ni pa watu flan sio kwao ni kuwa wazee walipapenda wakaweka maskan sio kwao
Reality ipo hivyo ila kwa jamii inayojidai imeestarabika na inapigia kelele wengine kuhusu haki za binaadamu haipswi kuwa hivyo ,ndio maana kupunguza mambo haya tunaweka makubaliano ya kimataifa ya mipaka, na kujustify kuua mamilioni ya watu mtu yoyote mwenye akili timamu na mpenda haki hawezi kuunga mkono irrespective of religion or race
 
Hakuna sera mbaya wewe. Ishu ni kuwa waarabu walitaka wawe na taifa lao na wayahud vivyo hivyo. Ndio ushindan ukatokea na wayahud mwanzon walikuwa tayari kugawana nchi ziwe mbili waarabu wakakataa ndio tatizo limekuwa mpaka leo.
Pale waarabu walipokataa ilikuwa kosa kubwa kwa sababu kupata yote ni ngumu na unaweza kuishia kukosa yote
 
Reality ipo hivyo ila kwa jamii inayojidai imeestarabika na inapigia kelele wengine kuhusu haki za binaadamu haipswi kuwa hivyo ,ndio maana kupunguza mambo haya tunaweka makubaliano ya kimataifa ya mipaka, na kujustify kuua mamilioni ya watu mtu yoyote mwenye akili timamu na mpenda haki hawezi kuunga mkono irrespective of religion or race
Huo ustaarabu unaousema ni hapo kwenye TV kaka. Dunia yote inaendeshwa kimafia na wanaoiendesha hii dunia wako nje ya ufahamu wetu. Tuko nao lakin wao ndio waamuz wa maisha yetu. Mfano hata kanisani au msikitin. Kile anachosema imamu au padre akiwa pale mbele sivyo alivyo nyuma ya pazia.
 
Back
Top Bottom