Hawa ndio wapenda kuvaa suruali za vitambaa jf /nguo...

Angalia hii ni six pocket bana nitoe hili kundi please
 
kama ndo hivo ningekuwa nmeshawavuta zamani mzee nipo toka kitamb humu amna wanawake kuna madume basi tu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
kuna mwaka mmoja hivi niliwahi kujiuliza hivi humu kuna mademu kweli ?

Mimi naona humu hakuna mademu mzee labda leo nimesahihisha mtihani wangu
midume ndo ipo sema tunaishi nayo hivo hivo Kama unavyoona yaaan tunakaa nao humu humu hahaha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Madume ndio kama sisi hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…