Hawa ndio magaidi wa Hamas waliouawa kwenye shule huko Gaza

Hawa ndio magaidi wa Hamas waliouawa kwenye shule huko Gaza

Una halki ya kufikiri vyovyote upendavyo, mradi ujiwekee akiba ya maneno tu, usiyamalize yote.

Waswahili tunasema "akutukanae hakuchagulii tusi".
Iran walisema jamaa aliuawa na mwanaume mwenzie kwenye chumba kimoja, hatujui walikuwa wanafanya nini, mimi mwanaume mwenzangu siwezi kumuruhusu aingie hata kwenye chumba cha hotel nilichopanga, kwani hapakuwa na meeting room ingine? na waarabu walivyo na mambo machafu. yale yenu ya kipemba.
 
Nakifahamu kinacheoendelea na nafahamu ni mipango ya siku nyingi ya Wapalestina, kujikombowa kutoka kwa mazayuni kwa gharama yoyoyote ile.

Hamas na ANC au FRELIMO hawana tofauti kabisa.

Kumbuka hilo.
kwani ni lini ilishawahi kuwepo nchi inayoitwa Palestina? taja mwaka tu.
 
Kama wazee wa Wayahudi, Ibrahim, Isaka, Musa waliishi kwenye hiyo Ardhi ya Jeruselem. Hakika hao Wayahudi hawatoki hapo
Ukiisoma historia vizuri utakuta Ibrahim alikuwa mhamiaji tu hapo. Rudi kafanye homework yako.

Nakuuliza swali ambalo nnauhakika huwezi kulijibu, rudi kwa Waislam wakusaidie; Mama na baba yake Mariam mama yake Yesu ni kina nani?
 
View attachment 3066568
Hiyo hapo juu ni orodha na picha ya Magaidi 19 ya Hamas na Islamic Jihad yaliouwawa na Airstrike ya Jeshi teule tukufu la IDF yakiwa yamejificha shuleni wakidhani yatakuwa salama.

Pia soma: LIVE - Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Inasemekana maisha ya kujificha kwenye mahandaki ardhini kama panya. yamekuwa magumu yameamua kuibuka nje. Na wapalestina wazalendo wanawachomea kwa wateule. Mungu awabariki hawa wapalestina wazalendo anawasaidia Mossad na Shin Bet na intelejensia.

Imaam Hussein Ibn Ali A.S FOREVER
Nimesema wakristo wa tanzania wengi ni kama mazombi hawana uwezo wa kufikiria
Embu angalia huyo jamaa hapo chini
Kazaliwa central israel
Ni muisrael amesoma havard
Kapigana vita na lebanon na hamas
Na alitakiwa awe mkuu wa majeshi wa israel ila hawakumpa kwa kuwa alitoa maoni yake ya kweli kwamba haoni tofauti ya israel na serikali ya hitler
Ila mkristo wa tanzania anafurahia ushenzi na ukatili unaofanywa na israel yote kwa ajili ya akili ndogo tu hakuna kingine
 

Attachments

  • Screenshot_20240812-120109_Chrome.jpg
    Screenshot_20240812-120109_Chrome.jpg
    464.5 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240812-120101_Chrome.jpg
    Screenshot_20240812-120101_Chrome.jpg
    439.5 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240812-120040_Chrome.jpg
    Screenshot_20240812-120040_Chrome.jpg
    454.9 KB · Views: 2
Iran walisema jamaa aliuawa na mwanaume mwenzie kwenye chumba kimoja, hatujui walikuwa wanafanya nini, mimi mwanaume mwenzangu siwezi kumuruhusu aingie hata kwenye chumba cha hotel nilichopanga, kwani hapakuwa na meeting room ingine? na waarabu walivyo na mambo machafu. yale yenu ya kipemba.
Wewe hulali na mwanamme mwenzio chumba kimoja? Au unayoyafanya wewe unafikiri wenzako wote ni kama wewe?
 
Nimesema wakristo wa tanzania wengi ni kama mazombi hawana uwezo wa kufikiria
Embu angalia huyo jamaa hapo chini
Kazaliwa central israel
Ni muisrael amesoma havard
Kapigana vita na lebanon na hamas
Na alitakiwa awe mkuu wa majeshi wa israel ila hawakumpa kwa kuwa alitoa maoni yake ya kweli kwamba haoni tofauti ya israel na serikali ya hitler
Ila mkristo wa tanzania anafurahia ushenzi na ukatili unaofanywa na israel yote kwa ajili ya akili ndogo tu hakuna kingine
Vipi kuhusu ugaidi na ukatili wa Hamas Oct 7?!
 
Vipi kuhusu ugaidi na ukatili wa Hamas Oct 7? !
NAchojiuliza unafahamu ukatili anaofanyiwa palestina kabla ya oct 7 au kwako maisha yameanza oct 7? Serikali ya israel imekuwa ikiwafanyia wapalestina kama hitler alivyokuwa akiwafanyia wao, na hapo kamanda mkubwa wa jeshi la israel kaliweka hilo wazi ,huyu ana uchungu na israel kuliko nyie wakristo msiokuwa na elimu na hata hamjawahi kuipigania israel, ila tofauti yake na yenu ni akili, ana uwezo wa kufikiri sio kufuata mkumbo, yupo tayari kukosa cheo cha juu cha jeshi la israel ila ana hofu na mumgu na kaongea kilichokuwa haki bila ya kujali maslahi wala nguvu aliyopoteza vitani
 
