Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nina mashka sna wee Ni mkimbizi una kula social benefits za kwetu
 
Wabaya Zaid Ni wantarwandaa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Asnte kwa taarifa
 
Hata mimi nilishangaa sana yule general kule Rwanda ambaye pia alikuwa mkuu wa usalama Rwanda.

Jamaa aliwahi kuwa mkuu wa majeshi kule Congo kama sikosei.
 
Hata sijui unaongea vitu gani. Hao watu huwa hawana uzalendo ndo maana nchi haiendelei.
 
Suala siyo asili ya mtu. Bali kuwa na wahamiaji haramu wanaotaka kupoka mamlaka ya nchi. Hatujui dhamira zao.

Hao akina Obama walikuwa wazi, na hawakuwahi kuwa na doa lolote katika kuvunja shetia za nchi. Obama ni raia wa kuzaliwa wa USA, na kwa taratibu za nchi alilazimika kufanya mambo machache tu ya kisheria ili kuukamilisha uraia wake.


Sisi hawa wa kwetu ni shida. Maana kwanza ni waongo. Ukimwuliza Biteko kabila gani, atakuambia ni msukuma!! Wakati siyo kweli. Kama una dhamira njema, kwa nini usikamilishe taratibu zote za kishetia, kama vile kuukana uraia wa wazazi wako, kufanyiwa assessment na jamii juu ya uzalendo wako kwa Tanzania, halafu uwe raia kamili wa Watanzania?

Kwa nini uwadanganye watu kuwa wewe ni msukuma. Halafu umepata cheo, unatumia hicho cheo kuwanufaisha watu wa huko iliko asili yako huku ukiwapora watanzania asilia maeneo yao ya leseni za uchimbaji dhahabu na kuwapa hao watu wa kwenu? Watu wa namna hii hata wakiomba uraia wanatakiwa kinyimwa kwa sababu wameonesha wazi kuwa hawaipendi Tanzania wala watu wake.
 
Biteko ameyatimba sijui kama atasalimika,kashfa ya hekalu la Oysterbay halijaisha linaibuka hili la uhamiaji haramu.
 
Acha kukurupuka nimeandika GGM na sio GSM tumia akili. Kama hujui GGM kaa kimya
 
kwann msaidizi wa bimkubwa alipoteuliwa chama tawara burundi kilimpongeza sana? na inasemekana anaongea kirundi na kinyarwanda nimemaliza mm
Hasa Burundi walishangilia sna kusikia mwezao kapenya Hadi unaibu rais

Sasa HV warundi wengi wamejazana nchini Bila vibali kiwanda Cha Nala cha mbolea dodoma imesheheni warundi had walinzi Nilitezeka sna wakt nawasilisha CV zangu pale
 
Sijapata kuona CDF poyoyo kama huyo.

Alishindwa kukaa na Amiri jeshi Mkuu akampa hizo habari za Kiintelijensia peke yake?

Nimemuona ni fala tu.
Binafsi nimemshanga sna huyu cdf Ana Access ya kuonana na watawla ila eti kaamua kukaa kimya ili aje aonekane shujaa sijui aliwaza nni huyu jamaa ujumbe wake siyo mzuri kwa watawala lzm atafanyiwa kikao Kisha kumlazimisha astaafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…