Open school
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 1,158
- 1,746
Ukitegemea uitoe CCM Kwa kupanga foleni ya kupiga kura kwenye Yale masanduku sahau kabisa. Inabidi lifanyike jambo, bila hivyo watatawala mileleCCM lazima itoke ili nchi ikae sawa
Je tunao upinzani wa kuitoa CCM ?
Wana wasiwasi na watusi mpaka nunaweza hisi watusi sio binadamu wa kawaida bali ni aliensKatika wageni wote naona wadau humu mna wasiwasi sana na warwanda [emoji1]
Ova
Kuna mchungaji wa KkKT amekulia kambi ya Bulyankulu Tabora,ni wale wakimbizi walioingia 1970 wengi walibadili majina yaoList ya viongozi ambao si Raia wa Tz.
1. Dotto Biteko
2. Viongozi kazaa hapo GGM
3.
4.
5.
ENDELEA KUTAG
Dah [emoji23]Chunguza mkoa wa Geita. Ndo mana hauishi matukio wengi sio watz pale. Wana roho mbaya haina mfano
Lolote lawezekana.Huyo Hangaya mwenyewe si ni raia wa Oman au?
Mpaka kasema kwa umma wa watanzania kuna zaidi ya mmoja. Na tayari ni threat. Wangeweza mtuliza huyo mmoja bila kelele ila kwakuwa wako kwengi CDF ameona liwe wazi.Au anamaanisha mingopa..
Kwani nani anayeteua nchi hii zaidi yake?Kwani kasema wameteuliwa na Samia?
sie tuwataje, wao wanaowajua badala ya kuwashughulikia hizo ndio kazi yao, sasa mnawatuma kazi za kufagia mijini ili kuepusha magonjwa. job true/ true/Tutaje list ya viongozi ambao si watanzania , ndio wanaoiangusha nchi kimaemdeleo
Na waluguru.Hadi mwenye chama pia anahusishwa kuwa Ni muoman [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila tuseme ukweli watanzania halisi kwa asili Ni wagogo tu
Ila pia wanasemaga malecela nae Ni mkongomani [emoji23][emoji23]
hakuna vetting, ni kujipendekeza kwa kuwaponda wapinzani na kujitwika uchawa uliotukuka, rais akikuona hakuna wakupinga. Utamaduni huu ndio tatizoila kweli ukiangalia kwa makini ni kama unavyosema mkuu. sijui kina nani huwa wanafanya vetting nchi hii!
Msiwe mnapiga kelele bila weledi. Kwa akili yako unadhani Suk aliingia UK kwa njia za panya, halafu akagombea nafasi ya uongozi?Mimi naamini vigezovimezingatiwa na masharti yamefatwa.
Ikiwa tutaanza kukokoa vizazi vya watu vya tatu na na nyuma vya Watanzania basi tutajikuta nusu nzima au zaidi siyo wenye asili ya Tanzania.
Mradi sheria na kanuni za uhamiaji zimefatwa na vetting za kiusalama wamepita hao ni raia tu.
Leo Rishi Sunak ni waziri mkuu w Uingereza, wakifatilia kizazi chake cha tatu nyuma, tutamkuta ana Utanzania.
Loh! Kumbe Faiza kichwani una mpungufu ya kiasi hicho?Itabidisheria m[pya zitungwe? Maana kwa sheria za sasa za Tanzania itabidi nusu au zaidi ya Watanzania waondoke.
Mimi Mtanganyiika, nirudisheni Tanganyika. Sijawahi kuuomba Utanzania wala kuukana Utanganyika wangu na sijawahi kuupinga utawala wa Muingereza. Nirudisheni kwetu Uingereza. Nimezaliwa wakati wa Utawala wa Muingereza.
Benjamin Mkapa alikua siyo Mtanzania, alikua mtu wa Msumbiji lakin akaja kwenye Siasa mpaka akawa Raisi.
Kwaiyo Mimi sioni ajabu kigumu Usalama wa Taifa wawe makini sana kwenye Kufuatilia.
Hizo nchi ulizotaja utawazuwia vipi wasiingie Tanzania?
Au wapo kwa vizazi vingapi hivi sasa?
Kweli mzungu ni mashetani, aliyekuja kuweka hii mipaka ya kijinga kabisa. Kakaa berlin huko juu ya meza akajichorea tu. Tutabaguwana mpaka tuuwane, mipango ya Berlin ya kututawala.
Mkapa mmawia wa Ntwara, vizazi vyake vyote vilivyopo kwenye records.Usimsahau Nyerere na Mkapa, walishaandikwa sana zamani kuwa ni wageni ardhi hii.
Ukimaliza hapo, tuambie kwenu wapi?
Kwani wewe ni mdogo wake na Bi tozo?Hizo nchi ulizotaja utawazuwia vipi wasiingie Tanzania?
Au wapo kwa vizazi vingapi hivi sasa?
Kweli mzungu ni mashetani, aliyekuja kuweka hii mipaka ya kijinga kabisa. Kakaa berlin huko juu ya meza akajichorea tu. Tutabaguwana mpaka tuuwane, mipango ya Berlin ya kututawala.
Na sisi ambao ni wakimbizi ila Hatupo kwenye nafasi zenye maamuzi hatima yetu ipoje ?