NAchojiuliza unafahamu ukatili anaofanyiwa palestina kabla ya oct 7 au kwako maisha yameanza oct 7? Serikali ya israel imekuwa ikiwafanyia wapalestina kama hitler alivyokuwa akiwafanyia wao, na hapo kamanda mkubwa wa jeshi la israel kaliweka hilo wazi ,huyu ana uchungu na israel kuliko nyie wakristo msiokuwa na elimu na hata hamjawahi kuipigania israel, ila tofauti yake na yenu ni akili, ana uwezo wa kufikiri sio kufuata mkumbo, yupo tayari kukosa cheo cha juu cha jeshi la israel ila ana hofu na mumgu na kaongea kilichokuwa haki bila ya kujali maslahi wala nguvu aliyopoteza vitani
Hakuna ukatili wowote kama kila mtu atakuwa natural coz wapo waarabu wengi tu ndani ya Israel na wanapewa haki zote kama Jews. Mateso yanakuja pale wanapoua waisrael
 
NAchojiuliza unafahamu ukatili anaofanyiwa palestina kabla ya oct 7 au kwako maisha yameanza oct 7? Serikali ya israel imekuwa ikiwafanyia wapalestina kama hitler alivyokuwa akiwafanyia wao, na hapo kamanda mkubwa wa jeshi la israel kaliweka hilo wazi ,huyu ana uchungu na israel kuliko nyie wakristo msiokuwa na elimu na hata hamjawahi kuipigania israel, ila tofauti yake na yenu ni akili, ana uwezo wa kufikiri sio kufuata mkumbo, yupo tayari kukosa cheo cha juu cha jeshi la israel ila ana hofu na mumgu na kaongea kilichokuwa haki bila ya kujali maslahi wala nguvu aliyopoteza vitani
Ugaidi ni wa kupingwa kwa nguvu zote.

Na ndio maana hata serikali ya Tz ilichukua hatua kali dhidi ya magaidi kule kibiti na mkuranga.
 
Ugaidi ni wa kupingwa kwa nguvu zote.

Na ndio maana hata serikali ya Tz ilichukua hatua kali dhidi ya magaidi kule kibiti na mkuranga.
Akili zako ndio zimeishia hapo huna uwezo wa kufikiri, hata mandela aliitwa gaidi wakati wa kupinga sera za ubaguzi na wazungu wakiwemo marekani na uingereza
Hatuoni ajabu wapalestina kuitwa magaidi, ila waisrael wengi akiwemo huyu kamanda aliyepigana vita wanaweza kukemea na kuongelea haki, ila kwa mtu kama wewe usiyekuwa na upeo chochote atachosema mzungu na mchungaji wako ndio hiko hiko utachoimba bila ya kufikiria, ni tatizo la elimu duni
 
Akili zako ndio zimeishia hapo huna uwezo wa kufikiri, hata mandela aliitwa gaidi wakati wa kupinga sera za ubaguzi na wazungu wakiwemo marekani na uingereza
Hatuoni ajabu wapalestina kuitwa magaidi, ila waisrael wengi akiwemo huyu kamanda aliyepigana vita wanaweza kukemea na kuongelea haki, ila kwa mtu kama wewe usiyekuwa na upeo chochote atachosema mzungu na mchungaji wako ndio hiko hiko utachoimba bila ya kufikiria, ni tatizo la elimu duni
Kwani hao waarabu hawakuwa na Jews wakiishi pamoja wakati wote hata kipindi cha ottoman
 
Hakuna ukatili wowote kama kila mtu atakuwa natural coz wapo waarabu wengi tu ndani ya Israel na wanapewa haki zote kama Jews. Mateso yanakuja pale wanapoua waisrael
Ndio maana nasema na huyo kamanda wa israel kaeleza vizuri nini chanzo cha ugomvi
Na kuifananisha serikali ya israel navya hitler
Ingawa imemgharimu nafasi yake ya kuwa mkuu wa majeshi lakini amesimamia ukweli
kuchukua ardhi ya mtu kimabavu na kuuwa wapalestina na kuwakamata na kuwatesa bila ya sababu kila siku huo ni ukatili na wamefanyiwa hivi kwa miaka 50 iliyopita
Huyu kamanda ambaye amerisk maisha yake vitani akiipigania israel huku akipendekezwa kuwa mkuu wa majeshi anajua mambo mengi na ya siri kuliko wewe mkristo wa mbwinde lakini hakusita kusema ukweli
 
Kwani hao waarabu hawakuwa na Jews wakiishi pamoja wakati wote hata kipindi cha ottoman
Walikuwa wakiishi vizuri sana hapo nyuma kabla ya sera za kizayuni kuanza ndio chanzo cha tatizo lote unaloliona sasa
 
View attachment 3066568
Hiyo hapo juu ni orodha na picha ya Magaidi 19 ya Hamas na Islamic Jihad yaliouwawa na Airstrike ya Jeshi teule tukufu la IDF yakiwa yamejificha shuleni wakidhani yatakuwa salama.

Pia soma: LIVE - Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Inasemekana maisha ya kujificha kwenye mahandaki ardhini kama panya. yamekuwa magumu yameamua kuibuka nje. Na wapalestina wazalendo wanawachomea kwa wateule. Mungu awabariki hawa wapalestina wazalendo anawasaidia Mossad na Shin Bet na intelejensia.

Imaam Hussein Ibn Ali A.S FOREVER
Imetoka:

 
Walikuwa wakiishi vizuri sana hapo nyuma kabla ya sera za kizayuni kuanza ndio chanzo cha tatizo lote unaloliona sasa
Hakuna sera mbaya wewe. Ishu ni kuwa waarabu walitaka wawe na taifa lao na wayahud vivyo hivyo. Ndio ushindan ukatokea na wayahud mwanzon walikuwa tayari kugawana nchi ziwe mbili waarabu wakakataa ndio tatizo limekuwa mpaka leo.
 
Back
Top Bottom