maiko sultan
JF-Expert Member
- Jan 28, 2024
- 549
- 1,492
anaesoma mrejesho (comment/feedback) hii.Hii ndo list ya watu wenye bahati dunia:
1) Mtu aliyepata ajira mara tu baada ya kumaliza chuo/masomo
2) Mtu aliyezaliwa kwenye familia tajiri
3) Mtu aliyepata mpenzi/ mke/ mume sahihi kwenye mahusiano yake ya kwanza tu
4) Mtu ambae yupo carefree
5)... ongezea
Mtu aliyezaliwa ulaya πOngezea hapo ambae kazaliwa nchi tofaut na Tanzania.
Kweli wazazi ni kiungo muhimu sana5/,wazazi wapo hai
Yote ni mitihani ya dunia mkuu usichoke kusali na kuendelea kufanya kazi kwa bidiiVyote hivyo nishafanya hadi chumvi ya mawe nimeogea sana.
Mpaka kieleweke mkuu.Yote ni imtihanΔ± ya dunia mkuu usichoke kusali na kuendelea kufanya kazi kwa bidii
Labda aliyezaliwa Marekani, Canada au Ulaya. Ukizaliwa Somalia, Burundi au Malawi bora Tanzania tuOngezea hapo ambae kazaliwa nchi tofaut na Tanzania.
Ndg, mbona we ninakuona hapa mkoani Lindi maeneo ya mitwero na hapa Paris club ukipiga Castle light?!!!! Sifa hizi ulizozianisha umezipata lini ndg yangu?!!!!!Dah yote hayo unanisema mimi kabisa japo kwenye upande wa familia sio matajiri kihivyoo..
Kingine mimi handsome boy mtoto wa kinyaturu /ki Ethiopia
Sasa lipi la uongo hapo? Chuo nimemaliza 2019 ajira 2021... Home sio kinyonge kihivyoo lipi unataka kubisha kuhusu la uhandsome au?Ndg, mbona we ninakuona hapa mkoani Lindi maeneo ya mitwero na hapa Paris club ukipiga Castle light?!!!! Sifa hizi ulizozianisha umezipata lini ndg yangu?!!!!!
π€£π€£π€£π€£πππSasa lipi la uongo hapo? Chuo nimemaliza 2019 ajira 2021... Home sio kinyonge kihivyoo lipi unataka kubisha kuhusu la uhandsome au?
Asiye na stress yaani hawazi sana mambo ya ofisi kazi au masomoMtu carefree ndo yupoje huyo ?