Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
Iran walisema jamaa aliuawa na mwanaume mwenzie kwenye chumba kimoja, hatujui walikuwa wanafanya nini, mimi mwanaume mwenzangu siwezi kumuruhusu aingie hata kwenye chumba cha hotel nilichopanga, kwani hapakuwa na meeting room ingine? na waarabu walivyo na mambo machafu. yale yenu ya kipemba.Una halki ya kufikiri vyovyote upendavyo, mradi ujiwekee akiba ya maneno tu, usiyamalize yote.
Waswahili tunasema "akutukanae hakuchagulii tusi".
kwani ni lini ilishawahi kuwepo nchi inayoitwa Palestina? taja mwaka tu.Nakifahamu kinacheoendelea na nafahamu ni mipango ya siku nyingi ya Wapalestina, kujikombowa kutoka kwa mazayuni kwa gharama yoyoyote ile.
Hamas na ANC au FRELIMO hawana tofauti kabisa.
Kumbuka hilo.
Ukiisoma historia vizuri utakuta Ibrahim alikuwa mhamiaji tu hapo. Rudi kafanye homework yako.Kama wazee wa Wayahudi, Ibrahim, Isaka, Musa waliishi kwenye hiyo Ardhi ya Jeruselem. Hakika hao Wayahudi hawatoki hapo
Duh kumbe Kiongozi wa Hamas alikua shoga?Hahahaha. Mi pia hilo swali nilijiuliza sana. Jamaa alilala na mlinz wake chumban? Waarabu bana
Nimesema wakristo wa tanzania wengi ni kama mazombi hawana uwezo wa kufikiriaView attachment 3066568
Hiyo hapo juu ni orodha na picha ya Magaidi 19 ya Hamas na Islamic Jihad yaliouwawa na Airstrike ya Jeshi teule tukufu la IDF yakiwa yamejificha shuleni wakidhani yatakuwa salama.
Pia soma: LIVE - Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS
Inasemekana maisha ya kujificha kwenye mahandaki ardhini kama panya. yamekuwa magumu yameamua kuibuka nje. Na wapalestina wazalendo wanawachomea kwa wateule. Mungu awabariki hawa wapalestina wazalendo anawasaidia Mossad na Shin Bet na intelejensia.
Imaam Hussein Ibn Ali A.S FOREVER
Mpaka leo hii upo ubalozi mwake Tanzania.kwani ni lini ilishawahi kuwepo nchi inayoitwa Palestina? taja mwaka tu.
Rais wa kwanza wa Palestine ninaniMpaka leo hii upo ubalozi mwake Tanzania.
Wewe hulali na mwanamme mwenzio chumba kimoja? Au unayoyafanya wewe unafikiri wenzako wote ni kama wewe?Iran walisema jamaa aliuawa na mwanaume mwenzie kwenye chumba kimoja, hatujui walikuwa wanafanya nini, mimi mwanaume mwenzangu siwezi kumuruhusu aingie hata kwenye chumba cha hotel nilichopanga, kwani hapakuwa na meeting room ingine? na waarabu walivyo na mambo machafu. yale yenu ya kipemba.
ni ubalozi usio na nchi, ndio maana hata UN wanaitambua kama ni authority, yaani kakikundi ka watu na sio nchi. hapajawahi kuwepo nchi inayoitwa Palestina.Mpaka leo hii upo ubalozi mwake Tanzania.
Vipi kuhusu ugaidi na ukatili wa Hamas Oct 7?!Nimesema wakristo wa tanzania wengi ni kama mazombi hawana uwezo wa kufikiria
Embu angalia huyo jamaa hapo chini
Kazaliwa central israel
Ni muisrael amesoma havard
Kapigana vita na lebanon na hamas
Na alitakiwa awe mkuu wa majeshi wa israel ila hawakumpa kwa kuwa alitoa maoni yake ya kweli kwamba haoni tofauti ya israel na serikali ya hitler
Ila mkristo wa tanzania anafurahia ushenzi na ukatili unaofanywa na israel yote kwa ajili ya akili ndogo tu hakuna kingine
NAchojiuliza unafahamu ukatili anaofanyiwa palestina kabla ya oct 7 au kwako maisha yameanza oct 7? Serikali ya israel imekuwa ikiwafanyia wapalestina kama hitler alivyokuwa akiwafanyia wao, na hapo kamanda mkubwa wa jeshi la israel kaliweka hilo wazi ,huyu ana uchungu na israel kuliko nyie wakristo msiokuwa na elimu na hata hamjawahi kuipigania israel, ila tofauti yake na yenu ni akili, ana uwezo wa kufikiri sio kufuata mkumbo, yupo tayari kukosa cheo cha juu cha jeshi la israel ila ana hofu na mumgu na kaongea kilichokuwa haki bila ya kujali maslahi wala nguvu aliyopoteza vitaniVipi kuhusu ugaidi na ukatili wa Hamas Oct 7? !
