Hawa ndio wapenda kuvaa suruali za vitambaa jf /nguo...

wewe umefahamu vipi mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aaaah! Mkuu pancho wa pancha unatisha Baba.
Nilivaaga enzi za mcheremchele tena kanisani. Vitoto si kunizunguka mkuu.
Utaskia wa mjini kaja n beatle.kobe.

Mbona wewe na pekosi yako haumo?
 
Alafu dogo ulivo kauzu.umewaweka top five watu fulani. pascal mayala ndo alitakiwa hiyo nafasi
 
Aaaah! Mkuu pancho wa pancha unatisha Baba.
Nilivaaga enzi za mcheremchele tena kanisani. Vitoto si kunizunguka mkuu.
Utaskia wa mjini kaja n beatle.kobe.

Mbona wewe na pekosi yako haumo?
Mkuu si naskia mpaka leo unavaa mchele mchele? Hahah

Me kwa sasa ni Bonge la mnyawezi labda nyie πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…