Hawa ndio magaidi wa Hamas waliouawa kwenye shule huko Gaza

Hawa ndio magaidi wa Hamas waliouawa kwenye shule huko Gaza

View attachment 3066568
Hiyo hapo juu ni orodha na picha ya Magaidi 19 ya Hamas na Islamic Jihad yaliouwawa na Airstrike ya Jeshi teule tukufu la IDF yakiwa yamejificha shuleni wakidhani yatakuwa salama.

Pia soma: LIVE - Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Inasemekana maisha ya kujificha kwenye mahandaki ardhini kama panya. yamekuwa magumu yameamua kuibuka nje. Na wapalestina wazalendo wanawachomea kwa wateule. Mungu awabariki hawa wapalestina wazalendo anawasaidia Mossad na Shin Bet na intelejensia.

Imaam Hussein Ibn Ali A.S FOREVER
Wapalestina original hawana noma na Wala hawana ugovi wowote na ndugu zao wayahudi. Wapo wafuga ndevu Fulani wakishavembewa tende wanaokwenda eti kumpigania Mungu wao. Hivyo wapalestina wenyewe hawawataki kwa sababu wanawaletea matatizo. Acha wakipate walichokitaka watashangaa hao mademu ya kijini 72 Wala hawawaoni zaidi ya kutupiwa kwenye ziwa la moto
 
Wewe ndo umejazwa ujinga kupitia propaganda za Al Jazeera. IDF wameonyesha hadi jengo na sehemu ya chumba ambacho kilipigwa bomu na kuacha sehemu nyingine ya jengo bila kukuguswa na likiwa limesimama.
Ukifuatilia Al Jazeera wanasema miili mingine iliharibika ikabidi wawe wanakusanya na kupima uzito ikifika kilo 70 wanajua ni mwili wa mtu mmoja. Wengine wanasema wamezika kilo kuonesha ni mwili wa ndugu yao.

Kwa mazingira kama hayo unaweza kujua idadi ya watu kamili ndani muda mfupi tangu shambulio kutokea?
Halafu anayetoa taarifa ni waziri wa hamas, ambao ajenda yao siku zote ni kutumia vifo vya raia kupata huruma na uungwaji mkono kutoka kwa mataifa na jumuiya za kimataifa ambazo na huwa hazina muda wa kujiridhisha ni kutoa matamko tu.
mazayuni wamekasirika baada ya askari wao wakishirikiana Mmarekani kuiulowa kama njiwa huko Yemen.

Hao mashoga watapiga hospitali na shule tu kwa mbali tu, hawawezi kusimama na wanaume wakapigana.

Wenyewe wanasema hilo kila siku.
 
mazayuni wamekasirika baada ya askari wao wakishirikiana Mmarekani kuiulowa kama njiwa huko Yemen.

Hao mashoga watapiga hospitali na shule tu kwa mbali tu, hawawezi kusimama na wanaume wakapigana.

Wenyewe wanasema hilo kila siku.
Wanaume wapi unaowazungumzia? Wale wanaojificha katikati ya raia na kutega mitego na kulipua nyumba zao wenyewe wasijue vita ikiisha ndugu zao wataishi wapi? Kama wanaume kweli waambie watoke hadharani uone kinachowatokea.
Katika historia hakuna mpigania uhuru aliyekuwa anajificha katikati ya raia anaowatetea, na sifa ya mwanaume anaenda vitani anaiacha familia mahali salama.

Ukiona mwanaume anajificha kwenye mashimo na katikati ya raia na kuwaweka wanawake na watoto kama ngao huyo ana shida kubwa.

Ukweli ni kwamba ndugu zako vita yao wanategemea huruma kutoka kwa mataifa mengine hawana uanaume wowote.
 
Watawamaliza Wote Wakae Meza Ya Duara Angalau Muafaka Upatikane
 
View attachment 3066568
Hiyo hapo juu ni orodha na picha ya Magaidi 19 ya Hamas na Islamic Jihad yaliouwawa na Airstrike ya Jeshi teule tukufu la IDF yakiwa yamejificha shuleni wakidhani yatakuwa salama.

Pia soma: LIVE - Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Inasemekana maisha ya kujificha kwenye mahandaki ardhini kama panya. yamekuwa magumu yameamua kuibuka nje. Na wapalestina wazalendo wanawachomea kwa wateule. Mungu awabariki hawa wapalestina wazalendo anawasaidia Mossad na Shin Bet na intelejensia.

Imaam Hussein Ibn Ali A.S FOREVER
Wewe mtoa mada wacheni ujinga dunia nzima imelewa wazi hao wote waliopo kwenye shule hakuna hata mmoja katika hao aliye kufa. Mkisha ona mmedangan'ywa na wale wanafiki wanao wapeni infomation, mnanza kuzua uwongo.

