Hawa ndo mahandsome wa JamiiForums

Hawa ndo mahandsome wa JamiiForums

Ndicho alichofanya mengi hata Kwa kuchelewa lakini kavuta miss Tanzania ndani...mtoto mkaaaali! Sasa hivi mzee wa watu anabinuka na yule mtoto mzuri kinyantuzu tena chumbani...! Wale hoehae wanamtia kwenye viganja vyao tu. [emoji23]

Kavurumusha mapacha ma HB..hana lawama tena kwa madogo, kawapa Uhb kirahisi sana.

Kwa Dada zangu una hela mkuu? Au ndio tia maji tia maji?
mkuu kwa dada hapana,, ngoja mda usogesogee kwanza, tia maji tia maji hahajajaj
 
mkuu na mimi nina huo mpango wa kusaka kamrembo matata ili nichanganye rangi, nasaka mahela kwanza si unajua tena watoto kama dada zako ,


japo ni hatari lakini ni faida kwa wanangu, watajua wakiwa wa kubwa kwa baba yao nlioa mtoto mzuri,,

hakuna kuogopa et oooh utachapiwa,, wacha wachape tuu, mi nazarisha tuuuuu[emoji23]
Hahahahahaaha hongeraaa
 
Back
Top Bottom