Hawa ndio wanawake wetu wasomi, bado hatuelewi nini wanataka


Hao wanaume wenyewe vichwa vya familia unawaona?

Kama wapo ni wa kuhesabika[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Germany former chancellor, angela markel, ameolewa, alikuwa mkuu wa taifa lenye uchumi mkubwa europe, na alikaa madarakani miaka 16, na bado ako poa na mume wake, sasa hao wetu wa bongo na tujivisenti twao, wanajiona wakuu sana, hawana lolote,ni ujinga tu kufikiria hela tu ndio inahitajika, mtoto anataka kuwa na mama na baba,huyu nurse single mother aliwekwa mimba katupwa, sasa anamulisa wenzie poison, , naibu raisi wa marekali, kamalla harris ameolewa, hao wetu wa bongo ni upubavu tu
 
Maneno aliyoongea Mungu kwa hasira
Adamu - Utarudi mavumbini
Eva - Mumeo atakutawala

Haibadilishiki wala haikanushiki siku zote mwanaume ni kichwa cha familia na kiongozi wa mke wake na familia. Haijalishi kama huyo mke ni msomi au lah.

so beautiful.....
 
Yani aje kupiga story kwangu kisha aanze kumshawishi mke wangu huo ijinga? Nisingesubiri chochote, namfukuza live kabisa "Toka kwangu nisikuone umekanyaga hapa" na mke wangu nakaa nae chini tunaongea vizuri kisha nampiga mkwara wa nguvu "nikikuona na huyo rafiki ako utahamia kwake"

Kama hauwezi kuwa mkavu hivyo, kuna njia nyingine ya kuwatenganisha. Mtongoze huyo mwalimu au onyesha nianya kumtaka kimapenzi kisha ruhusu mke wako ajue, hapo lazima urafiki ufe.
 
tafuta hrla ........
 
Every woman needs a man.
Usingo maza ni matokeo yasiopendeza. Hata huyo singo maza hakupenda kuwa hivyo. Mwanamke anafurahi sana mtoto akilelewa na baba yake, huku yeye (mwanamke) akiwa ndio mwangalizi mkuu wa mtoto.

They get stressed when they are not married.
 
Kabisaaa
 
Acha ukuda, mchane sasa. Wa wapi we jamaa mbona unaonekana mshamba mshamba sana
Mimi anatokee mwanamke mpumbavu hivi kwenye tabia za kikuda kama huyo kuongea na mke wangu ujinga nimwangalie tu eti nitamchana baadae! Yule ni pale pale namchana! Utakuja kushitukia na mkeo ameshatafutiwa bwana mwingine! Maana tayari huyo mwanamke ni malaya kwa maongezi yake tu!
 

Naandaa matiliobya kujengea sanamu lako dada[emoji1488][emoji1488]unataka likae wapi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…