Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
covid ni malaya wa nduli magufuli na yule mwenye ukimwi na mental disorder ndugai.Covid 19 walipitaje hapo Chadema?
Duhcovid ni malaya wa nduli magufuli na yule mwenye ukimwi na mental disorder ndugai.
Hatari sn
Waaoh! Kumbe yupo ulingoni?17. Philipo Mulugo (Songwe)
2015 Kikwete alikataa baadhi ya maeneo mfano LudewaKwani haya mambo yameanza 2020 au kabla yake?
Plus Covid 19
Kua makini Mzee Hilo ni dume lenzako usije poteza marinda baharia mwenzetu 🤣nije pm ka`baby?
Sheria yetu ya uchaguzi sio tuu ni sheria mbovu bali pia ni sheria batili!. Sheria ya Uchaguzi Ni Bad Law! Kuendelea Kuitumia ni Ujinga? Kuwabebesha Masikini Gharama za Uchaguzi ni Dhambi!Wabunge waliopita bila kupingwa
Wataalamu wa sheria wanasema the law is not retrospective sijui hapa itakuwaje, ngoja waje. Pascal Mayalla
Pia soma > Mahakama Kuu: Kutangaza Washindi wa Uchaguzi waliopita bila kupingwa ni Kinyume cha Katiba
Hapana hao ni wale waliotangazwa na NEC nenda kwenye web ya NEC uone.Plus Covid 19
Heshima kitu cha bure!. Usitukane watu malay. Unless una uthibitisho wanafanya ile biashara!.covid ni malaya wa
Shujaa wetu usimuite nduli!, nduli ni mmoja tuu, Iddi Amini Dada!.nduli magufuli
Huu ni unyanyapaa!.na yule mwenye ukimwi
Huu ni ugonjwa kama magonjwa mengine yoyote!, sio busara kuwatukana violence wetu!.na mental disorder ndugai.
🤩🤩Hapana hao ni wale waliotangazwa na NEC nenda kwenye web ya NEC uone.
Nchi ngumu sana Hii ni kama Watu wake wamerogwa!Yaani kwa tafsiri fupi, ni kwamba, hawajawahi kuwa wabunge
Kwanza, kwenye hiyo list, umemsahau Deo Mwanyika - jimbo la Njomve mjini.Wabunge waliopita bila kupingwa (2020) na majimbo yao kwenye mabano.
1. Hamis Kigwangalla (Nzega Vijijini)
2. Kassim Majaliwa (Ruangwa)
3. Nape Nnauye (Mtama)
4. Vita Kawawa (Namtumbo)
5. Sagini Abdallah (Butiama)
6. Alexander Mnyeti (Misungwi)
7. January Makamba (Bumbuli)
8. Elias Kwandikwa (Ushetu)
9. Job Ndugai (Kongwa)
10. Ahmed Shabiby (Gairo)
11. Palamagamba Kabudi (Kilosa)
12. Jonas Van Zeeland (Mvomero)
13. Kalogereris Innocent (Morogoro Kusini)
14. Taletale Hamis Shabani (Morogoro Mashariki)
15. Eng. Isaack Kamwelwe (Mlele)
16. Geofrey Pinda (Kavuu)
17. Philipo Mulugo (Songwe)
18. Zedi Jumanne (Bukene).
Wataalamu wa sheria wanasema the law is not retrospective sijui hapa itakuwaje, ngoja waje. Pascal Mayalla
Pia soma > Mahakama Kuu: Kutangaza Washindi wa Uchaguzi waliopita bila kupingwa ni Kinyume cha Katiba
Kuwa jaji au mwanasheria ni sawa tu na fani nyingine:Ilikuwaje wakati mwenyekiti wa nec ni jaji? Au yeye ni tofauti na majaji wa mahakama kuu waliotoa hukumu hiyo?!
Tutafika tumechokaNchi ngumu sana Hii ni kama Watu wake wamerogwa!