Lengo lako lilikuwa kutulinganisha sio!....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pacha nimecheka sana hii comment yako walahYaani ulichoshindwa kusema ni kuwa unatuona sisi wazee!
Kuna mteja kaniweka bize sana leo na Uba yangu
Niko na mchuchu mpya. unaniweka bize balaaAtakuwa kalala sa hivi,mchana haonekani yule
wewe umefahamu vipi mkuu?Hawa watu wafuatao ni wavaa suruali waliobobea kunako fani hii..
Ni zile suruali zao zinazong'aa kama bati (satini)
Pia huwa wanavalia suruali tumboni...
Lucas Mobutu
CONTROLA
Nyaru-sare
Daby
Mshana Jr
Kawe Alumni
MKWEPA KODI
Asprin (huyu anavaaga na vinyandu siku nyingine)
Kichwa Kichafu
Ushimen (jina lake tu linasadifu yaliyomo)
Bujibuji
Bonny
Smart911 (huyu mambo yetu huwa anatuachia wenyewe)
RRONDO
troublemaker (huyu ni kijana mzee)
matunduizi (toka enzi za mkoloni yeye ni vitambaa tu)
Hawa ni wachache tu wengine mtaongezea..
21 yeas tusikilize sisi humu wanawake wapo sema wanaweza kuwa wawili tu MZIGUA na SHUNIE basi.kuna mwaka mmoja hivi niliwahi kujiuliza hivi humu kuna mademu kweli ?
Mimi naona humu hakuna mademu mzee labda leo nimesahihisha mtihani wangu
Alafu dogo ulivo kauzu.umewaweka top five watu fulani. pascal mayala ndo alitakiwa hiyo nafasiHawa watu wafuatao ni wavaa suruali waliobobea kunako fani hii..
Ni zile suruali zao zinazong'aa kama bati (satini)
Pia huwa wanavalia suruali tumboni...
Lucas Mobutu
CONTROLA
Nyaru-sare
Daby
Mshana Jr
Kawe Alumni
MKWEPA KODI
Asprin (huyu anavaaga na vinyandu siku nyingine)
Kichwa Kichafu
Ushimen (jina lake tu linasadifu yaliyomo)
Bujibuji
Bonny
Smart911 (huyu mambo yetu huwa anatuachia wenyewe)
RRONDO
troublemaker (huyu ni kijana mzee)
matunduizi (toka enzi za mkoloni yeye ni vitambaa tu)
Hawa ni wachache tu wengine mtaongezea..
Uliwahi kaomba kazi21 yeas tusikilize sisi humu wanawake wapo sema wanaweza kuwa wawili tu MZIGUA na SHUNIE basi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaheshimia sio type ya wanawake wako wa uswahiliniUliwahi kaomba kazi
ππππ
kwanini unataka kuiaminisha jamii kwamba wewe hupo vizuri
Hupo ina maanisha nini?kwanini unataka kuiaminisha jamii kwamba wewe hupo vizuri
Ha ha
p*ssy is just a p*ssy no matter who are
Mkuu si naskia mpaka leo unavaa mchele mchele? HahahAaaah! Mkuu pancho wa pancha unatisha Baba.
Nilivaaga enzi za mcheremchele tena kanisani. Vitoto si kunizunguka mkuu.
Utaskia wa mjini kaja n beatle.kobe.
Mbona wewe na pekosi yako haumo?
Kijana analeta ligi kwa Kiranga the Singularity?