Siyo kila mfumo wa uongozi duniani una Rais, soma kijana usiwe mjinga kiasi hicho.Rais wa kwanza wa Palestine ninani
Hakuna ukatili wowote kama kila mtu atakuwa natural coz wapo waarabu wengi tu ndani ya Israel na wanapewa haki zote kama Jews. Mateso yanakuja pale wanapoua waisraelNAchojiuliza unafahamu ukatili anaofanyiwa palestina kabla ya oct 7 au kwako maisha yameanza oct 7? Serikali ya israel imekuwa ikiwafanyia wapalestina kama hitler alivyokuwa akiwafanyia wao, na hapo kamanda mkubwa wa jeshi la israel kaliweka hilo wazi ,huyu ana uchungu na israel kuliko nyie wakristo msiokuwa na elimu na hata hamjawahi kuipigania israel, ila tofauti yake na yenu ni akili, ana uwezo wa kufikiri sio kufuata mkumbo, yupo tayari kukosa cheo cha juu cha jeshi la israel ila ana hofu na mumgu na kaongea kilichokuwa haki bila ya kujali maslahi wala nguvu aliyopoteza vitani
Ugaidi ni wa kupingwa kwa nguvu zote.NAchojiuliza unafahamu ukatili anaofanyiwa palestina kabla ya oct 7 au kwako maisha yameanza oct 7? Serikali ya israel imekuwa ikiwafanyia wapalestina kama hitler alivyokuwa akiwafanyia wao, na hapo kamanda mkubwa wa jeshi la israel kaliweka hilo wazi ,huyu ana uchungu na israel kuliko nyie wakristo msiokuwa na elimu na hata hamjawahi kuipigania israel, ila tofauti yake na yenu ni akili, ana uwezo wa kufikiri sio kufuata mkumbo, yupo tayari kukosa cheo cha juu cha jeshi la israel ila ana hofu na mumgu na kaongea kilichokuwa haki bila ya kujali maslahi wala nguvu aliyopoteza vitani
Akili zako ndio zimeishia hapo huna uwezo wa kufikiri, hata mandela aliitwa gaidi wakati wa kupinga sera za ubaguzi na wazungu wakiwemo marekani na uingerezaUgaidi ni wa kupingwa kwa nguvu zote.
Na ndio maana hata serikali ya Tz ilichukua hatua kali dhidi ya magaidi kule kibiti na mkuranga.
Kwani hao waarabu hawakuwa na Jews wakiishi pamoja wakati wote hata kipindi cha ottomanAkili zako ndio zimeishia hapo huna uwezo wa kufikiri, hata mandela aliitwa gaidi wakati wa kupinga sera za ubaguzi na wazungu wakiwemo marekani na uingereza
Hatuoni ajabu wapalestina kuitwa magaidi, ila waisrael wengi akiwemo huyu kamanda aliyepigana vita wanaweza kukemea na kuongelea haki, ila kwa mtu kama wewe usiyekuwa na upeo chochote atachosema mzungu na mchungaji wako ndio hiko hiko utachoimba bila ya kufikiria, ni tatizo la elimu duni
Ndio maana nasema na huyo kamanda wa israel kaeleza vizuri nini chanzo cha ugomviHakuna ukatili wowote kama kila mtu atakuwa natural coz wapo waarabu wengi tu ndani ya Israel na wanapewa haki zote kama Jews. Mateso yanakuja pale wanapoua waisrael
Walikuwa wakiishi vizuri sana hapo nyuma kabla ya sera za kizayuni kuanza ndio chanzo cha tatizo lote unaloliona sasaKwani hao waarabu hawakuwa na Jews wakiishi pamoja wakati wote hata kipindi cha ottoman
Imetoka:View attachment 3066568
Hiyo hapo juu ni orodha na picha ya Magaidi 19 ya Hamas na Islamic Jihad yaliouwawa na Airstrike ya Jeshi teule tukufu la IDF yakiwa yamejificha shuleni wakidhani yatakuwa salama.
Pia soma: LIVE - Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS
Inasemekana maisha ya kujificha kwenye mahandaki ardhini kama panya. yamekuwa magumu yameamua kuibuka nje. Na wapalestina wazalendo wanawachomea kwa wateule. Mungu awabariki hawa wapalestina wazalendo anawasaidia Mossad na Shin Bet na intelejensia.
Imaam Hussein Ibn Ali A.S FOREVER
Hakuna sera mbaya wewe. Ishu ni kuwa waarabu walitaka wawe na taifa lao na wayahud vivyo hivyo. Ndio ushindan ukatokea na wayahud mwanzon walikuwa tayari kugawana nchi ziwe mbili waarabu wakakataa ndio tatizo limekuwa mpaka leo.Walikuwa wakiishi vizuri sana hapo nyuma kabla ya sera za kizayuni kuanza ndio chanzo cha tatizo lote unaloliona sasa