Hawa ndio magaidi wa Hamas waliouawa kwenye shule huko Gaza

Hawa ndio magaidi wa Hamas waliouawa kwenye shule huko Gaza

Waache kuyaruhusu hayo magaidi kujificha hospitalini na mashuleni, hiyo mbinu ya kijinga imeshafichuka myahudi ni mstaarabu anajua anachofanya.

Ritz waambie ndugu zako katika imani kwa kiarabu wakuelewe.
World leaders condemn Israel's latest 'massacre' on a Gaza City school, which killed more than 100 Palestinians. Israel claims it killed 19 fighters, without giving any evidence, as it continues its deadly bombardment.
 
Hizo propaganda za mashoga bado unazitumia 😀

Kwa hiyo ukitumia watoto kama ngao kombora linachagua wa kuuwa linauwa watoto linawacha Hamas?

Punguni peke yake na shoga ndiyo wanalishwa hizi propqganda.
Ukienda kwenye maziko ya ndugu zako katika imani ndio utafanya hiyo kazi ya kupekua maiti.

IDF na intelijensia yao pamoja na huruma yao kutoa mpaka ultimutum watu waondoke maeneo watakayoshambulia kabla hayajashambuliwa, ni kipimo cha utu wao kwa ulimwengu na nia yao nzuri kupiga tu maadui zao.
 
Ukienda kwenye maziko ya ndugu zako katika imani ndio utafanya hiyo kazi ya kupekua maiti, IDF na intelijensia yao pamoja na huruma yao kutoa mpaka ultimutum watu waondoke maeneo watakayoshambulia kabla hayajashambuliwa ni kipimo cha utu wao.
Wewe shaga IDF wana huruma gani wameuwa watoto zaidi 15.000 hivi nye walolole wa JF mbona mapunguani sana.
 
Unalijua lengo la Hamas kukua hadi kujiimarisha kwake lilikuwa lipi?, pamoja na intelligence kali ya MOSSAD, unanambia hawakuwa na taarifa za October 7?, amka usingizini ww!
Nukuu; "From river to the sea"
Unadhani Israel ingepata wapi sababu ya kufanya uharibifu?
 
Waambie ndugu zako katika imani waache kutumia raia wa Gaza kama human shield. Watakwisha…
We unazo dalili hayo maneno unayo ongea ni kweli, au ndio wale waimba kwaya ,we lazma utakuwa muongo kama roll model wenu Paulo a.k.a mchinjaji Saul.

Nyie huwa mnaota kama roll model wenu alivyo ota yuko chini ya mti kapewa utume na YESU, ambaye mausha yake hajawahi kumuona. Vipi alimjua Yesu wakati hata kumuona hajamuona, tukiwambia shetani ana nguvu mnabisha mpaa kawafundisheni kuwaYesu ni muongo, na yeye ndiye mkweli 😄

Yesu anawambia Mungu huwa hasinzii wala hachoki, na yeye aliwambia kachoka na alipiga usingizi bado tu mnamuamini Paulo na Yesu mnamuona muongo.

YESU anawambia hakuna binadamu kawahi sikia sauti ya Mungu, na wale walio msikia walikuwa makenge kutokana na Paulo hahaha. Ukristo noma aisay uwongo na utungaji ndio kazi zenu, ndio mana wewe umerithi uwongo kama mtume wenu aliye jibandika utume wa uwongo
 
We unazo dalili hayo maneno unayo ongea ni kweli, au ndio wale waimba kwaya ,we laxzma utakuwa muongo kama roll model wenu Paulo a.k.a mchinjaji Saul.

Nyie huwa mnaota kama roll model wenu alivyo ota yuko chini ya mti kapewa utume na YESU, ambaye mausha yake hajawahi kumuona. Vipi alimjua Yesu wakati hata kumuona hajamuona, tukiwambia shetani ana nguvu mnabisha mpaa kawafundisheni kuwaYesu ni muongo, na yeye ndiye mkweli 😄

Yesu anawambia Mungu huwa hasinzii wala hachoki, na yeye aliwambia kachoka na alipiga usingizi bado tu mnamuamini Paulo na Yesu mnamuona muongo.

YESU anawambia hakuna binadamu kawahi sikia sauti ya Mungu, na wale walio msikia walikuwa makenge kutokana na Paulo hahaha. Ukristo noma aisay uwongo na utungaji ndio kaxi zenu, ndio mana wewe umerithi uwongo kama mtume wenu aliye jibandika utume wa uwongo
Hili gazeti utasoma mwenyewe
 
View attachment 3066568
Hiyo hapo juu ni orodha na picha ya Magaidi 19 ya Hamas na Islamic Jihad yaliouwawa na Airstrike ya Jeshi teule tukufu la IDF yakiwa yamejificha shuleni wakidhani yatakuwa salama.

Pia soma: LIVE - Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Inasemekana maisha ya kujificha kwenye mahandaki ardhini kama panya. yamekuwa magumu yameamua kuibuka nje. Na wapalestina wazalendo wanawachomea kwa wateule. Mungu awabariki hawa wapalestina wazalendo anawasaidia Mossad na Shin Bet na intelejensia.

Imaam Hussein Ibn Ali A.S FOREVER



View: https://www.youtube.com/shorts/B5Ko1nfO22U?feature=share
 
Back
Top Bottom