mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Dah hivyo vitambi aisee...
Tupige tizi wadau tunatia aibu.
Tupige tizi wadau tunatia aibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah hivyo vitambi aisee...
Tupige tizi wadau tunatia aibu.
Mambo ya bia hayo,si unaona hapo kuna jungu la misosi,bia na misosi ndugu mmoja...Dah hivyo vitambi aisee...
Tupige tizi wadau tunatia aibu.
Lady in red!Sifa kuu ya Wanaume ni Kwamba wanaweza kukaa pamoja wakanywa, wakala, wakataniana, wakabeti, wakapiga story za simba na Yanga
Pia wakashauriana kuhusu, mambo mbali mbali yahusuyo maisha na hata kuhusu mwanamke hatari hapo kitaa.
Lakini hawajuani majina halisi.
Utasikia wakiitana, Bro, Mzee baba, Mwamba, we mwana YANGA, John Bocco, Bosi, Tolu, Kipara, we kolo. na majina mengine ya hovyo hovyo.
So smart, hakuna kufuatiliana maisha.
Sasa Kutana na wanawake wakiwa pamoja, weeeee 🤣🤣🤣🔥🔥🔥🔥
You see dat . Wenzako wanadiscuss mambo mambo wewe umeanza kuchunguza vitambi vya wenzako😂😂😂 .hicho kikao wangekufurumusha wenzako totoo😂😂😂 hivo vitambi acha tuvidiscuss sisi🙌🙌Dah hivyo vitambi aisee...
Tupige tizi wadau tunatia aibu.
ukikutana nao unawasikiliza tuHizi sifa za wanaume za kujadili kubeti acha nisiwe nazo asee
Ina maana hata ya Chato alikuwa hana duhLUPASO, pamoja na mapungufu yake nilimwiga kitu kimoja tu
Simu yake ilikuwa na majina 6 tu..mama ana ,rafiki zake mabalozi wawili ,kaka yake ,watoto wake wawili ,basi
Habari
Yamtu mnakutana bar hapana
Nina laini yangu maarifu huwashwa siku za wikiendi
😅Kawaida hiyo kuna jamaa tumebadilishana namba kama miezi mitatu imepita ye hajui jina langu na mimi sijui jina lake nimemsave "mwamba" mwanaume kumuuliza mwanaume mwenzako unaitwa nani? Huo ni umama jina huwa tunalijua baada ya kuskia akiwa anaitwa na watu wengine hapo ndo tunaanza kujuana majina
Mi mwanaume mwenzangu hata ukinitumia meseji ukaniandikia "usiku mwema" nakublock
Hapana mkuu ,hata ushabiki wa simba huwa naufanya humu jf peke yake😁ukikutana nao unawasikiliza tu
Lazima apitie kwa msaidizi, yule ilikuwa kazi na k-vantIna maana hata ya Chato alikuwa hana duh
Mkuu ,nilijuaga kuandika hujui ila kusoma unajuaIna maana hata ya Chato alikuwa hana duh
DuhMkuu ,nilijuaga kuandika hujui ila kusoma unajua
duuDuh
Binafsi kipindi cha nyuma nilikuwa najua mtu akijua kuongea na kusoma pia ana jua
Hii ni stereotype tu, kuna wanaume wengine hawataki matani na hili haliwaondolei uanaume wao.Sifa kuu ya Wanaume ni kwamba wanaweza kukaa pamoja wakanywa, wakala, wakataniana, wakabeti, wakapiga story za simba na Yanga
Pia wakashauriana kuhusu, mambo mbalimbali yahusuyo maisha na hata kuhusu mwanamke hatari hapo kitaa.
Lakini hawajuani majina halisi.
Utasikia wakiitana, Bro, Mzee baba, Mwamba, we mwana YANGA, John Bocco, Bosi, Tolu, Kipara, we kolo. na majina mengine ya hovyo hovyo.
So smart, hakuna kufuatiliana maisha.
Sasa Kutana na wanawake wakiwa pamoja, weeeee 🤣🤣🤣🔥🔥🔥🔥
😝😝😝Dah hivyo vitambi aisee...
Tupige tizi wadau tunatia aibu.
Kama ni kweli basi sio mfano wa kuigwa.Lazima apitie kwa msaidizi, yule ilikuwa kazi na k-vant
Hata zile Dola alizolalamika vijana wakimarekani 2boys na mhanzina wa chama tasrom
Walimtaimu akiwa soba ....wangemkuta ameshakiwasha wangefurushwa