Kommando muuza madafu
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 3,216
- 7,254
We na allah wako wote mazayuni wanawapelekea moto tu.Usichoelewa ni kuwa, huu ni mwanzo wa mwisho wa mazayuni kuikalia nchi ya watu. Hata ANC afrika Kusini waliitwa magaidi na wakauliwa Waafrika wengi sana, mwisho wa siku, sasa wanaongoza nchi yao kwa raha zao.
Wapalestina original hawana noma na Wala hawana ugovi wowote na ndugu zao wayahudi. Wapo wafuga ndevu Fulani wakishavembewa tende wanaokwenda eti kumpigania Mungu wao. Hivyo wapalestina wenyewe hawawataki kwa sababu wanawaletea matatizo. Acha wakipate walichokitaka watashangaa hao mademu ya kijini 72 Wala hawawaoni zaidi ya kutupiwa kwenye ziwa la motoView attachment 3066568
Hiyo hapo juu ni orodha na picha ya Magaidi 19 ya Hamas na Islamic Jihad yaliouwawa na Airstrike ya Jeshi teule tukufu la IDF yakiwa yamejificha shuleni wakidhani yatakuwa salama.
Pia soma: LIVE - Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS
Inasemekana maisha ya kujificha kwenye mahandaki ardhini kama panya. yamekuwa magumu yameamua kuibuka nje. Na wapalestina wazalendo wanawachomea kwa wateule. Mungu awabariki hawa wapalestina wazalendo anawasaidia Mossad na Shin Bet na intelejensia.
Imaam Hussein Ibn Ali A.S FOREVER
mazayuni wamekasirika baada ya askari wao wakishirikiana Mmarekani kuiulowa kama njiwa huko Yemen.Wewe ndo umejazwa ujinga kupitia propaganda za Al Jazeera. IDF wameonyesha hadi jengo na sehemu ya chumba ambacho kilipigwa bomu na kuacha sehemu nyingine ya jengo bila kukuguswa na likiwa limesimama.
Ukifuatilia Al Jazeera wanasema miili mingine iliharibika ikabidi wawe wanakusanya na kupima uzito ikifika kilo 70 wanajua ni mwili wa mtu mmoja. Wengine wanasema wamezika kilo kuonesha ni mwili wa ndugu yao.
Kwa mazingira kama hayo unaweza kujua idadi ya watu kamili ndani muda mfupi tangu shambulio kutokea?
Halafu anayetoa taarifa ni waziri wa hamas, ambao ajenda yao siku zote ni kutumia vifo vya raia kupata huruma na uungwaji mkono kutoka kwa mataifa na jumuiya za kimataifa ambazo na huwa hazina muda wa kujiridhisha ni kutoa matamko tu.
Wanaume wapi unaowazungumzia? Wale wanaojificha katikati ya raia na kutega mitego na kulipua nyumba zao wenyewe wasijue vita ikiisha ndugu zao wataishi wapi? Kama wanaume kweli waambie watoke hadharani uone kinachowatokea.mazayuni wamekasirika baada ya askari wao wakishirikiana Mmarekani kuiulowa kama njiwa huko Yemen.
Hao mashoga watapiga hospitali na shule tu kwa mbali tu, hawawezi kusimama na wanaume wakapigana.
Wenyewe wanasema hilo kila siku.
Wewe mtoa mada wacheni ujinga dunia nzima imelewa wazi hao wote waliopo kwenye shule hakuna hata mmoja katika hao aliye kufa. Mkisha ona mmedangan'ywa na wale wanafiki wanao wapeni infomation, mnanza kuzua uwongo.View attachment 3066568
Hiyo hapo juu ni orodha na picha ya Magaidi 19 ya Hamas na Islamic Jihad yaliouwawa na Airstrike ya Jeshi teule tukufu la IDF yakiwa yamejificha shuleni wakidhani yatakuwa salama.
