Hawa ndio wanawake wetu wasomi, bado hatuelewi nini wanataka

Hawa ndio wanawake wetu wasomi, bado hatuelewi nini wanataka

Huyo nesi aliyekua anamlisha sumu mwenzie..ni kwamba yeye aliingiaa chaka bovu..ss anajaribu kumdanganya na mwenzie asikubali kuolewa wakati ndoa haziko sawa...HIYO NI SUMU MBAYA SANA ANAMLISHA na kumpotosha...
Vipi umeolewa na ni mama tayari?
 
Kama nimeanza kuwaelewa Wataliban wa Afghanstan kwamba hawa dada zetu ukiwapa uhuru usio na mipaka bila restrictions matokeo yake ndiyo haya social anarchy n chaos sifa imekuwa usingle mother, kuzaa bila ndoa, watoto wasio na baba, kudanga (prostitution) imekuwa sifa na maovu yote.
 
Kaka yangu ana tabia kama yako ya kila jambo lake anamuomba mama ushauri.

Kiasi anaweza gombana na mtu hapa kinachofuata ni simu kwa mama kujielezea.

Akiniomba kitu nisipompa ni simu kwa mama.

Nadharau watu wenye tabia hizi.
 
Wasaalam

Wakuu,

Leo asubuhi nilidamka mapema , wakati huu nilikuwa natoka kibaruani wakati najongea mdogo mdogo nyumbani nikapanda hewani nikampigia Mama, naam mama daVinci XV ,Nilimpgia asubuhi kwa sababu Mosi , ni Mila na Desturi zangu kumtaka hali kila uchao lakini pili nlitaka kuchota machache kuhusu siri nyingine zaidi na zaidi juu ya mwanamke ikiwemo yeye kuishi na Mzee wangu mpaka hivi sasa licha ya misuko suko ya ndoa
Waache waendelee kujazana uozo ili wachache wao wanaojitambua thamani yao izidi kupanda.
 
Wote hatuwezi jua wanawake wanataka nini ila, mwanamke akishakuwa na uhakika wa maisha yke bas huwa anakaa mbali na mwanaume anajitenga nasi wakiamini kwamba bila sisi wanaweza kuishi Tena kwa furaha zaid
Ni ubinafsi tu walioumbiwa...yaan wanawake ni selfish by nature
 
Kama nimeanza kuwaelewa Wataliban wa Afghanstan kwamba hawa dada zetu ukiwapa uhuru usio na mipaka bila restrictions matokeo yake ndiyo haya social anarchy n chaos sifa imekuwa usingle mother, kuzaa bila ndoa, watoto wasio na baba, kudanga (prostitution) imekuwa sifa na maovu yote.
Halafu wakishabanwa ...wanaanza kudai ile 50/50 na kanuni yaa Uumbaji kwamba sisi tutakuwa juu yao inavunjika
 
Kaka yangu ana tabia kama yako ya kila jambo lake anamuomba mama ushauri.

Kiasi anaweza gombana na mtu hapa kinachofuata ni simu kwa mama kujielezea.

Akiniomba kitu nisipompa ni simu kwa mama.

Nadharau watu wenye tabia hizi.
Mi huwa namdharau mtu mwenye dharau kama ulivyo wewe
 
Kaka yangu ana tabia kama yako ya kila jambo lake anamuomba mama ushauri.

Kiasi anaweza gombana na mtu hapa kinachofuata ni simu kwa mama kujielezea.

Akiniomba kitu nisipompa ni simu kwa mama.

Nadharau watu wenye tabia hizi.
Ongea na kaka yako pamoja na mama yako, kwenye familia kila mmoja anawajibu wa kumrekebisha mwenzake pale akoseapo ili kujenga familia bora.
 
Waache wazae na hao matajiri,ila wa kuwafariji tutakuwa sie boda boda

Maana hao wanaume wenye hela tayar ni wanaume wa watu,hawawez pata muda wa kuwa nao,hapa ndo boda boda tuna play part yetu mwsho wa siku tunapewa kadi za bank
 
Ongea na kaka yako pamoja na mama yako, kwenye familia kila mmoja anawajibu wa kumrekebisha mwenzake pale akoseapo ili kujenga familia bora.

Nikiwa 18 nilishaongea na mama. Akanijibu kaka yako amenirithi mimi pia akiwa mdogo aliumwa sana nikawa namdekeza kwahiyo kipindi kile kilidefine tabia ya jamaa ya baadaye.
 
Kama nimeanza kuwaelewa Wataliban wa Afghanstan kwamba hawa dada zetu ukiwapa uhuru usio na mipaka bila restrictions matokeo yake ndiyo haya social anarchy n chaos sifa imekuwa usingle mother, kuzaa bila ndoa, watoto wasio na baba, kudanga (prostitution) imekuwa sifa na maovu yote.
Mbona Kuna mmoja huku kitaa anaishi na Baba na mama yake lakini anagawa kama nini, Hadi tunamhisi anapepo la ngono
Mkuu me nadhani ukishakuwa mtu mzima anauejitambua basi utajua lipi jema lipi baya hii ni kwa pande zote mbili iwe male au female

Ukizungunzia Suala la Binti kubeba mimba bila ndoa nadhani mwendawazimu mkuu ni mwanaume mwenye mihemko ya speed 80.
 
Back
Top Bottom