Hawa ndio Wabunge waliopita bila kupingwa (2020) ambao Mahakama imesema ni batili

Hawa ndio Wabunge waliopita bila kupingwa (2020) ambao Mahakama imesema ni batili

Kupita bila kupingwa si kwamba vyama vingine hawakuweka wagombea au.? Kama ni hvy kosa liko wapi.?
Hata kama mgombea ni mmoja, ni lazima wananchi wapige kura. Na kura itakuwa ya NDIYO au HAPANA. Hapana zikizidi, ameanguka, anatafutwa mwingine.

Na hiyo iliwekwa wazi ili kuondoa ule upumbavu wa 2020 uliofanywa na mahela, ya kuwafuta wagombea wengine kwa sababu za kijinga kabisa ili akina Majaliwa wapite bila kupingwa na bila ya kupigiwa kura na mtu yeyote.
 
Hivi hakuna namna ya yeye kuulizwa, kama na yeye ni Jaji, je hili la ubatili alikuwa analifahamu kwa kiasi gani, na alilishughulikia vipi, katika nafasi yake kama Jaji, yaani mlinzi wa sheria za nchi. Anyway Yaache take hivyo hivyo tusije mwaga jozi hadharani Kam yule Muraaaa majuzi tuu.
Huyo jaji inabidi tume ya majaji imfute. Kama bado ana nguvu aende akawe mjumbe wa baraza la ardhi la kata.
 
Kwahio Baraz la mawaziri lina mwaziri feki?
Tena hata Waziri Mkuu ni fake. Majaliwa hana kura hata moja ya mwananchi yeyote.

Hawa walipita kwa hongo. Waluwahonga wasimamizi wa uchaguzi waondoe majina ya wapinzani wao ili wao watangazwe wamepita bila kupingwa.

Hawa wote wanatakiwa kufukuzwa na kuzuiwa kugombea nafasi yoyote mpaka baada ya miaka 10.
 
Halali tusiendelee kama waziri mkuu mwenyewe nafasi yake ni batili !
 
Tena hata Waziri Mkuu ni fake. Majaliwa hana kura hata moja ya mwananchi yeyote.

Hawa walipita kwa hongo. Waluwahonga wasimamizi wa uchaguzi waondoe majina ya wapinzani wao ili wao watangazwe wamepita bila kupingwa.

Hawa wote wanatakiwa kufukuzwa na kuzuiwa kugombea nafasi yoyote mpaka baada ya miaka 10.
Halafu umkute sasa Nape anavyojitapa sasa, utadhani mbunge halali kumbe feki tu.
 
Back
Top Bottom