Pre GE2025 Hawa ndio walioumizwa sana na matokeo ya uchaguzi wa CHADEMA

Pre GE2025 Hawa ndio walioumizwa sana na matokeo ya uchaguzi wa CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lucas Mwashambwa yupo anaanda andiko moja ,lenye kichwa cha habari, 2025,CHADEMA chini ya LIsu inakwenda kuangukia pua,kisha Lisu atatorokea Ubelgiji kwa Aibu, baada ya hapo atashuka na andiko lenye kicha cha Habari kisemacho, Mitaani watanzania wabubujikwa na machozi ya furaha,waahidi kumpa kura Zote Mama.
Wewe si ulisema LISSU akishinda unajiondoa jf ,sasa apa unafanya nini, punguza kamdomo
 
wala sijaumia hata kidogo! why siijaumia?
Lisu was my favorite politician...lakini hali aliyoionesha katika kampeni hizi na kuropoka kwake, nikamchukia...simtaki katu! Kwangu mimi chadema was my favorite pary... kama kuna mtu wa hovyo at the top, haininyimi usingizi...only one solution... to abandon it!
Hayo ndiyo maumivu
 
Yeriko Nyerere ndio Mpumbafu kabisa

Baada ya Kunadi sera za Mbowe akawa anamtukana Lissu.

Somo kwa vijana
Wanadi wagonbea kwa hoja na si Matusu.

YERIKO NYERERE ZERO BRAIN.
Kuna vichwa akina Malaria😀😀
 
Back
Top Bottom