George Barran
JF-Expert Member
- Sep 2, 2015
- 647
- 1,268
Kabs Yan at ukiwa na Dem anaekukumbuka ata kwa bukta ya ndani muheshimu anajua thaman ya uwepo wko, wanawake ni wabinafs sanaNi ubinafsi tu walioumbiwa...yaan wanawake ni selfish by nature
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabs Yan at ukiwa na Dem anaekukumbuka ata kwa bukta ya ndani muheshimu anajua thaman ya uwepo wko, wanawake ni wabinafs sanaNi ubinafsi tu walioumbiwa...yaan wanawake ni selfish by nature
Tatizo sio kubeba mimba bila ndoa tatizo nikuhudumia mtoto aliyezaliwa, wanaume wengi wanakataa kuhudumia ilimradi tu wasijulikane kama wana mtoto wa nje ya ndoa pale watakapotaka kuoa. Hii inatokana na imani potofu ya jamii yetu juu ya ndoa nini, mitazamo ya kidini juu ya ndoa inasaidia sana ila kwa upande mwingine inatia fear kwa wahusika yaani unakuta mtu yupo tayari kumtelekeza mtoto alimradi asionekane kuwa alizini kabla ya ndoa. Nonsense.Mbona Kuna mmoja huku kitaa anaishi na Baba na mama yake lakini anagawa kama nini, Hadi tunamhisi anapepo la ngono
Mkuu me nadhani ukishakuwa mtu mzima anauejitambua basi utajua lipi jema lipi baya hii ni kwa pande zote mbili iwe male au female
Ukizungunzia Suala la Binti kubeba mimba bila ndoa nadhani mwendawazimu mkuu ni mwanaume mwenye mihemko ya speed 80.
Yule. NYOKA karudi tena. Anaongea nao tena. Kama ambayo waliharibu kipindi kile ndio wanaharibu Sasa. Yule Nyoka anajua kabisa NDOA I mara inazalisha malezi bora kwa watoto but single parenting ni shimo la choo. Na ndio maana unaona wadada wengi Wana hiyo mindset sababu yule best friend wao SNAKE karudi na anaongea nao kila siku.......na hiyo ndio last card yake kuharibu mfumo mzuri wa malezi[emoji122][emoji122][emoji122]
Tatizo dada zetu siku hizi wameota mapembe, akili zao ni kutaka kupindua meza, wawe watawala katika nyumba na kichwa cha familia.
Wanataka waende kinyume na agano la Mungu mwisho wake wanaangukia kwenye agano la shetani.
The good thing is naishi maisha yangu[emoji1]uko vizuri sana but kwa hawa wanawake ufufu wa watakuona zilipendwa, be yourself big up
Tena piga marufuku kumuona kwako na mwambie mkeo utaki ajihusishe na urafiki na watu wajinga wajinga kama.Kuna ticha mmoja ni rafiki wa mke wangu. Huyu ticha kaolewa ila wanaishi mikoa tofauti na mume wake. Jinsi wanavyopiga stori na mke wangu lengo la ticha ni kupata watoto wawili kisha aachane na mume wake.
Anachojivunia na kuona hana uhitaji na mume ni kwa vile tu ni muajiriwa huko serikalini, anasema ajira yake ndio mume wake.
Anamwambia mke wangu kwamba aninyenyekee kisa hana ajira,kwa hiyo angekuwa na ajira huyu ticha angemshauri mke wangu upumbavu wake anaowaza. Ipo siku huyu ticha inabidi nimchane.
Unaweza ukalala mkuuKitabu kimenishinda kusoma
Kabisaa.kabisaaWaache wazae na hao matajiri,ila wa kuwafariji tutakuwa sie boda boda
Maana hao wanaume wenye hela tayar ni wanaume wa watu,hawawez pata muda wa kuwa nao,hapa ndo boda boda tuna play part yetu mwsho wa siku tunapewa kadi za bank
KabisaaTatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Anaharibu mienendo ya mkeoKuna ticha mmoja ni rafiki wa mke wangu. Huyu ticha kaolewa ila wanaishi mikoa tofauti na mume wake. Jinsi wanavyopiga stori na mke wangu lengo la ticha ni kupata watoto wawili kisha aachane na mume wake.
Anachojivunia na kuona hana uhitaji na mume ni kwa vile tu ni muajiriwa huko serikalini, anasema ajira yake ndio mume wake.
Anamwambia mke wangu kwamba nyinyi msio na ajira ndio mynenyekee waume zenu,kwa hiyo mke wangu angekuwa na ajira huyu ticha angemshauri upumbavu wake anaowaza. Ipo siku huyu ticha inabidi nimchane.
hatari sanaKuna ticha mmoja ni rafiki wa mke wangu. Huyu ticha kaolewa ila wanaishi mikoa tofauti na mume wake. Jinsi wanavyopiga stori na mke wangu lengo la ticha ni kupata watoto wawili kisha aachane na mume wake.
Anachojivunia na kuona hana uhitaji na mume ni kwa vile tu ni muajiriwa huko serikalini, anasema ajira yake ndio mume wake.
Anamwambia mke wangu kwamba nyinyi msio na ajira ndio mynenyekee waume zenu,kwa hiyo mke wangu angekuwa na ajira huyu ticha angemshauri upumbavu wake anaowaza. Ipo siku huyu ticha inabidi nimchane.
Hakuna Mwanamke asiyetamani kuwa na,mume, ila baadhi wakikosa hasira na, kuchaganyikiwa kwao huhamishia kwa kuwachochea wanawake wengine wasiolewe.Maneno aliyoongea Mungu kwa hasira
Adamu - Utarudi mavumbini
Eva - Mumeo atakutawala
Haibadilishiki wala haikanushiki siku zote mwanaume ni kichwa cha familia na kiongozi wa mke wake na familia. Haijalishi kama huyo mke ni msomi au lah.
So umeamua nini baada ya kujua hilo?Wote hatuwezi jua wanawake wanataka nini ila, mwanamke akishakuwa na uhakika wa maisha yke bas huwa anakaa mbali na mwanaume anajitenga nasi wakiamini kwamba bila sisi wanaweza kuishi Tena kwa furaha zaid
Unaokutana nao wewe mkuu!Ni ubinafsi tu walioumbiwa...yaan wanawake ni selfish by nature
Acha ukuda, mchane sasa. Wa wapi we jamaa mbona unaonekana mshamba mshamba sanaKuna ticha mmoja ni rafiki wa mke wangu. Huyu ticha kaolewa ila wanaishi mikoa tofauti na mume wake. Jinsi wanavyopiga stori na mke wangu lengo la ticha ni kupata watoto wawili kisha aachane na mume wake.
Anachojivunia na kuona hana uhitaji na mume ni kwa vile tu ni muajiriwa huko serikalini, anasema ajira yake ndio mume wake.
Anamwambia mke wangu kwamba nyinyi msio na ajira ndio mynenyekee waume zenu,kwa hiyo mke wangu angekuwa na ajira huyu ticha angemshauri upumbavu wake anaowaza. Ipo siku huyu ticha inabidi nimchane.
Umeshakutna na wangap hadi uanze kunihukumu mimi?Unaokutana nao wewe mkuu!