Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sasa ulishindwa nini kuandika hoja zako kama hivi mpaka uanze akili zangu zina majipu? Nimekudharau sana.
 
Sasa ulishindwa nini kuandika hoja zako kama hivi mpaka uanze akili zangu zina majipu? Nimekudharau sana.
Alikuwa wapi
Ulishindwa nini

Huwezi kuwa unawaza sahihi si bure.

Sitafuti kutukuzwa ndugu. Mimi sijakupuuza lakini nakuangalia kwa tahadhari kubwa
 
Usalama wazawa uliishia enzi ya Mkapa, enzi ya mwalimu TISS was real.

Recruitement ya TISS kwa sasa ni ya mchongo; full connection , zamani TISS ilikuwa ina focus kwenye intelligence na smartness bila ya kujali wewe ni wanani

Vijana wa TISS wa sasa ni wa kushinda Bar ,wengine ni form 4 failures


Unakuta hata kizimkazi anaweza kuwa na vijana wake hawana uwezo but aka recommend waingie TISS kama ilivokuwa kwa Ngosha, ngosha alikuwa anapeleka vijana TISS bila stages za vetting kukamilika

Mkwere alikuwa anaingiza vijana TISS based na ushikaji
Tanzania kupo uchi sana

The only way ni kuiondoa CCM. Madarakani to change all regimes

Shida , upinzani upi wa kuiondoa CCM ?

Kama ni huu wa mbowe na zito kabwe,
………. I am done , it will never happen
 
Umenena vyema ila tatizo sio PK tu bali huo ukanda wote wa Burundi, Rwanda na DRC una watu wapumbavu sana wenye roho za kinyama. Mikoa mingine ya pembezoni ina wahamiaji wengi lakini si unaona hata CDF hajaitaja? Sumbawanga pale pamejaa wazambia lakini fresh tu maisha yanasonga.
 
Mwishoni mwa Utawala wa awamu ya nne, Serikali si ilitoa uraia kwa warundi zaidi ya 200,000 kwenye kambi za Mishano kule Rukwa?

Kama Serikali wakati huo ilifikia kujitapa kuwa imevunja rekodi ya ukarimu ya UNHCR na kusifiwa....

Hao raia wapya si walikuja kujumuishwa kwenye shughuli za kiraia ikiwemo kuajiriwa Serikalini?

....Hawakupiga kura hawa?

Hawakupewa vitambulisho vya taifa, kupiga kura na pasi za kusafiria?


Hii hoja ya kibaguzi kama ikiendelezwa na hasa kwa hatua hii ya Jeshi kuingilia mambo ya kisiasa, nchi itasambaratika muda si mrefu.
 
Umenena vyema ila kiukweli hao Burundi, DRC na Rwanda wana roho mbaya. Hakuna nchi watakayoenda wasisumbuliwe. Hapo Zambia wananyanyasika sana wakati kuna watanzania wengi hata vibali hawana lakini wanaishi fresh bila usumbufu.
 
Labda huko ndani wameshindwa wameona walitoe nje..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…