Nawaangalia tuu wanadhani watacheka milele...tena wenyewe ndo waogaaaa...wakishindwa tuu mechi moja huwaoni hata mwezi JF...πππππHawa madogo wa uto siku litim lao likikata upepo watahama humuπ€£
π€£π€£π€£π€£π€£Nakuhakikishia mdg ako hatapqta shido[emoji23]
Ahahaahahπππau kama mtalimbo wa meli....sio shida zangu ππππ mtoto wa kike kijiachia muhimu sio umejikaza kama mshumaa wa pasaka
Sasa hivi ukisoma michango yao ni maginius kinouma ,ila wakifungwa tu ndio utajua kwanini manara alisema wenye akili ni wawili tuπ€£π€£Nawaangalia tuu wanadhani watacheka milele...tena wenyewe ndo waogaaaa...wakishindwa tuu mechi moja huwaoni hata mwezi JF...πππππ
Ahahahah πππSasa hivi ukisoma michango yao ni maginius kinouma ,ila wakifungwa tu ndio utajua kwanini manara alisema wenye akili ni wawili tuπ€£π€£
Ewaaaaah πππ hatimaye nimeonekana.1 BICHWA KOMWE - ...Huyu mwamba kama ingewezekana angekuwa analipwa tu na jf ..... mchango wake hapa jf ni extraordinary Kwani nimchambuzi wa vinye....., kwenye ujinga ni mtu makini ... kwenye jukwaa la mahusiano ...yeye ni top advisor etc.....kikubwa huyu mwamba ni hatari
Maninaaaa πππππEwaaaaah πππ hatimaye nimeonekana.
Napokea yote kwa jina la Yesu.
Mkuu wewe ni mtu na heshima zako JamiiForums π€£Ms R kulingana na utafiti wangu huyu mtoto . Ameupiga mwingi mwaka huu Kwani unaweza sema yeye ni mshangazi, au Mumama ila ni vile michango yake tuu.. Kwan anapata PM nyingi sana ambazo surely hua za vijana wa hovyo
Aaaaaah wee acha tuu mkuu ππππKumbe ni nan
Umbumbumbuni kunawaka motoSasa hivi ukisoma michango yao ni maginius kinouma ,ila wakifungwa tu ndio utajua kwanini manara alisema wenye akili ni wawili tuπ€£π€£
Mkuu sikuzidi wewe ngoja nitoe wadhifa wako mkuu πππππππMkuu wewe ni mtu na heshima zako JamiiForums π€£
Dah! Huyo mwamba Tate Mkuu ni mtu na nusu!! I wish ningemuona alipokuwa kijana ili anihamishie busara zake zisizo na kipimo!!Wakuu Baada ya kufanya utafiti mwaka huu mzima kuhusu watu wenye mchango mkubwa hapa jf hatimaye nimekujana na generalization of findings
Hawa ndio members wenye mchango mkubwa hapa jf
1 Labani og ...Huyu mwamba kama ingewezekana angekuwa analipwa tu na jf ..... mchango wake hapa jf ni extraordinary Kwani nimchambuzi wa soka, kwenye siasa ni mtu makini ... kwenye jukwaa la mahusiano ...yeye ni top advisor etc.....kikubwa huyu mwamba ni hatari
Extrovert ....ni mwamba mwenye akili mingi (genius) Baada ya Labani og ....ukiangalia contents zake zimeshiba madini....elimu na mambo mbalimbali ya kijamii
Nifah ....kulingana na utafiti wangu huyu mwanadada ni. Ameupiga mwingi mwaka huu Kwani unaweza sema yeye ni CIA, au mossad Kwan anapata classified Intel za ubuyu ambazo surely hua ni za ukweli
Tate Mkuu ...mwamba kaupiga mwingi kwenye upande wa futbol forum Kwa kuwa ni mtu ana comment Kila Uzi
Kalpana huyu ni member anayepitia maumivu makali Kila siku jukwaa la michezo kulingana ukindaki ndaki Kwa Simba ..ni kawaida kulala siku mbili bila kula kisa Simba [emoji23]
Robert Heriel Mtibeli ....mwamba sana huyu mwaka huu.....naweza mwita philosopher king wa jf .....mwamba anatoa madini mwanzo mwisho ...anaifanya jf kuwa kama Ile ya zamani kabla haija haribiwa na kina Mshangazi [emoji23][emoji23]
To yeye mbeya girl popote ulipo ...mauwa Yako yakufikie Kwa ukubwa ,....kuwa miongoni mwa influencer wa jf mwaka huu
NB: research hii imefanyika mwaka huu mzima.....ikitumia participatory observation.... were as a researcher I was direct involved in study population.....where I watched everything happening there ( in JF)View attachment 3133955
Waweza ongezea mwingine ambaye kaupiga mwingi