Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Taja jina lake kamili NDULI ABDUL BIZIMUNGU MUHOOZIAbduli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taja jina lake kamili NDULI ABDUL BIZIMUNGU MUHOOZIAbduli
Mwamba ni TEAM LISSU
Dah mimi tena mtani😂😂😂
Molemo1. Rais Samia
2.Dr. Nchimbi
3. Paul Makonda
4. Mrisho Gambo
5. Lucas Mwashambwa
6. @Mtumshi wa Mungu asiyemjua Mungu mama D
7. Crimea
8. Gwajima
9.Job Ndugai
Huyo namba 5 amepotea kabisa 🤣 🤣 🤣 🤣1. Rais Samia
2.Dr. Nchimbi
3. Paul Makonda
4. Mrisho Gambo
5. Lucas Mwashambwa
6. @Mtumshi wa Mungu asiyemjua Mungu mama D
7. Crimea
8. Gwajima
9.Job Ndugai
Mkuu kumbe bado wanataka kuleta kamdomoKwa nini ukweli unauuita uropokaji? Kuuita ukweli ni uropokaji, ndiyo uropokaji wenyewe. Hivyo wewe ndiye unakuwa mropokaji.
Molemo kaibuliwa na uchaguzi huu baada ya kupotea kwa muda mrefu
Yupo anabubujikwa na machozi, kamdomo sio kazuriHuyo namba 5 amepotea kabisa 🤣 🤣 🤣 🤣
Gwajima mtoe hapo1. Rais Samia
2.Dr. Nchimbi
3. Paul Makonda
4. Mrisho Gambo
5. Lucas Mwashambwa
6. @Mtumshi wa Mungu asiyemjua Mungu mama D
7. Crimea
8. Gwajima
9.Job Ndugai
Km ni hivi nimeamini ccm hawakuwa nyuma ya mbowe, walimuonea tu mbowe!Gwajima mtoe, ndio alimpa details za shambulio Mh LISSU .
Hao wote ni kundi moja!Yaani Samia aumie amzidie Abdul, mwanaye na boss wa Wenje?!
Unajua kuwa ccm na serikali ni kitu kimoja? Walishindwa uchaguzi wa Rais wa chama cha wana sheria ambapo fedha nyingi za wa lipa kodi ziko Tumika kutaka kumuangusha wakili Mwabukusi lakini wanashindwa!Km ni hivi nimeamini ccm hawakuwa nyuma ya mbowe, walimuonea tu mbowe!
Maana ingekuwa kweli ccm haishindwi kitu
🤣🤣🤣🤣UVccm na chawa wake wote
Sugu apumzike ni liability kwa Chadema kanda ya nyanda za juu.SUGU,WENJE,BONI BONGE, NTOI,MBOWE & MACHAWA CO.