Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
basi itakua mmefanana 🐒Sinza maupinde Mengi sipitagi huko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
basi itakua mmefanana 🐒Sinza maupinde Mengi sipitagi huko.
Ansbert Ngurumo akimpigia sana debe Mbowe kwenye “ Maswali Magumu”!Ntobi
Kijeriko Nyerere
Ansbert Ngurumo nimemzalau sana na siku hizi simfuatilii kabisa kwenye youtube zake. Mjamaa ni mjinga sana yaani hata hajishitukii kuwa against na umma.Ansbert Ngurumo akimpigia sana debe Mbowe kwenye “ Maswali Magumu”!
Sijua baada ya Lissu kushinda ataleta longo longo gani Tena!
Ongeza, Tlaatlaah, malaria 21. Rais Samia
2.Dr. Nchimbi
3. Paul Makonda
4. Mrisho Gambo
5. Lucas Mwashambwa
6. @Mtumshi wa Mungu asiyemjua Mungu mama D
7. Crimea
8. Gwajima
9.Job Ndugai
Eti mtumishi wa Mungu asiyemjua Mungu1. Rais Samia
2.Dr. Nchimbi
3. Paul Makonda
4. Mrisho Gambo
5. Lucas Mwashambwa
6. @Mtumshi wa Mungu asiyemjua Mungu mama D
7. Crimea
8. Gwajima
9.Job Ndugai
Mwabukusi akachukue jimbo la kwao Busokelo. Mbeya awaachie vijana wengine wawatoe jasho chawa wa Samia wakina Tulia.Mwabukusi anakwenda kuchukua Jimbo la Mbeya mjini na kupewa kiti cha Kanda ya Nyasa.
cdm kumenoga!
Inauma sana.Mwamuzi wa Tanzania hii imekaaje,
Mtu anajitahidi kuhonga kila aina ya vitu vya thamani
Gari unamnunulia, Laptop, Simu ya thamani, mikufu nk nk halafu kabla ya kufaidi matunda yake anaolewa na mwingine
Abdul, Sa100, TISS, Kikwete wanajisikiaje mahela ya kulabisha mtu asali na hata mihela ya uchaguzi kutoa toa end of the day Lissu kamchukua Mwali Chandema?
Kama ni mimi Mbowe sirudishi hata shilingi 100.Inauma sana.
Bilioni zao Mbowe azilipe hata nusu
Mayalla hana msimamo ni opportunist!
List haijakamilika bila kuweka jina la Ngongo.1. Rais Samia
2.Dr. Nchimbi
3. Paul Makonda
4. Mrisho Gambo
5. Lucas Mwashambwa
6. @Mtumshi wa Mungu asiyemjua Mungu mama D
7. Crimea
8. Gwajima
9.Job Ndugai
Bendera inayofuata upepoMayalla hana msimamo ni opportunist!
🤣🤣🤣🤣🤣Lucas Mwashambwa yupo anaanda andiko moja ,lenye kichwa cha habari, 2025,CHADEMA chini ya LIsu inakwenda kuangukia pua,kisha Lisu atatorokea Ubelgiji kwa Aibu, baada ya hapo atashuka na andiko lenye kicha cha Habari kisemacho, Mitaani watanzania wabubujikwa na machozi ya furaha,waahidi kumpa kura Zote Mama.
Mbowe na team yake walikiapiza kuwa angeshinda , hao wote team Lissu wangefukuzwa Chadema!!