Hawa ni watanzania 10 chini ya umri wa miaka 50 walioleta mabadiliko chanya kwenye jamii kupitia vipaji na vipawa vyao walivyojaliwa

A. Hawa Watoke

4.Samia Suluhu - Kawapa waarabu Ngorongoro kawatimua wamasai, DP World walitaka kupewa bandari milele na hata huu mkataba wa sasa haijulikani.

7.Ruth Zaipuna, Hapa muweke Charles Kimei, ndie kaleta mapinduzi makubwa

8.George Waitara ( Ana mchango lakini golf ni mchezo wa watanzania wachache tena wale wanaoijiweza mno kiuchumi, mchango wake ni mkubwa lakini umegusa wachache)

9.John Joseph Pombe Magufuli (Huyu alianza kuleta ukabila na Ukanda kuipendelea kupita maelezo Chato, Aliminya sana uhuru wa kuongea yani hata kumiliki channel youtube uwe na milioni 2, Hakuweza kabisa kuvumilia wapinzani kama kina Tundu Lisu)

B. Hawa waingizwe

DIAMOND PLATNUMZ - Kafanya mapinduzi makubwa ya kimuziki, Kaleta chachu kwa wasanii kuwekeza na kufanya biashara, kaleta uhuru kwenye Media, Zamani ukikorofishana na Mtemi wa Clouds fm nyimbo hazisikiki redioni ila siku hizi kuna media nyingi

MAXENCE MELO - Kuanzisha jamii forums apongezwe lakini kuifanya iendelee kuwepo apewe maua yake, Kuna kipindi serikali ilikuwa inataka ip adress za watu wanaokosoa vuiongozi wakubwa ili waend tcra wajue namba za simu zinazotumika wakamate wahusika, Max aliwagomea kwamba ni privacy lakini haikua rahisi, aliwekewa kesi nyingi alinyanyaswa na polisi, n.k. Kuna kipindi ilibaki kidogo hii jamiiforums ifungwe, Kwa msaada wa wadau, vyama vya haki na balozi za nchi za nje aliweza kulinda privacy za watu humu ndani, Bila hivyo watu wangekamatwa sana humu ndani wangefungwa jela, kuteswa, na mambo kadhaa tuliyoona wakosoaji wakifanyiwa awamu ya tano. pia ni moja wa waasisi wakubwa wa mabadiliko yaliyofanyika kwenye muswada uliopitishwa bungeni wa Privacy za watanania mitandaoni.
 
Mkuu hadi Mo dewji?...tukatae tukubali huyu mtu ameleta evolution sana katika mpira wa kitanzania. Tukisema tuangalie kwa fields basi kama umemtambua samatta huna budi kumtambua mwakinyo kwenye boxing japo nidhamu yake sio kubwa
Hao ni mwendelezo Mo kaleta mabadiliko ila sio makubwa kiasi Cha kuathiri maisha ya watz kimsingi vibe la mpira lilikuwepo hapa nasemea zaidi wale walio pave the way eg Waitara kaifanya golf kuwa ya Kila mtu wengine wanashuka kwenye daladala na kuingia lugalo na kaiweka hadi kwa juniors hii siku za usoni itajenga national team
Rwakatare alianzisha shule za private kipindi ambacho watu hawaamini kama kusoma private ni big deal wengi waliamini private school ni kwa failure
 
namba 1,4 na 10 hapana,

diamond aingie anamuwakilisha kanumba kwenye tasnia ya burudani,mapinduzi ya media kafanya bakhresa group huyo mwengine hayupo,politics ya ubepari /uwekezaji ni mkapa huyo kikwete na samia wote waomba misaada nje.
Samia ni Rais wa kwanza mwanamke amejitahidi kiasi chake na anastahili pongezi
Kachukua nchi ikiwa imetoka kwenye kipindi kigumu ambacho kama nchi hatukuwahi kupitia (kupoteza rais akiwa madarakani)
Kulikuwa na madhara ya covid
Vita Ukraine n.k lakini kaweza angalau kidogo kutoa ajira kupandisha madaraja
Karuhusu siasa huru n.k amejitahidi angalau kaondoa Ile dhana kuwa mwanamke hawezi kuwa Rais
 
Kwa Waitara anachokifanya pale lugalo golf ni kikubwa sana
Zaipuna nimerekebisha na kumuweka Kimei
Magufuli tumuondoe akae nani ambae jamii inapaswa kuenzi mchango wake kwa mabadiliko
 
kwani unapima kupitia jinsia au nafasi/hadhi yake?

mkapa aliipokea nchi kutoka kwa mwinyi kukiwa na wasomi wachache,viwanda vingi vimetelekezwa,na barabara mbovu.n.k
 
kwani unapima kupitia jinsia au nafasi/hadhi yake?

mkapa aliipokea nchi kutoka kwa mwinyi kukiwa na wasomi wachache,viwanda vingi vimetelekezwa,na barabara mbovu.n.k
Nimemuweka Mkapa alijitahidi sana
Yah kwa Samia nimezingatia Gender hasa mabinti na jamii itamuangalia na kuona kuwa tunaweza mchagua mwanamke na akaongoza vizuri
 
Ni kweli kabisa kama no 4.
1. Kubinafsisha bandari kwa dp Woldi.

2.kuweka makato ya tozo kwa kila mtz kwa mitandao ya simu.

3.kununua kila goli la yanga na simba kwenye champions league kama motisha.

4. Kushiriki kwenye uzinduzi wa album ya msanii harmonize maarufu kwa jina la jeshi.

5 kuzindua kundi dogo almaarufu kama chawa kama motisha ya kazi kwa viongozi mbalimabali .

6. Kutoa movie inayohamasisha utalii kwa muongozaji maarufu wa movie duniani aitwae pita🥰.
 
Kwa Waitara anachokifanya pale lugalo golf ni kikubwa sana
Zaipuna nimerekebisha na kumuweka Kimei
Magufuli tumuondoe akae nani ambae jamii inapaswa kuenzi mchango wake kwa mabadiliko
Ni kweli Waitara anafanya makubwa lakini Golf ni mchezo wa watanzania wachache hasa wanaojiweza kiuchumi,

Heshima kwake mzee Waitara
 
Ni kweli Waitara anafanya makubwa lakini Golf ni mchezo wa watanzania wachache hasa wanaojiweza kiuchumi,

Heshima kwake mzee Waitara
Hapa kwenye wanaojiweza ndipo anapojitahidi kuondoa hiyo dhana kwa Sasa ukienda pale utakuta watoto wadogo wanaotoka familia za kawaida Wana train
Kwa muendelezo ule huenda miaka kadhaa mbeleni tukawa na golfers mashuhuri afrika
 
Nonsense
 
Mwaashambwa huyo no 6 siyo Mtanzania acha kunidanya. Hana hata kitambulisho cha taifa la Tanzania na hatokuja kuwa nacho.
 
Wewe na Lucas Mwashambwa dugu moya! Akili zenu mnazijua wenyewe! MamaSamia2025 umesahau rekodi yako moja ile niliyokutatua marinda ukiwa binti mdogo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…