Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Kawaida tu😂 dhambi hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawaida tu😂 dhambi hiyo
Asante sana love😘😘😘😘.
Kwenye chama chenu cha mizagamuano mnitoe bob .. nimebaki kwenye cha wizi tuWazee wa mizagamuano 👉 Mzee wa kupambania, National Anthem, Juma1967, mzabzab , DeepPond hawa wamezidi
Anatuletea u staaar, mi mwenyewe star boda wangu star 🤗Aiii unajikuta staa
Ww pia kwangu uko poa love😘😘😘😘😍😍❤️Unique Flower ,Lovelovie To yeye,Joannah Antonnia Nakadori .
mzabzab mpwayungu village Hawa kwangu wapo poa
Ndio hapo sasa, sie wenyewe mastaaAnatuletea u staaar, mi mwenyewe star boda wangu star 🤗
Nahisi atakuja na hapa mpambane labda asione Uzi huu🤣9. GENTAMYCINE
Huyu jamaa yeye falsafa zake ni zakujimwambafai, majigambo, mikwala kibao lakini emotional intelligence yake ni sifuri. Huyu analigi nyingi mno na yupo tayari kupambana na yeyote.
Bestie angu staar, wanangu mastar mpaka jibwa langu star.Ndio hapo sasa, sie wenyewe mastaa
Babycare🤣dronedrake
Mwamba anatisha sana na Falsafa yake inayowasaidia vijana wasipate Gonorrhea na Syphils mbupu zikakatika pamoja na kuwa safi kiuchumi..
Ushaijua hiyo falsafa?..Let me know
Sure[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Tunailinda Jf isiibiwe Half american Dahan Bantu Lady To yeye Mwachiluwi Palina mtu chake Half american mkwepu jr Poor Brain National Anthem Analyse
The Icebreaker
Sandy360
Otilo-hotkid 😌😌😌😌Tombilo unashida gani,au na wewe umeamua kuja na falsafa yako ya dislike
Haina show showBestie angu staar, wanangu mastar mpaka jibwa langu star.
Kumaanisha nini 😂
Binti kuwa na heshima nina 57 years nina uwezo wa kukuzaa ww hata kukuzalisha kaa chonjo sio wote ni watoto humu ndani 😠Anatafuta kuonekana
Anatafuta tunote kama na kenyewe kapo hewani
Vitoto hivyo vya baleghe ya 2000s