Pre GE2025 Hawa ndio walioumizwa sana na matokeo ya uchaguzi wa CHADEMA

Pre GE2025 Hawa ndio walioumizwa sana na matokeo ya uchaguzi wa CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
wala sijaumia hata kidogo! why siijaumia?
Lisu was my favorite politician...lakini hali aliyoionesha katika kampeni hizi na kuropoka kwake, nikamchukia...simtaki katu! Kwangu mimi chadema was my favorite pary... kama kuna mtu wa hovyo at the top, haininyimi usingizi...only one solution... to abandon it!
 
1. Rais Samia
2.Dr. Nchimbi
3. Paul Makonda
4. Mrisho Gambo
5. Lucas Mwashambwa
6. @Mtumshi wa Mungu asiyemjua Mungu mama D
7. Crimea
8. Gwajima
9.Job Ndugai
Ni samiah pekee!hao wengine kwao ni fursa ya kurudi chimwaga!!

Lisu akianza kulishwa taarifa nyeti za kitengo kuhusu mikataba iliyosainiwa mama pressure itampanda ndipo kina nchimbi wataula na upepo kubadilika!!

Mama akikaza fuvu atakua no mhanga was usaliti Hadi vyombo nyeti kama alivyojipambanua Dr.Slaa!!

Nasubiri kuona!!
 
Upepo umebadilika. Kwa kuwwa CCM wamebadili gia angani wakaamua kupitisha wagombea urais kabla ya wakati hali iliyosababisho kusiwepo kwa hamasa. Sasa hamasa imehamia CHADEMA. Timu Lisu watulize akili waweke mikakati maana wataisumbua sana CCM mwaka huu.
 
wala sijaumia hata kidogo! why siijaumia?
Lisu was my favorite politician...lakini hali aliyoionesha katika kampeni hizi na kuropoka kwake, nikamchukia...simtaki katu! Kwangu mimi chadema was my favorite pary... kama kuna mtu wa hovyo at the top, haininyimi usingizi...only one solution... to abandon it!
Mkuu kubali tu kuwa Lissu kashinda no ways
 
Back
Top Bottom