Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
acheni ushamba!!!

mbona ENGLAND[UINGEREZA] inatawaliwa na MDOSI !!! tena aliishi uapanga,,,mimi nilishawai kunywa nae kahawa!!!!!,,,mbona USA ilitawaliwa na MKENYA OBAMA????,,,,mbona waziri wa zamani wa ulinzi wa USA ALIKUWA MWEUSI?[GENERAL POWEL}...na black woman CONDOLEZA RISE alikuwa waziri wa nini sijui pale kwenye nchi iliyojaa MAPUNGA???,ok tuje kwe2 sisi tunaojiita wazawa!!!,,,wamakonde asilimia kubwa wametoka msumbiji,wahaya uganda,wasukuma cameroon,wajaluo kenya,wamasai kaskazini mwa afriaka,wachagga ethiopia,wapemba wamechanganya na waarabu{mama mwenyewe ana wajomba zake saudi arabia], wangoni afrika kusini,,,yaani wenyeji original wa nchi hii ni WAGOGO peke yake!!!! agweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!
Nina mashka sna wee Ni mkimbizi una kula social benefits za kwetu
 
Tuache utani---
System za serikali zinawajua
Tunajua Saa100 umeanza kumsagia kunguni VP wako Dr Mpango kuwa ni Mrundi. Mpango tunajua hamuivi.
Sasa wewe mguse Mpango kama hatujakufurusha kurudi Oman.
Watz wako wengi sana wenye vinasaba vya ukimbizi
Doto Biteko - Mnyaruanda
Majaliwa - Mmakonde wa Msumbiji
Saa100- Mwarabu wa Oman
General Mkunda fanya hii kazi mwenyewe na intelijensia ya JWTZ uwafurushe hawa wasio na chembe ya huruma na raslimali zetu!
Wabaya Zaid Ni wantarwandaa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tuanza na Upendo Peneza ni Mnyarwanda,pale Geita kuna wanyarwanda wengi sana,serekali kama wako serious waanze na ule mkoa,unafanya kazi na mdada pale GGM ghafla unashangaa unachangishwa mchango wa Harusi anaolewa Kigali kisha unaambiwa ni Mnyarwanda....waanze na Upendo Peneza na kaka yake Baraka
Asnte kwa taarifa
 
Hapa ndiyo mtaelewa kwanini unasikia jamaa ni generali wa kundi fulani la waasi nchini Kongo halafu unakuta ghafla kapotea halafu akiibuka ni generali wa kikosi fulani nchi fulani.
Au ni generali wa kikosi fulani nchini Congo, ghafla anakuwa amehamia nchi fulani kujiunga na Jeshi la kulipwa au alikua nchi fulani mara anahamia kikosi fulani cha waasi kupigana vita ya kulipwa.
Hata mimi nilishangaa sana yule general kule Rwanda ambaye pia alikuwa mkuu wa usalama Rwanda.

Jamaa aliwahi kuwa mkuu wa majeshi kule Congo kama sikosei.
 
Mimi ni mtanzania halisi, vizazi na vizazi. lakini wakati mwingine ninaamini hii dunia sio ya mtu mmoja, ni ya wote, hata Tanzania sio ya kwako peke yako ni ya wote, ni wakoloni tu walitutenganisha hasa sisi waafrika. sasa mtu kama mkimbizi aliyekimbia Rwanda au Burundi miaka ya 60, amekuja hapa akiwa mtu mzima, amezaa watoto, na watoto wamezaa watoto. wamesoma hapa, wamekulia kila kitu hapa, hawajui kwengine kwa kwenda ila hapa, mnataka waende wapi? warudi Rwanda, Burundi au Congo ambako hawajawahi hata kufika na hata wakienda wanafikia hotelini? wangekuwa wanawajua ndugu zao huko labda, au kama wanazipenda hizo nchi labda, ila huko kwenye asili yao hawakujui, hawajawahi kwenda, wengine hata baba zao hawajawahi kwenda, mnataka wafanye nini? wamekua wakijua hapa ndio kwao hawana kwao kwengine wanakokujua, na wamepapenda.

watusi kwa mfano, walianza kukimbilia Tanzania hata kabla ya uhuru kwenye first Hutu Revolution ya mwaka 1952 ambapo wahutu wali rise up against tutsi ambao ndio walikuwa kabila la kifalme Rwanda, kwasababu hiyo watusi wengi sana walikimbilia congo (ndio wale banyamulenge), na wengi walikimbilia Tanzania. ukienda mikoa kama ya kigoma, Tabora, Mwanza hadi Rukwa, kuna watu wenye sura za kitusi kabisa ila babu zao walikuja hapa kabla ya uhuru wa Tanzania, na wameishi wakibaguliwa tangu miaka hiyo hadi leo. mnataka waende wapi? nchi yenyewe hii ya Tanzania mnaishi mnakufa na kuiacha hapahapa, mtu kama haleti madhara, mwacheni. Kina Obama hao mbona baba zao ni wakenya ila wamekuwa marais wa Marekani? mnachotakiwa kufanya ni kuweka vizuri mifumo ya intelijensia ili mtu awe na asili ya moja kwa moja ya hapa Tanzania au la, asilete madhara, kwasababu hakuna guarantee kwamba hao mnaowaona kama ni asili ya wakimbizi ndio wataidhuru nchi, kuna uwezekano threat kubwa ikatoka miongoni mwetu sisi wenyewe tunaojiita wazalendo. dunia hii mmeikuta na mtaiacha, hamjaiumba kwanza ni mali ya Mungu hapa ametuweka kama mifugo tu tuishi, achaeni ubinafsi na ubaguzi.
Hata sijui unaongea vitu gani. Hao watu huwa hawana uzalendo ndo maana nchi haiendelei.
 
