Hawa ndiyo wanaume halisi nje ya hapa ni mvulana

Hawa ndiyo wanaume halisi nje ya hapa ni mvulana

Kawaida hiyo kuna jamaa tumebadilishana namba kama miezi mitatu imepita ye hajui jina langu na mimi sijui jina lake nimemsave "mwamba" mwanaume kumuuliza mwanaume mwenzako unaitwa nani? Huo ni umama jina huwa tunalijua baada ya kuskia akiwa anaitwa na watu wengine hapo ndo tunaanza kujuana majina

Mi mwanaume mwenzangu hata ukinitumia meseji ukaniandikia "usiku mwema" nakublock
😂😂 sema ina sound hovyo kinoma
 
Kawaida hiyo kuna jamaa tumebadilishana namba kama miezi mitatu imepita ye hajui jina langu na mimi sijui jina lake nimemsave "mwamba" mwanaume kumuuliza mwanaume mwenzako unaitwa nani? Huo ni umama jina huwa tunalijua baada ya kuskia akiwa anaitwa na watu wengine hapo ndo tunaanza kujuana majina

Mi mwanaume mwenzangu hata ukinitumia meseji ukaniandikia "usiku mwema" nakublock
Acha uongo we kafiri😀😀😀
 
Kawaida hiyo kuna jamaa tumebadilishana namba kama miezi mitatu imepita ye hajui jina langu na mimi sijui jina lake nimemsave "mwamba" mwanaume kumuuliza mwanaume mwenzako unaitwa nani? Huo ni umama jina huwa tunalijua baada ya kuskia akiwa anaitwa na watu wengine hapo ndo tunaanza kujuana majina

Mi mwanaume mwenzangu hata ukinitumia meseji ukaniandikia "usiku mwema" nakublock
😂
 
Sifa kuu ya Wanaume ni kwamba wanaweza kukaa pamoja wakanywa, wakala, wakataniana, wakabeti, wakapiga story za simba na Yanga

Pia wakashauriana kuhusu, mambo mbalimbali yahusuyo maisha na hata kuhusu mwanamke hatari hapo kitaa.

Lakini hawajuani majina halisi.

Utasikia wakiitana, Bro, Mzee baba, Mwamba, we mwana YANGA, John Bocco, Bosi, Tolu, Kipara, we kolo. na majina mengine ya hovyo hovyo.

So smart, hakuna kufuatiliana maisha.

Sasa Kutana na wanawake wakiwa pamoja, weeeee 🤣🤣🤣🔥🔥🔥🔥

Hizi umeandika sifa za Wanaume wasio jitambua, sababu kwenye Wanaume Kuna wanaume.

Wanaume halisi hujiweka mbali na mambo yote yanayoharibu afya za akili zao, kupoteza muda, sababu wao muda wote ni viongozi na wasimamizi. Bali muda mwingi huongelea elimu.

Wanaume halisi na wakweli wenye kuishi katika silika ya kiume hawabeti, hawapotezi muda kujadili mipira (yaani mwanaume halisi akae amjadili mwanaume mwenzake na kumsifia, aisee mnatukosea sana sisi Wanaume), bali hawana muda wa kumjadili mwanamke kama mada ya msingi, isipokuwa kwa tahadhari.

Wanaume halisi wakikutana baada ya salamu, kama hawajuani lazima lazima waulizane majina halisi, hili narudia tena, wahuni na wasio jitambua ndio huitana mwamba, majina ambayo hayasadifu uhisia, na hii ndio tabia ya wahuni.

Inabidi sasa tuanze kufundishana ni nani mwanaume ili kila mtu akae nafasi yake.
 
mwamba" mwanaume kumuuliza mwanaume mwenzako unaitwa nani? Huo ni umama jina huwa tunalijua baada ya kuskia akiwa anaitwa na watu wengine hapo ndo tunaanza kujuana majina

Huu ni utoto unaandika, na hizi ni tabia za wahuni, tofautisha kati ya uhuni na uanaume.

Wanaume wanapokutana na wenzao kama hawajuani, baada ya salamu lazima waulizane majina, tena majina halisi. Bali tuna namna yetu ya kutambulishana, unaweza ukaanza wewe kujitaja jina lako, mwenzako anajiongeza anataka jina lake, inaleta heshima na kujiamini. Mfano, unasema unampa mkono unamwambia "Kiasi hapa, yeye analiunga fulani hapa", kadhia imeisha.

Unamsave vipi mwanaume mwenzako "Mwamba" ? Sifa zote za ushupavu na ukakamavu zinatakiwa zerejee kwako mwenyewe.

Sisi Wanaume sasa tukikutana, lazima tuulizane majina halisi au lakabu zetu au kuniya zetu, kisha tunachagua tuitane kwa lakabu au ?

Sasa mtofautishe uanaume na uhuni vijana.
 
ukimjua mtu jina lake ina make sense sana

huo kuitana mwamba sijui ni uvulana kubali au kata



kuna broo nilikuta naye kwenye boat tulianza story za hapa na pale muda wakushuka nikampa mkono naitwa joseph from mbeya jamaa naye akabaki ooh shit joseph from mbeya too

tukashare contact akawa kama nipo zenji yeye ananiagizia vitu fulani napeleka sehemu fulani napewa na malipo

connection bila majina haiwezekani mkuu


niliacha hizo tabia eti chief,mkuu,kamanda

unalost connection
 
Hizi sifa za wanaume za kujadili kubeti acha nisiwe nazo asee

Vijana wanafikiri uhuni na utoto ndio uanaume. Mwanaume unajadili kubeti. Vijana wangejua kwanini tumekuwa wanaume mambo ya kipuuzi wasingeyajadili.

Uanaume ni dhamana, wanafikiri kuwa mwanaume ni jambo dogo, ndio maana huwa tunasema kwenye Wanaume kuna wanaume.

Unakuta mtoto wa kiume anajadili mpira huku mishipa ya shingo imemtoka anamsifia mwanaume mwenzake na anampenda kweli kweli. Hizo tabia za kike.
 
Huu ni utoto unaandika, na hizi ni tabia za wahuni, tofautisha kati ya uhuni na uanaume.

Wanaume wanapokutana na wenzao kama hawajuani, baada ya salamu lazima waulizane majina, tena majina halisi.

Unamsave vipi mwanaume mwenzako "Mwamba" ? Sifa zote za ushupavu na ukakamavu zinatakiwa zerejee kwako mwenyewe.

Sisi Wanaume sasa tukikutana, lazima tuulizane majina halisi au lakabu zetu au kuniya zetu, kisha tunachagua tuitane kwa lakabu au ?

Sasa mtofautishe uanaume na uhuni vijana.
naungana na wewe mr kisai

ina make sense mwanaume kumjua jina mwanaume mwenzako maana
uwezi kuwa na mazunguzo serious halafu umekaa na mtu umuanze kwa kumwambia mwamba

haimake sense
 
naungana na wewe mr kisai

ina make sense mwanaume kumjua jina mwanaume mwenzako maana
uwezi kuwa na mazunguzo serious halafu umekaa na mtu umuanze kwa kumwambia mwamba

haimake sense
Vijana wanaona uhuni ndio uanaume, wakati uhuni muda wote una sifa mbaya na kufanya mambo chini ya kiwango.
 
Back
Top Bottom