Bashungwa amewahi kuwa Mtendaji wa Mtaa/Kata maeneo ya Manzese kabla ya kuwa Mbunge na WaziriHivi Bashungwa si aliwahi kuwa waziri wa ulinzi ? Na alitembekea kambi zote ? Na anajua maeneo nyeti na muhimu et ? Duuuh ngoja nikakijoe nilale
Tulipopata uhuru 1961 ,Mwl Nyerere alifanya jambo la hekma kwamba kila aliyekuwemo ardhi ya Tanganyika usiku huo ni Mtanganyika halali.
Na wakati huo vita na misukosuko na utafutaji wa majiran vilishaleta wahamiaji waliounga tela.
Umakin unatakiwa katika kum define Mtanzania leo. Sio mambo ya pua au rang.
Wahima 2 inawezekana sana mmoja ni mtanzania na mwingine mnyarwanda!
Taadhari ni kwamba kuna Taifa lina hormones nyingi za kujiimarisha kimikakati.
Hivyo nchi zote ilipo jamii hiyo zinajikuta hatarin.
*Ikumbukwe kuna nchi (country)na Taifa(State).
Nchi ni man made*
Huenda kwenye Ucha.... kuna watu wanaundiwa jambo watemweLabda huko ndani wameshindwa wameona walitoe nje..
Ngamia kamba au mnyama?Haiwezekani ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.
Hivi ni kwanini hamuwataji majina?Kuna jamaa alikuwa idara ya wanyamapori baadae akahamia nemc mweupe hivi jina nimesahau. Likizo zake huwa anaenda nchi jirani ya Rwanda. Yupo miaka mingi nchini. Nendeni pale nemc muulizie mtu aliyehamia kutoka idara ya wanyamapori mtanishukuru baadae
Slim anataka kujenga himaya kwa kumega maeneo ya nchi jirani zakeNaomba ufafanuzi. Nani anataka kujitenga? Kwanini hajashughulkkiwa mpaka saasa?
Musukuma Hana Baba , ila ana Mama kiufupi Baba yake hajulikani ila za ndaani kabisa , Mama yake alitoka Geita kwenda Mwanza kusaka maisha , usiku ule pale Geita akakosa sehemu ya kulala akatembea na Watchman flani katika guest flani kwa ajili ya kupata hifadhi na nauli kidogo na pale alishika ujauzito na ndipo akapatikana yeye japo Msukuma hamjui Baba yake Toka mdogo maana alipatikana Mama akiwa safariniMusukuma ni mtusi...hakuna jina la ukoo la musukuma kwenye koo za kisukuma
Umenena vyema.Watanzania tupo warahisi sana kuchezewa akili zenu. Lakini acha tu tuchezewe kwani huwa hatutaki kutafakari. Hivi jambo kama ni hili ni la utekelezaji au ni la kusemea kwenye majukwaa! Tuna idara za usalama, upelelezi na ulinzi.
Kama wamegundua kuna watu wa aina hii kwa nini wasiondolewa kwanza? Rais kila siku ni lazima apewe briefing kuhusu masuala mbali mbali ya nchi, ina maana hawakumwambia huko kwenye vikao?
Kwangu mimi hili ni suala la utekelezaji zaidi na siyo suala la kusemea jukwaani. Otherwise, kuna jambo fishy linataka kufanywa na huu ni mwanzo tu wa kulihalalisha.
Mtusi wa rwanda au burundi?Musukuma ni mtusi...hakuna jina la ukoo la musukuma kwenye koo za kisukuma
KashekuMtusi wa rwanda au burundi?
Umenena vyema.
Kuna watu ambao ni tishio kwa watch 100 kwenye chaguzi hizi zinazoanza wanataka kuminywa.
Km ni kweli hao wakimbizi wapo tunavyombo sahihi vya kushugulikia hilo na sio kubwabwaja.
CDF ana nafasi ya kuonana au kuongea na Rais muda wowote kulikuwa hakuna haja ya kuongea kwa sauti kubwa ambayo badala ya kuleta ahueni imetuongezea hofu juu ya usalama wetu.
Huwa wanatengeneza story hizo kuepuka mkono wa sheria.Musukuma Hana Baba , ila ana Mama kiufupi Baba yake hajulikani ila za ndaani kabisa , Mama yake alitoka Geita kwenda Mwanza kusaka maisha , usiku ule pale Geita akakosa sehemu ya kulala akatembea na Watchman flani katika guest flani kwa ajili ya kupata hifadhi na nauli kidogo na pale alishika ujauzito na ndipo akapatikana yeye japo Msukuma hamjui Baba yake Toka mdogo maana alipatikana Mama akiwa safarini
Hizi ni story za ndani kabisa
Jeshi halijaingilia siasa. Wahamiaji haramu ni suala la kiulinzi na usalama.Mwishoni mwa Utawala wa awamu ya nne, Serikali si ilitoa uraia kwa warundi zaidi ya 200,000 kwenye kambi za Mishano kule Rukwa?
Kama Serikali wakati huo ilifikia kujitapa kuwa imevunja rekodi ya ukarimu ya UNHCR na kusifiwa....
Hao raia wapya si walikuja kujumuishwa kwenye shughuli za kiraia ikiwemo kuajiriwa Serikalini?
....Hawakupiga kura hawa?
Hawakupewa vitambulisho vya taifa, kupiga kura na pasi za kusafiria?
Hii hoja ya kibaguzi kama ikiendelezwa na hasa kwa hatua hii ya Jeshi kuingilia mambo ya kisiasa, nchi itasambaratika muda si mrefu.
Ku.be kuna watusi wa kyaka, okBashiru ni mtusi? Inawezekana maana ni wa Kyaka