We unazo dalili hayo maneno unayo ongea ni kweli, au ndio wale waimba kwaya ,we laxzma utakuwa muongo kama roll model wenu Paulo a.k.a mchinjaji Saul.
Nyie huwa mnaota kama roll model wenu alivyo ota yuko chini ya mti kapewa utume na YESU, ambaye mausha yake hajawahi kumuona. Vipi alimjua Yesu wakati hata kumuona hajamuona, tukiwambia shetani ana nguvu mnabisha mpaa kawafundisheni kuwaYesu ni muongo, na yeye ndiye mkweli 😄
Yesu anawambia Mungu huwa hasinzii wala hachoki, na yeye aliwambia kachoka na alipiga usingizi bado tu mnamuamini Paulo na Yesu mnamuona muongo.
YESU anawambia hakuna binadamu kawahi sikia sauti ya Mungu, na wale walio msikia walikuwa makenge kutokana na Paulo hahaha. Ukristo noma aisay uwongo na utungaji ndio kaxi zenu, ndio mana wewe umerithi uwongo kama mtume wenu aliye jibandika utume wa uwongo