Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 12,823
- 21,210
Sugu lazima aachie jimbo.Mwabukusi anakwenda kuchukua Jimbo la Mbeya mjini na kupewa kiti cha Kanda ya Nyasa.
cdm kumenoga!
Boni Yai akalee kitambi chake nyumbani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sugu lazima aachie jimbo.Mwabukusi anakwenda kuchukua Jimbo la Mbeya mjini na kupewa kiti cha Kanda ya Nyasa.
cdm kumenoga!
Wewe si ulisema LISSU akishinda unajiondoa jf ,sasa apa unafanya nini, punguza kamdomoLucas Mwashambwa yupo anaanda andiko moja ,lenye kichwa cha habari, 2025,CHADEMA chini ya LIsu inakwenda kuangukia pua,kisha Lisu atatorokea Ubelgiji kwa Aibu, baada ya hapo atashuka na andiko lenye kicha cha Habari kisemacho, Mitaani watanzania wabubujikwa na machozi ya furaha,waahidi kumpa kura Zote Mama.
Hayo ndiyo maumivuwala sijaumia hata kidogo! why siijaumia?
Lisu was my favorite politician...lakini hali aliyoionesha katika kampeni hizi na kuropoka kwake, nikamchukia...simtaki katu! Kwangu mimi chadema was my favorite pary... kama kuna mtu wa hovyo at the top, haininyimi usingizi...only one solution... to abandon it!
10.wewe uliyeandika huu uzi1. Rais Samia
2.Dr. Nchimbi
3. Paul Makonda
4. Mrisho Gambo
5. Lucas Mwashambwa
6. @Mtumshi wa Mungu asiyemjua Mungu mama D
7. Crimea
8. Gwajima
9.Job Ndugai
😀orodha ni ndefu, umemuacha wassira muendeleza maridhiano, kitila na wengine wengi
Mdomo unaponza,ila sasa hivi namuunga mkono Lisu,hakuna namna tena.Wewe si ulisema LISSU akishinda unajiondoa jf ,sasa apa unafanya nini, punguza kamdomo
Apo sawa mkuu ,tupo pamoja, nikuombe na wale wengine waliokua na kamdomo ,wapatie ujumbe wako , umeonesha ukomavu mkuuMdomo unaponza,ila sasa hivi namuunga mkono Lisu,hakuna namna tena.
Watu waliokuwa wakifuatilia mamba lissu na Mbowe nani zaidi mchezo umeisha watz hawana habari na siasa wanachofuatilia ni matukio1. Rais Samia
2.Dr. Nchimbi
3. Paul Makonda
4. Mrisho Gambo
5. Lucas Mwashambwa
6. @Mtumshi wa Mungu asiyemjua Mungu mama D
7. Crimea
8. Gwajima
9.Job Ndugai
Na Mwenyekiti NEC1. Rais Samia
2.Dr. Nchimbi
3. Paul Makonda
4. Mrisho Gambo
5. Lucas Mwashambwa
6. @Mtumshi wa Mungu asiyemjua Mungu mama D
7. Crimea
8. Gwajima
9.Job Ndugai
Lucas Mwashambwa ndo kitongoji gani mkuu1. Rais Samia
2.Dr. Nchimbi
3. Paul Makonda
4. Mrisho Gambo
5. Lucas Mwashambwa
6. @Mtumshi wa Mungu asiyemjua Mungu mama D
7. Crimea
8. Gwajima
9.Job Ndugai
Safi ,huu ushindi wa Lissu haukutesi Kaka maana mliowekeana hela simu zako wanapokea kweli?
Mungu ni mwema sanaKura yangu moja kwa moja kwa mtu aliyepona baada ya kupigwa risasi 16. Ni shujaa, atatumia ushujaa huo kuongoza taifa.
Kuna vichwa akina Malaria😀😀Yeriko Nyerere ndio Mpumbafu kabisa
Baada ya Kunadi sera za Mbowe akawa anamtukana Lissu.
Somo kwa vijana
Wanadi wagonbea kwa hoja na si Matusu.
YERIKO NYERERE ZERO BRAIN.
Zile laki tano tano zako saaa mzee ukakusanyeVipi Mkuu
Tunaenda kuvuna mamilioni ya Watz waliokuwa wanasita kujiunga sababu ya Mbowe.Mwabukusi anakwenda kuchukua Jimbo la Mbeya mjini na kupewa kiti cha Kanda ya Nyasa.
cdm kumenoga!
Pole sanaSimu hazipatikani.
Uyu ni chawa wa ccm ,alikua na kamdomo sana , kwenye uchaguzi ambao hata sio chama chake.Lucas Mwashambwa ndo kitongoji gani mkuu
Gwajima kafurahi maana mpinzani wake wa kweli halima mdee ndo harudi tena1. Rais Samia
2.Dr. Nchimbi
3. Paul Makonda
4. Mrisho Gambo
5. Lucas Mwashambwa
6. @Mtumshi wa Mungu asiyemjua Mungu mama D
7. Crimea
8. Gwajima
9.Job Ndugai