Hawa ndo watu wenye bahati duniani

John asubuhi tu tumekusifia umeona uje ujisilibie na uhendisamu sio.....
Watu husema mimi ni mzuri sana ila tatizo ni pombe tu ebu kanicheki Facebook halafu unipe mrejesho wayasemayo ni kweli au wanazingua.. Search John paschal kilakuno
 

Nimebahatika viwili kati ya vitatu vya mwanzo
I wish hiko kimoja kingeenda my way pia
 
Watu husema mimi ni mzuri sana ila tatizo ni pombe tu ebu kanicheki Facebook halafu unipe mrejesho wayasemayo ni kweli au wanazingua.. Search John paschal kilakuno
Mie situmii hizo fesibuku niwekee picha hapa au pm nikuone kama ni muhendisamu.
 
Watu husema mimi ni mzuri sana ila tatizo ni pombe tu ebu kanicheki Facebook halafu unipe mrejesho wayasemayo ni kweli au wanazingua.. Search John paschal kilakuno
K vant na konyagi zitakumaliza mkuu.
 
Dah, ya kwanza inanihusu. Nilipata kazi ya kwanza nikiwa namalizia forth year FoE enzi hizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…