A. Hawa Watoke
4.Samia Suluhu - Kawapa waarabu Ngorongoro kawatimua wamasai, DP World walitaka kupewa bandari milele na hata huu mkataba wa sasa haijulikani.
7.Ruth Zaipuna, Hapa muweke Charles Kimei, ndie kaleta mapinduzi makubwa
8.George Waitara ( Ana mchango lakini golf ni mchezo wa watanzania wachache tena wale wanaoijiweza mno kiuchumi, mchango wake ni mkubwa lakini umegusa wachache)
9.John Joseph Pombe Magufuli (Huyu alianza kuleta ukabila na Ukanda kuipendelea kupita maelezo Chato, Aliminya sana uhuru wa kuongea yani hata kumiliki channel youtube uwe na milioni 2, Hakuweza kabisa kuvumilia wapinzani kama kina Tundu Lisu)
B. Hawa waingizwe
DIAMOND PLATNUMZ - Kafanya mapinduzi makubwa ya kimuziki, Kaleta chachu kwa wasanii kuwekeza na kufanya biashara, kaleta uhuru kwenye Media, Zamani ukikorofishana na Mtemi wa Clouds fm nyimbo hazisikiki redioni ila siku hizi kuna media nyingi
MAXENCE MELO - Kuanzisha jamii forums apongezwe lakini kuifanya iendelee kuwepo apewe maua yake, Kuna kipindi serikali ilikuwa inataka ip adress za watu wanaokosoa vuiongozi wakubwa ili waend tcra wajue namba za simu zinazotumika wakamate wahusika, Max aliwagomea kwamba ni privacy lakini haikua rahisi, aliwekewa kesi nyingi alinyanyaswa na polisi, n.k. Kuna kipindi ilibaki kidogo hii jamiiforums ifungwe, Kwa msaada wa wadau, vyama vya haki na balozi za nchi za nje aliweza kulinda privacy za watu humu ndani, Bila hivyo watu wangekamatwa sana humu ndani wangefungwa jela, kuteswa, na mambo kadhaa tuliyoona wakosoaji wakifanyiwa awamu ya tano. pia ni moja wa waasisi wakubwa wa mabadiliko yaliyofanyika kwenye muswada uliopitishwa bungeni wa Privacy za watanania mitandaoni.
4.Samia Suluhu - Kawapa waarabu Ngorongoro kawatimua wamasai, DP World walitaka kupewa bandari milele na hata huu mkataba wa sasa haijulikani.
7.Ruth Zaipuna, Hapa muweke Charles Kimei, ndie kaleta mapinduzi makubwa
8.George Waitara ( Ana mchango lakini golf ni mchezo wa watanzania wachache tena wale wanaoijiweza mno kiuchumi, mchango wake ni mkubwa lakini umegusa wachache)
9.John Joseph Pombe Magufuli (Huyu alianza kuleta ukabila na Ukanda kuipendelea kupita maelezo Chato, Aliminya sana uhuru wa kuongea yani hata kumiliki channel youtube uwe na milioni 2, Hakuweza kabisa kuvumilia wapinzani kama kina Tundu Lisu)
B. Hawa waingizwe
DIAMOND PLATNUMZ - Kafanya mapinduzi makubwa ya kimuziki, Kaleta chachu kwa wasanii kuwekeza na kufanya biashara, kaleta uhuru kwenye Media, Zamani ukikorofishana na Mtemi wa Clouds fm nyimbo hazisikiki redioni ila siku hizi kuna media nyingi
MAXENCE MELO - Kuanzisha jamii forums apongezwe lakini kuifanya iendelee kuwepo apewe maua yake, Kuna kipindi serikali ilikuwa inataka ip adress za watu wanaokosoa vuiongozi wakubwa ili waend tcra wajue namba za simu zinazotumika wakamate wahusika, Max aliwagomea kwamba ni privacy lakini haikua rahisi, aliwekewa kesi nyingi alinyanyaswa na polisi, n.k. Kuna kipindi ilibaki kidogo hii jamiiforums ifungwe, Kwa msaada wa wadau, vyama vya haki na balozi za nchi za nje aliweza kulinda privacy za watu humu ndani, Bila hivyo watu wangekamatwa sana humu ndani wangefungwa jela, kuteswa, na mambo kadhaa tuliyoona wakosoaji wakifanyiwa awamu ya tano. pia ni moja wa waasisi wakubwa wa mabadiliko yaliyofanyika kwenye muswada uliopitishwa bungeni wa Privacy za watanania mitandaoni.