Hawa ndiyo wanaume halisi nje ya hapa ni mvulana

Lady in red!
 
LUPASO, pamoja na mapungufu yake nilimwiga kitu kimoja tu

Simu yake ilikuwa na majina 6 tu..mama ana ,rafiki zake mabalozi wawili ,kaka yake ,watoto wake wawili ,basi
Habari
Yamtu mnakutana bar hapana

Nina laini yangu maarifu huwashwa siku za wikiendi
 
Ina maana hata ya Chato alikuwa hana duh
 
πŸ˜…
 
Hii ni stereotype tu, kuna wanaume wengine hawataki matani na hili haliwaondolei uanaume wao.
 
Lazima apitie kwa msaidizi, yule ilikuwa kazi na k-vant

Hata zile Dola alizolalamika vijana wakimarekani 2boys na mhanzina wa chama tasrom

Walimtaimu akiwa soba ....wangemkuta ameshakiwasha wangefurushwa
Kama ni kweli basi sio mfano wa kuigwa.
 
Na hii ndiomaana halisj ya "Mwanaume"
Wanaume hatununiani, tukilianziasha tunamalizana hapohapo then tunacheka na kugonga cheersπŸ₯‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…