Israel alipo fanya mauwaji kule siku za nyuma akajidai kamuwa Mohammed Al Dhaifu na hio yote ni uwongo, kafanya mauwaji mengine ya civilian kajidai kamuwa Abu Obaida yote hayo ni uwongo mtupu.

Wanafanya genocide kuwauwa watu wasio na hatia na wao ndio wanawanbia waelekee huko kwenye safe side, afu wanakuja piga.

Shenzi type afu anakuja yule Msenge mkubwa wa US Joe Biden anakuwambia Iran na Hezbullah msimpige Isreal, nyie wacheni Israel awapige tu 😄

Joe Biden anataka Israel ipige nyie mnaitazama tu. Huo ndio ukristo na hayo ndio mafunzo ya Paulo. Paulo alivyo kuwa mchinjaji wakati ule anaitwa a.k.a Saul, alikuwa anataka yeye kuchinja tu ghafla puu kawa mtume wa kikristo kwa ndoto tu 😄
 
Baada ya South Africa kufungua kesi kuhusu basi kila siku lazima mtumie hilo neno kujifariji. Hivi kilichotokea tarehe 07 haikuwa genocide?
Hivi kuua raia 1200 wasio na hatia siyo genocide ila anayelipa kisasi ndo genocide?

Kama unahisi ni propaganda kuhusu hayo majina ya waliouawa ebu wewe toa orodha ya majina ya watoto na wanawake waliouawa kwenye hilo shambulizi la jana.
Na kama unahisi ni uongo kwamba Deif hakuuawa hiyo siku toa ushahidi kwa sababu wazayuni wenyewe walithibitisha baada ya wiki moja.

Halafu ukiona watu wanakimbilia kutoa taarifa bila kujiridhisha hizo ni propaganda, ndo wanachokifanya Al Jazeera. Huwezi ndani ya muda mfupi baada ya shambulio ukajua idadi ya waliokufa wakati baadhi ya miili imeharibiwa vibaya.
Leteni dalili moja Hamasi walifanya Genocide tarehe 7th October huwezi kupata sababu Wayahudi na Wakristo wote ni waongo.

Nionyeshe picture moja tu ya Hamasi wamefanya genocide, au rape iwe verified na independent source huwezi kupata. Huoni hata Israel waliwacha tena kuongelea hizo point, sababu walijikuta wameukalia, zile picture za watoto sijui wamekatwa vichaa zilikuwa ni fake picture, orignali walichukua wao hizo picture wanavyo fanya kule Gaza. Walivyo ona wamebanwa hawakuongelea tena, umewasikia hata wanaongelea hayo.
 
View attachment 3066568
Hiyo hapo juu ni orodha na picha ya Magaidi 19 ya Hamas na Islamic Jihad yaliouwawa na Airstrike ya Jeshi teule tukufu la IDF yakiwa yamejificha shuleni wakidhani yatakuwa salama.

Pia soma: LIVE - Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Inasemekana maisha ya kujificha kwenye mahandaki ardhini kama panya. yamekuwa magumu yameamua kuibuka nje. Na wapalestina wazalendo wanawachomea kwa wateule. Mungu awabariki hawa wapalestina wazalendo anawasaidia Mossad na Shin Bet na intelejensia.

Imaam Hussein Ibn Ali A.S FOREVER
Mapunguani na mashoga na wajinga ndiyo wanaweza kukubali hizo propaganda.


View: https://x.com/qudsnen/status/1822539426225926487?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Unakumbuka Israel waliweka ushahidi kuwa Shifaa Hospotal ndiyo Makao Makuu ya Hamas na chini ya Hospital kuna Mahandaki wamewafika mateka baada ya kifanya mauaji kuuwa wagonjwa na watoto ulionyewa mateka? Usiwe punguani.


 
Mapunguani na mashoga na wajinga ndiyo wanaweza kukubali hizo propaganda.


View: https://x.com/qudsnen/status/1822539426225926487?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Unakumbuka Israel waliweka ushahidi kuwa Shifaa Hospotal ndiyo Makao Makuu ya Hamas na chini ya Hospital kuna Mahandaki wamewafika mateka baada ya kifanya mauaji kuuwa wagonjwa na watoto ulionyewa mateka? Usiwe punguani.

Waambie ndugu zako katika imani waache kutumia raia wa Gaza kama human shield. Watakwisha…
 
Waambie ndugu zako katika imani waache kutumia raia wa Gaza kama human shield. Watakwisha…
Hizo propaganda za mashoga bado unazitumia 😀

Kwa hiyo ukitumia watoto kama ngao kombora linachagua wa kuuwa linauwa watoto linawacha Hamas?

Punguni peke yake na shoga ndiyo wanalishwa hizi propqganda.
 
Tunasikitika kwa vifo vya wanafunzi 150 katika shule hiyo!
 
Back
Top Bottom