Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tulipopata uhuru 1961 ,Mwl Nyerere alifanya jambo la hekma kwamba kila aliyekuwemo ardhi ya Tanganyika usiku huo ni Mtanganyika halali.
Na wakati huo vita na misukosuko na utafutaji wa majiran vilishaleta wahamiaji waliounga tela.
Umakin unatakiwa katika kum define Mtanzania leo. Sio mambo ya pua au rang.
Wahima 2 inawezekana sana mmoja ni mtanzania na mwingine mnyarwanda!
Taadhari ni kwamba kuna Taifa lina hormones nyingi za kujiimarisha kimikakati.
Hivyo nchi zote ilipo jamii hiyo zinajikuta hatarin.
*Ikumbukwe kuna nchi (country)na Taifa(State).
Nchi ni man made*

Taifa=Nation

State=dola

Country=nchi

Serikali=government
 
Sasa Mimi mwenyewe naanza kuwa na mshaka nawauliza mababu kwetu wapi tulitokea wapi??!;😁😁
 
Kuna jamaa alikuwa idara ya wanyamapori baadae akahamia nemc mweupe hivi jina nimesahau. Likizo zake huwa anaenda nchi jirani ya Rwanda. Yupo miaka mingi nchini. Nendeni pale nemc muulizie mtu aliyehamia kutoka idara ya wanyamapori mtanishukuru baadae
Hivi ni kwanini hamuwataji majina?

Wameawapa nini hao Wanyarwanda?
 
ukweli mchungu ukisifia ukiabudu ccm sio tu unagaiwa uraia unapewa na kitengo, yaani ilikua swala la muda tu, nyerere alikataza ubaguzi ccm wanatunga sheria za kuwabagua watanzania kwa vyama vyao, leo ni rahisi mnyarwanda kupita bila kupingwa akiwa ccm, lakini mtanzania mwenzako amekosea kujaza jina lake unamtoa facken kabisa hii sio ajali ni wabaguzi watu wale.
 
Musukuma ni mtusi...hakuna jina la ukoo la musukuma kwenye koo za kisukuma
Musukuma Hana Baba , ila ana Mama kiufupi Baba yake hajulikani ila za ndaani kabisa , Mama yake alitoka Geita kwenda Mwanza kusaka maisha , usiku ule pale Geita akakosa sehemu ya kulala akatembea na Watchman flani katika guest flani kwa ajili ya kupata hifadhi na nauli kidogo na pale alishika ujauzito na ndipo akapatikana yeye japo Msukuma hamjui Baba yake Toka mdogo maana alipatikana Mama akiwa safarini

Hizi ni story za ndani kabisa
 
Watanzania tupo warahisi sana kuchezewa akili zenu. Lakini acha tu tuchezewe kwani huwa hatutaki kutafakari. Hivi jambo kama ni hili ni la utekelezaji au ni la kusemea kwenye majukwaa! Tuna idara za usalama, upelelezi na ulinzi.

Kama wamegundua kuna watu wa aina hii kwa nini wasiondolewa kwanza? Rais kila siku ni lazima apewe briefing kuhusu masuala mbali mbali ya nchi, ina maana hawakumwambia huko kwenye vikao?

Kwangu mimi hili ni suala la utekelezaji zaidi na siyo suala la kusemea jukwaani. Otherwise, kuna jambo fishy linataka kufanywa na huu ni mwanzo tu wa kulihalalisha.
Umenena vyema.
Kuna watu ambao ni tishio kwa watch 100 kwenye chaguzi hizi zinazoanza wanataka kuminywa.
Km ni kweli hao wakimbizi wapo tunavyombo sahihi vya kushugulikia hilo na sio kubwabwaja.
CDF ana nafasi ya kuonana au kuongea na Rais muda wowote kulikuwa hakuna haja ya kuongea kwa sauti kubwa ambayo badala ya kuleta ahueni imetuongezea hofu juu ya usalama wetu.
 
Umenena vyema.
Kuna watu ambao ni tishio kwa watch 100 kwenye chaguzi hizi zinazoanza wanataka kuminywa.
Km ni kweli hao wakimbizi wapo tunavyombo sahihi vya kushugulikia hilo na sio kubwabwaja.
CDF ana nafasi ya kuonana au kuongea na Rais muda wowote kulikuwa hakuna haja ya kuongea kwa sauti kubwa ambayo badala ya kuleta ahueni imetuongezea hofu juu ya usalama wetu.

Kutokuwa na hofu kwa kutoambiwa kuna tatizo hakupunguzi ukubwa wa tatizo. CDF amefanya vizuri sana kulifanya Taifa zima kujua ukubwa wa tatizo. Hii itasaidia watu kutokuwa na maswali mengi Rais atakapochukua dhidi ya wahamiaji haramu ambao wamepewa madaraka, au pia kuuona wazi uzembe wa Rais kama hatachukua hatua.

Fikiria nchi inafikia kuwa na naibu waziri mkuu ambaye ni mhamiaji haramu ambaye hajawahi kuukana uraia wa wazazi wake. Alipokuwa waziri wa madini alifanya jitihada kubwa kuwapokonya leseni Watanzania kwa njia chafu na kuwapa wanyarwanda wenzake. Sasa ni naibu waziri mkuu na waziri wa nishati, je, tunafahamu atafanya nini?
 
Musukuma Hana Baba , ila ana Mama kiufupi Baba yake hajulikani ila za ndaani kabisa , Mama yake alitoka Geita kwenda Mwanza kusaka maisha , usiku ule pale Geita akakosa sehemu ya kulala akatembea na Watchman flani katika guest flani kwa ajili ya kupata hifadhi na nauli kidogo na pale alishika ujauzito na ndipo akapatikana yeye japo Msukuma hamjui Baba yake Toka mdogo maana alipatikana Mama akiwa safarini

Hizi ni story za ndani kabisa
Huwa wanatengeneza story hizo kuepuka mkono wa sheria.
 
Mwishoni mwa Utawala wa awamu ya nne, Serikali si ilitoa uraia kwa warundi zaidi ya 200,000 kwenye kambi za Mishano kule Rukwa?

Kama Serikali wakati huo ilifikia kujitapa kuwa imevunja rekodi ya ukarimu ya UNHCR na kusifiwa....

Hao raia wapya si walikuja kujumuishwa kwenye shughuli za kiraia ikiwemo kuajiriwa Serikalini?

....Hawakupiga kura hawa?

Hawakupewa vitambulisho vya taifa, kupiga kura na pasi za kusafiria?


Hii hoja ya kibaguzi kama ikiendelezwa na hasa kwa hatua hii ya Jeshi kuingilia mambo ya kisiasa, nchi itasambaratika muda si mrefu.
Jeshi halijaingilia siasa. Wahamiaji haramu ni suala la kiulinzi na usalama.

Ukiwa na wahamiaji haramu ambao umewaweka mpaka maeneo nyeti, siku kukitokea kutoelewana na mataifa mengine, wanaweza kutumika dhidi yako.
 
Back
Top Bottom