Pre GE2025 Hawa ndio walioumizwa sana na matokeo ya uchaguzi wa CHADEMA

Pre GE2025 Hawa ndio walioumizwa sana na matokeo ya uchaguzi wa CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
wala sijaumia hata kidogo! why siijaumia?
Lisu was my favorite politician...lakini hali aliyoionesha katika kampeni hizi na kuropoka kwake, nikamchukia...simtaki katu! Kwangu mimi chadema was my favorite pary... kama kuna mtu wa hovyo at the top, haininyimi usingizi...only one solution... to abandon it!
Bora wabaki watu sensible wansojielewa
 
wala sijaumia hata kidogo! why siijaumia?
Lisu was my favorite politician...lakini hali aliyoionesha katika kampeni hizi na kuropoka kwake, nikamchukia...simtaki katu! Kwangu mimi chadema was my favorite pary... kama kuna mtu wa hovyo at the top, haininyimi usingizi...only one solution... to abandon it!
Bado hujasema meku 🐼🤣
 
wala sijaumia hata kidogo! why siijaumia?
Lisu was my favorite politician...lakini hali aliyoionesha katika kampeni hizi na kuropoka kwake, nikamchukia...simtaki katu! Kwangu mimi chadema was my favorite pary... kama kuna mtu wa hovyo at the top, haininyimi usingizi...only one solution... to abandon it!
Kwa nini ukweli unauuita uropokaji? Kuuita ukweli ni uropokaji, ndiyo uropokaji wenyewe. Hivyo wewe ndiye unakuwa mropokaji.
 
wala sijaumia hata kidogo! why siijaumia?
Lisu was my favorite politician...lakini hali aliyoionesha katika kampeni hizi na kuropoka kwake, nikamchukia...simtaki katu! Kwangu mimi chadema was my favorite pary... kama kuna mtu wa hovyo at the top, haininyimi usingizi...only one solution... to abandon it!
Kwa hiyo mzee haujaumia ila umechukia na kususa 😂😂
 
Vijana wakajiandikishe tu ndio kilicho baki
Hapa umenena, CDM wahamasishe vijana kujiandikisha na sio kusubiri zoezi limefungwa wanaanza kulialia na pia uchaguzi mkuu sio wa kutegemea kelele za mitandaoni peke yake bali kwenda mtaa kwa mtaa na huko vijijini kuwashawishi vijana wajiandikishe kwenye daftari la mpiga kura
 
Back
Top Bottom