Hawa ndio wanawake wetu wasomi, bado hatuelewi nini wanataka

Hawa ndio wanawake wetu wasomi, bado hatuelewi nini wanataka

Bora ubaki hapo hapo pa kutokujua Nini tunataka..la sivyo utakufwa bure .
 
Wa hivo unakuta mama zao hawakuolewa nao walikuwa masingle maza na wameshamezeshwa sumu za kifala.

Kama sio utakuta mama yake ni wale wanawake wanao waendesha waume zao sana ndani ya familia

Kabla ya kumuoa mwanamke chunguza sana familia anayotoka ni ya aina gani usije fungashiwa mbuzi kwenye gunia afu badae ukaanza kuweka mikono kichwani.

Mwanamke anayetoka kwenye familia ambayo baba na mama wanaishi pamoja kwa upendo ktk ndoa na ukute baba anaheshimika kwa mama na watoto, hawezi kuwa na mawazo mgando kama hayo walokuwa wanadiscuss.

Nakupa assignment, kachunguze huyo binti familia anayotoka lazma utakuta inakasoro tajwa hapo juu. Na ukisha chunguza tuletee mrejesho.
 
Wengi wa wanawake wasomi wanataka uhuru na usawa, ambavyo vinawezekana kikamilifu wakiwa ma-single.
Ile kanuni ya asili, sawa na maandiko, ya KUTAWALIWA na mume wanaona ni kero..

Mwanzo 3:16
Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala.

Maneno aliyoongea Mungu kwa hasira
Adamu - Utarudi mavumbini
Eva - Mumeo atakutawala

Haibadilishiki wala haikanushiki siku zote mwanaume ni kichwa cha familia na kiongozi wa mke wake na familia. Haijalishi kama huyo mke ni msomi au lah.
 
Maneno aliyoongea Mungu kwa hasira
Adamu - Utarudi mavumbini
Eva - Mumeo atakutawala


Haibadilishiki wala haikanushiki siku zote mwanaume ni kichwa cha familia na kiongozi wa mke wake na familia. Haijalishi kama huyo mke ni msomi au lah.
[emoji122][emoji122][emoji122]
Tatizo dada zetu siku hizi wameota mapembe, akili zao ni kutaka kupindua meza, wawe watawala katika nyumba na kichwa cha familia.
Wanataka waende kinyume na agano la Mungu mwisho wake wanaangukia kwenye agano la shetani.
 
[emoji122][emoji122][emoji122]
Tatizo dada zetu siku hizi wameota mapembe, akili zao ni kutaka kupindua meza, wawe watawala katika nyumba na kichwa cha familia.
Wanataka waende kinyume na agano la Mungu mwisho wake wanaangukia kwenye agano la shetani.
Na jinsi shetani anavyotupenda wanaume sasa, yan wakianza kutaka kutupanda kichwani tu shetani anatuambia tuwadump analeta wenye unyenyekevu
 
Tafiti zipo wazi ;
Watoto waliolelewa na mzazi mmoja (Single Mother) huwa katika hatari kubwa zaidi ya Kupata mimba utotoni, kama ni wa kiume kumaliza shule huwa ni ngumu. Wa kiume ndio huathirika zaidi kwa kukosa Strong Role Model (Baba yake) hivyo hujikuta akikosa ujuzi na busara muhimu kutoka kwa Baba ambazo zingemsaidia kuboresha maisha yake. Wanawake mjitahidi kuzaa katika Ndoa, Mkishindwa basi hakikisha Baba Mtoto anahusika katika malezi. Mapenzi ya Baba ni muhimu kuliko mnavyodhani!
 
Tafiti zipo wazi ;
Watoto waliolelewa na mzazi mmoja (Single Mother) huwa katika hatari kubwa zaidi ya Kupata mimba utotoni, kama ni wa kiume kumaliza shule huwa ni ngumu. Wa kiume ndio huathirika zaidi kwa kukosa Strong Role Model (Baba yake) hivyo hujikuta akikosa ujuzi na busara muhimu kutoka kwa Baba ambazo zingemsaidia kuboresha maisha yake. Wanawake mjitahidi kuzaa katika Ndoa, Mkishindwa basi hakikisha Baba Mtoto anahusika katika malezi. Mapenzi ya Baba ni muhimu kuliko mnavyodhani!
Kabisa mapenzi ya baba ni muhimili
 
Maneno aliyoongea Mungu kwa hasira
Adamu - Utarudi mavumbini
Eva - Mumeo atakutawala


Haibadilishiki wala haikanushiki siku zote mwanaume ni kichwa cha familia na kiongozi wa mke wake na familia. Haijalishi kama huyo mke ni msomi au lah.
Naunga mkono kabisaa ...kamwe haibadilishiki
 
wa hivo unakuta mama zao hawakuolewa nao walikuwa masingle maza na wameshamezeshwa sumu za kifala.

kama sio utakuta mama yake ni wale wanawake wanao waendesha waume zao sana ndani ya familia

kabla ya kumuoa mwanamke chunguza sana familia anayotoka ni ya aina gani usije fungashiwa mbuzi kwenye gunia afu badae ukaanza kuweka mikono kichwani.

mwanamke anayetoka kwenye familia ambayo baba na mama wanaishi pamoja kwa upendo ktk ndoa na ukute baba anaheshimika kwa mama na watoto, hawezi kuwa na mawazo mgando kama hayo walokuwa wanadiscuss.

nakupa assignment, kachunguze huyo binti familia anayotoka lazma utakuta inakasoro tajwa hapo juu. Na ukisha chunguza tuletee mrejesho.
Aiseee
 
Back
Top Bottom