Pre GE2025 Hawa ndio walioumizwa sana na matokeo ya uchaguzi wa CHADEMA

Pre GE2025 Hawa ndio walioumizwa sana na matokeo ya uchaguzi wa CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lucas Mwashambwa yupo anaanda andiko moja ,lenye kichwa cha habari, 2025,CHADEMA chini ya LIsu inakwenda kuangukia pua,kisha Lisu atatorokea Ubelgiji kwa Aibu, baada ya hapo atashuka na andiko lenye kicha cha Habari kisemacho, Mitaani watanzania wabubujikwa na machozi ya furaha,waahidi kumpa kura Zote Mama.
 
Km ni hivi nimeamini ccm hawakuwa nyuma ya mbowe, walimuonea tu mbowe!
Maana ingekuwa kweli ccm haishindwi kitu
Unajua kuwa ccm na serikali ni kitu kimoja? Walishindwa uchaguzi wa Rais wa chama cha wana sheria ambapo fedha nyingi za wa lipa kodi ziko Tumika kutaka kumuangusha wakili Mwabukusi lakini wanashindwa!
Katika uchaguzi huu wa Chadema, Samia ametumia fedha nyingi sana kuhonga wajumbe wasimchague Lissu lakini wameshindwa.
 
Back
Top Bottom