Pia soma: LIVE - Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS
Inasemekana maisha ya kujificha kwenye mahandaki ardhini kama panya. yamekuwa magumu yameamua kuibuka nje. Na wapalestina wazalendo wanawachomea kwa wateule. Mungu awabariki hawa wapalestina wazalendo anawasaidia Mossad na Shin Bet na intelejensia.
Imaam Hussein Ibn Ali A.S FOREVER
Leteni dalili moja Hamasi walifanya Genocide tarehe 7th October huwezi kupata sababu Wayahudi na Wakristo wote ni waongo.Baada ya South Africa kufungua kesi kuhusu basi kila siku lazima mtumie hilo neno kujifariji. Hivi kilichotokea tarehe 07 haikuwa genocide?
Hivi kuua raia 1200 wasio na hatia siyo genocide ila anayelipa kisasi ndo genocide?
Kama unahisi ni propaganda kuhusu hayo majina ya waliouawa ebu wewe toa orodha ya majina ya watoto na wanawake waliouawa kwenye hilo shambulizi la jana.
Na kama unahisi ni uongo kwamba Deif hakuuawa hiyo siku toa ushahidi kwa sababu wazayuni wenyewe walithibitisha baada ya wiki moja.
Halafu ukiona watu wanakimbilia kutoa taarifa bila kujiridhisha hizo ni propaganda, ndo wanachokifanya Al Jazeera. Huwezi ndani ya muda mfupi baada ya shambulio ukajua idadi ya waliokufa wakati baadhi ya miili imeharibiwa vibaya.
Mapunguani na mashoga na wajinga ndiyo wanaweza kukubali hizo propaganda.View attachment 3066568
Hiyo hapo juu ni orodha na picha ya Magaidi 19 ya Hamas na Islamic Jihad yaliouwawa na Airstrike ya Jeshi teule tukufu la IDF yakiwa yamejificha shuleni wakidhani yatakuwa salama.
Pia soma: LIVE - Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS
Inasemekana maisha ya kujificha kwenye mahandaki ardhini kama panya. yamekuwa magumu yameamua kuibuka nje. Na wapalestina wazalendo wanawachomea kwa wateule. Mungu awabariki hawa wapalestina wazalendo anawasaidia Mossad na Shin Bet na intelejensia.
Imaam Hussein Ibn Ali A.S FOREVER
Waambie ndugu zako katika imani waache kutumia raia wa Gaza kama human shield. Watakwisha…Mapunguani na mashoga na wajinga ndiyo wanaweza kukubali hizo propaganda.
View: https://x.com/qudsnen/status/1822539426225926487?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Unakumbuka Israel waliweka ushahidi kuwa Shifaa Hospotal ndiyo Makao Makuu ya Hamas na chini ya Hospital kuna Mahandaki wamewafika mateka baada ya kifanya mauaji kuuwa wagonjwa na watoto ulionyewa mateka? Usiwe punguani.
Hizo propaganda za mashoga bado unazitumia 😀Waambie ndugu zako katika imani waache kutumia raia wa Gaza kama human shield. Watakwisha…
Watanzania wenzenu walikua magaidi ndio maana wakafyekelewa mbaliVerification ni ugaidi walipofanya Oct 7.
Kumbuka waliua watanzania wenzetu wawili
Unadhani kila mtu ana mpenzi wa kiume kama wewe ulivyo na mwanaume mwenzio?Wateule hawakosei walijuwa hadi Mkuu wa Hamas Haniyeh na mpenzi wake wa kiume yeye anadai mlinzi walipolala pamoja Tehran Iran.
Wanasema ndoa ni mahusiano baina ya mke na mumeWanazuoni wa kiislamu wanasemaje????
Sio magaidi ya kisagaji na kishoga ya kikristo?Unatakiwa uandike Magaidi ya kiislam ya Hamasi
Kuna watanzania wa ajabu Sana yaani hawajali Kama Kuna watanzania wenzao waliuawa.Verification ni ugaidi walipofanya Oct 7.
Kumbuka waliua watanzania wenzetu wawili