Hawa ndio Wana JF wenye Ligi na wenye falsafa zao humu ndani

Madam fanya yameisha yeye hajamaanisha falsafa Bali unachokipenda
hatuchezewi Uislam wetu hata kidogo.

Muislam anayejijua siyo wa kupigwa la kushoto tukageuza la kulia.

Hakuna binadam yeyeote mwenye "falsafa" ya uidlam, na Uislam siyo Falsafa, bali kuna Waisam na fasafa zao, lakini siyoUislam.

Mpaka akiri hapo alikuwa haeelewi na kakosea.

Uislam huwa siyo wa kukisia kisia, mafundisho yake yapo to the dot.
 
Sishangai Robert Heriel Mtibeli kutokumweka bwana rikiboy namba moja na falsafa yake ya kula tunda kimasihara ndio aje Liverpool VPN na falsafa ya kataa ndoa kwasababu kisaikolojia watu huwa hawapendi mjue vitu wanavyovipenda kwasababu vitawapa lead ya kujua wakoje.
 
Kiukweli ukijua kitu kinachompa mtu furaha bhasi ushamjua huyo mtu kiundani na madhaifu yake
 
I don't know why but each time I see a post with your name uwa napita kama mgalilaya, most of your post lacks originality and authenticity.... Imo don't let my comment be biased I'm just being honest.
 
Roberts heriel mtibeli
huyu mwamba huwa ni mjuaji juaji sana, yaan kila kitu anajua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…