Hawa ndio members wenye mchango mkubwa hapa JF mwaka 2024

Nawaangalia tuu wanadhani watacheka milele...tena wenyewe ndo waogaaaa...wakishindwa tuu mechi moja huwaoni hata mwezi JF...πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Sasa hivi ukisoma michango yao ni maginius kinouma ,ila wakifungwa tu ndio utajua kwanini manara alisema wenye akili ni wawili tu🀣🀣
 
Ewaaaaah πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hatimaye nimeonekana.

Napokea yote kwa jina la Yesu.
 
Dah! Huyo mwamba Tate Mkuu ni mtu na nusu!! I wish ningemuona alipokuwa kijana ili anihamishie busara zake zisizo na kipimo!!

Nawaza tu huyu Mzee angekuwa ni kiongozi mkubwa kwenye hii nchi, mpaka muda huu nahisi tungekuwa ni Donor Country!

Halafu nilisahau!! Huyu mwamba Labani og, ni Jeshi kubwa kabisa duniani! Kwanza siyo mtu muoga! Na anaweza kuanzisha uzi wake wa kuwakera mashabiki wote wa Simba! Na wakijaribu tu kupambana naye, ndani ya muda mfupi tu unamkuta amewagaragaza wote kwenye matope!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…