Wazee Bila kumsahau mzee wa matusi popoma Ni mtutsi Moja kwa moja

GENTAMYCINE
Mtutsi gani mfupi hivi?
FB_IMG_1704813727031.jpg
 
acheni ushamba!!!

mbona ENGLAND[UINGEREZA] inatawaliwa na MDOSI !!! tena aliishi uapanga,,,mimi nilishawai kunywa nae kahawa!!!!!,,,mbona USA ilitawaliwa na MKENYA OBAMA????,,,,mbona waziri wa zamani wa ulinzi wa USA ALIKUWA MWEUSI?[GENERAL POWEL}...na black woman CONDOLEZA RISE alikuwa waziri wa nini sijui pale kwenye nchi iliyojaa MAPUNGA???,ok tuje kwe2 sisi tunaojiita wazawa!!!,,,wamakonde asilimia kubwa wametoka msumbiji,wahaya uganda,wasukuma cameroon,wajaluo kenya,wamasai kaskazini mwa afriaka,wachagga ethiopia,wapemba wamechanganya na waarabu{mama mwenyewe ana wajomba zake saudi arabia], wangoni afrika kusini,,,yaani wenyeji original wa nchi hii ni WAGOGO peke yake!!!! agweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!
Suala siyo asili ya mtu. Bali kuwa na wahamiaji haramu wanaotaka kupoka mamlaka ya nchi. Hatujui dhamira zao.

Hao akina Obama walikuwa wazi, na hawakuwahi kuwa na doa lolote katika kuvunja shetia za nchi. Obama ni raia wa kuzaliwa wa USA, na kwa taratibu za nchi alilazimika kufanya mambo machache tu ya kisheria ili kuukamilisha uraia wake.


Sisi hawa wa kwetu ni shida. Maana kwanza ni waongo. Ukimwuliza Biteko kabila gani, atakuambia ni msukuma!! Wakati siyo kweli. Kama una dhamira njema, kwa nini usikamilishe taratibu zote za kishetia, kama vile kuukana uraia wa wazazi wako, kufanyiwa assessment na jamii juu ya uzalendo wako kwa Tanzania, halafu uwe raia kamili wa Watanzania?

Kwa nini uwadanganye watu kuwa wewe ni msukuma. Halafu umepata cheo, unatumia hicho cheo kuwanufaisha watu wa huko iliko asili yako huku ukiwapora watanzania asilia maeneo yao ya leseni za uchimbaji dhahabu na kuwapa hao watu wa kwenu? Watu wa namna hii hata wakiomba uraia wanatakiwa kinyimwa kwa sababu wameonesha wazi kuwa hawaipendi Tanzania wala watu wake.
 
Suala siyo asili ya mtu. Bali kuwa na wahamiaji haramu wanaotaka kupoka mamlaka ya nchi. Hatujui dhamira zao.

Hao akina Obama walikuwa wazi, na hawakuwahi kuwa na doa lolote katika kuvunja shetia za nchi. Obama ni raia wa kuzaliwa wa USA, na kwa taratibu za nchi alilazimika kufanya mambo machache tu ya kisheria ili kuukamilisha uraia wake.


Sisi hawa wa kwetu ni shida. Maana kwanza ni waongo. Ukimwuliza Biteko kabila gani, atakuambia ni msukuma!! Wakati siyo kweli. Kama una dhamira njema, kwa nini usikamilishe taratibu zote za kishetia, kama vile kuukana uraia wa wazazi wako, kufanyiwa assessment na jamii juu ya uzalendo wako kwa Tanzania, halafu uwe raia kamili wa Watanzania?

Kwa nini uwadanganye watu kuwa wewe ni msukuma. Halafu umepata cheo, unatumia hicho cheo kuwanufaisha watu wa huko iliko asili yako huku ukiwapora watanzania asilia maeneo yao ya leseni za uchimbaji dhahabu na kuwapa hao watu wa kwenu? Watu wa namna hii hata wakiomba uraia wanatakiwa kinyimwa kwa sababu wameonesha wazi kuwa hawaipendi Tanzania wala watu wake.
Biteko ameyatimba sijui kama atasalimika,kashfa ya hekalu la Oysterbay halijaisha linaibuka hili la uhamiaji haramu.
 
kwahiyo unataka GSM arudi Yemen alafu hizo biashara zake ahamishie Yemen? kwa hela yake mbona anakushangaa hata wewe unayembagua kapuku tu yeye anaweza kuishi popote duniani, wakati wewe hapo utakuwa unaomba Mungu upate hata passport tu ya kusafiri kwenda kenya, na haiwezekani.
Acha kukurupuka nimeandika GGM na sio GSM tumia akili. Kama hujui GGM kaa kimya
 
kwann msaidizi wa bimkubwa alipoteuliwa chama tawara burundi kilimpongeza sana? na inasemekana anaongea kirundi na kinyarwanda nimemaliza mm
Hasa Burundi walishangilia sna kusikia mwezao kapenya Hadi unaibu rais

Sasa HV warundi wengi wamejazana nchini Bila vibali kiwanda Cha Nala cha mbolea dodoma imesheheni warundi had walinzi Nilitezeka sna wakt nawasilisha CV zangu pale
 
Sijapata kuona CDF poyoyo kama huyo.

Alishindwa kukaa na Amiri jeshi Mkuu akampa hizo habari za Kiintelijensia peke yake?

Nimemuona ni fala tu.
Binafsi nimemshanga sna huyu cdf Ana Access ya kuonana na watawla ila eti kaamua kukaa kimya ili aje aonekane shujaa sijui aliwaza nni huyu jamaa ujumbe wake siyo mzuri kwa watawala lzm atafanyiwa kikao Kisha kumlazimisha astaafu
 
Back
Top Bottom