Hawa ndio Wenye Kurithi Pepo ya Firdaus

Hawa ndio Wenye Kurithi Pepo ya Firdaus

Kila pepo ina Allah wake au Allah huyu huyu atakua anatembelea pepo zote kwa wakati tofauti
Mkuu pepo ina Allah mmoja Tu mkuu

Je ulimwengu una sayari ngapi na nyota ngapi?
Na inasemwa Nyota ni kubwa kuliko sayar lakini mbona Mungu ni mmoja Tu.

Kwahiyo Allah ni mmoja Tu.
 
Hakuna mwanadamu ambaye atakuwa na vitendo vizuri kiasi kwamba akajigamba kuwa vitamuingiza peponi

Ila Mwenyezi Mungu ataangalia ni Akina Nani wamejitahidi kufuata maamrisho yake na kuacha makatazo yake

Na je walifanya ibada Kwa Nia ya dhati au walitaka kujionyesha Tu Kwa watu?
 
Hakuna mwanadamu ambaye atakuwa na vitendo vizuri kiasi kwamba akajigamba kuwa vitamuingiza peponi

Ila Mwenyezi Mungu ataangalia ni Akina Nani wamejitahidi kufuata maamrisho yake na kuacha makatazo yake

Na je walifanya ibada Kwa Nia ya dhati au walitaka kujionyesha Tu Kwa watu?
Quote from the Holy Qur'an: Al-Mulk (67:2)

ٱلَّذِى خَلَقَ ٱلْمَوْتَ وَٱلْحَيَوٰةَ لِيَبْلُوَكُمْ أَيُّكُمْ أَحْسَنُ عَمَلًا ۚ وَهُوَ ٱلْعَزِيزُ ٱلْغَفُورُAllathee khalaqa almawta waalhayata liyabluwakum ayyukum ahsanu AAamalan wahuwa alAAazeezu alghafooru

Ambaye ameumba mauti na uhai ili kukujaribuni ni nani miongoni mwenu mwenye vitendo vizuri zaidi. Na Yeye ni Mwenye nguvu na Mwenye msamaha.

Nadhani aya hii inafaa kusindikiza maneno yako
 
Quote from the Holy Qur'an: Al-Mulk (67:2)

ٱلَّذِى خَلَقَ ٱلْمَوْتَ وَٱلْحَيَوٰةَ لِيَبْلُوَكُمْ أَيُّكُمْ أَحْسَنُ عَمَلًا ۚ وَهُوَ ٱلْعَزِيزُ ٱلْغَفُورُAllathee khalaqa almawta waalhayata liyabluwakum ayyukum ahsanu AAamalan wahuwa alAAazeezu alghafooru

Ambaye ameumba mauti na uhai ili kukujaribuni ni nani miongoni mwenu mwenye vitendo vizuri zaidi. Na Yeye ni Mwenye nguvu na Mwenye msamaha.

Nadhani aya hii inafaa kusindikiza maneno yako
Swadakta ukhty hapo ndo penyewe kabisa

Sauti yako imesikika vizur Sana

Barikiwa Sana.
 
Binadamu ni nini? Hata Mungu akukumbuke jamani japo kuna Mungu ila dunia inafanya nisione thamani ya kuwa binadamu
 
Firdaus ni katoto kadogo mam ake alkuwaabauza mihogo hapo kibo dsm
 
Firdaus ni katoto kadogo mam ake alkuwaabauza mihogo hapo kibo dsm
Aliamua kumpa mwanae jina la pepo yenye daraja la juu , ma shaa allah. Tunanasihiwa kujifananisha na mambo mazuri au na sifa njema hvyo kumpa mwanae jina hili ni vizuri tu
 
Mkuu pepo ina Allah mmoja Tu mkuu

Je ulimwengu una sayari ngapi na nyota ngapi?
Na inasemwa Nyota ni kubwa kuliko sayar lakini mbona Mungu ni mmoja Tu.

Kwahiyo Allah ni mmoja Tu.
Bro, Mungu hawez kuwa mmoja unless tukubaliane kati ya wakristo na waslamu kuna either kundi moja limepotoka and most likely wote kwa pamoja,Na km wote tuko sahihi bas kila dini ina Mungu wake,msiogope kusema ukweli kwasabb ya hofu ya imani zenu

Ukiwa tayr kwa huu mjadala naomba ukireply apa unambie kabsa
 
Bro, Mungu hawez kuwa mmoja unless tukubaliane kati ya wakristo na waslamu kuna either kundi moja limepotoka and most likely wote kwa pamoja,Na km wote tuko sahihi bas kila dini ina Mungu wake,msiogope kusema ukweli kwasabb ya hofu ya imani zenu

Ukiwa tayr kwa huu mjadala naomba ukireply apa unambie kabsa
Ni kweli kuna Miungu tofauti hapo. Ni kama mfano mfano wa baba katika familia hawezi waongoza watoto wake kwenye malezi tofauti, ni lazima wote atawawekea misingi sawa.

Hapo mmoja amepotea au wote. Yehova sio Allah walah.
 
Back
Top Bottom