Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ntobi1. Rais Samia
2.Dr. Nchimbi
3. Paul Makonda
4. Mrisho Gambo
5. Lucas Mwashambwa
6. @Mtumshi wa Mungu asiyemjua Mungu mama D
7. Crimea
8. Gwajima
9.Job Ndugai
Sahv hajibu watu kwa ule upumbavu wake amepoa saanaHuyo namba 5 amepotea kabisa 🤣 🤣 🤣 🤣
YeahUVccm na chawa wake wote
Jamaa kapata tumbo la kuhara na sio Malaria tena
Huyu kapewa life ban
GOO and GET LOST FOREVER...!!wala sijaumia hata kidogo! why siijaumia?
Lisu was my favorite politician...lakini hali aliyoionesha katika kampeni hizi na kuropoka kwake, nikamchukia...simtaki katu! Kwangu mimi chadema was my favorite pary... kama kuna mtu wa hovyo at the top, haininyimi usingizi...only one solution... to abandon it!
Wacha tumtag kabisa FaizaFoxyYule bibi mdini faiza nayeye humo humo
Safi ,huu ushindi wa Lissu haukutesi Kaka maana mliowekeana hela simu zako wanapokea kweli?Vipi Mkuu
wajiunge naye. after failed to defeat him, let them join him. Sio rahisi chama kukataa wanachama wapya, sio?1. Rais Samia
2.Dr. Nchimbi
3. Paul Makonda
4. Mrisho Gambo
5. Lucas Mwashambwa
6. @Mtumshi wa Mungu asiyemjua Mungu mama D
7. Crimea
8. Gwajima
9.Job Ndugai
yalikuwa ni maelekezo ya Magu. Hakuwa na namna Job,Ndugai anakumbuka alivyominya haki za Lissu
Mwabukusi anakwenda kuchukua Jimbo la Mbeya mjini na kupewa kiti cha Kanda ya Nyasa.SUGU,WENJE,BONI BONGE, NTOI,MBOWE & MACHAWA CO.
Ondoka haraka mkuu.wala sijaumia hata kidogo! why siijaumia?
Lisu was my favorite politician...lakini hali aliyoionesha katika kampeni hizi na kuropoka kwake, nikamchukia...simtaki katu! Kwangu mimi chadema was my favorite pary... kama kuna mtu wa hovyo at the top, haininyimi usingizi...only one solution... to abandon it!
Haa Hii Bhaghosha1. Rais Samia
2.Dr. Nchimbi
3. Paul Makonda
4. Mrisho Gambo
5. Lucas Mwashambwa
6. @Mtumshi wa Mungu asiyemjua Mungu mama D
7. Crimea
8. Gwajima
9.Job Ndugai