Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Umasikini huzalisha wala rushwa.

Utajaza maofisa Uhamiaji kwenye kambi za wakimbizi ili kudhibiti wahamiaji haramu lakini wao ndiyo huwa mstari wa mbele kuuza haki za uraia kwa wakimbizi.

Mkuu upo?
 
kwann msaidizi wa bimkubwa alipoteuliwa chama tawara burundi kilimpongeza sana? na inasemekana anaongea kirundi na kinyarwanda nimemaliza mm
Phillip Mpango ana miaka 66 mtu aliezaliwa 1972 mwaka huu anatimiza miaka 52.

Wamefungua ‘Pandora box’ ya kueneza chuki na kuwapa watu label mbaya.
 
Duuu!!
Pole sana
 
Mimi nimejaribu sana kufuatilia sababu za chuki dhidi ya Watutsi wanachosema ni kuwa ati "wanaringa" 🤣😂
Watusi ni uzao wa Nilotes people, kwa hiyo wanajiona wao ni bora zaidi kuliko Bantu people. Kujiona kwao bora kunawafanya wawe na upendeleo na ubaguzi dhidi ya wabantu.
Hiyo ndiyo root ya kuchukiwa watusi.
 
dir kuna shida kwenye teuzi
Mns wanaoteuliwa hawachunguzwi kwanza kama zaman ama ♥️ ❤️ 💖 💕 😍 👌 ♥️ ❤️ 💖 💕 😍 nikopalekwawakalaaanakuja
 
Waarabu wasomali hawasemwi. Ngozi nyeusi ni upumbavu mtupu. Barack obama asingepewa uraisi. Bashe? Kizimkazi?
 
Waarabu wasomali hawasemwi. Ngozi nyeusi ni upumbavu mtupu. Barack obama asingepewa uraisi. Bashe? Kizimkazi?
Shida ni hidden agenda walionayo,hakuna mtu mwenye shida nao kama nia yao sio kuleta fujo za kujitenga,wamalawi wako wengi lakini kwa nini mkuu wa majeshi kaongela mikoa ya magharibi au wajaluo wako wengi sana msoma achana na wajaluo wa Tanzania wajaluo wa kenya ila hakuna mwenye shida nao
 
Naomba ufafanuzi. Nani anataka kujitenga? Kwanini hajashughulkkiwa mpaka saasa?
 
Hii habari mitaani inasikika sana ni kama vile wamechelewa kuitangaza hivi.
" tatizo ni pale unapojua kitu tayari unakuwa umeshachelewa"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…