Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Una akili sana unapokuwa unajadili hoja zisizo za udini na uCCM.
Upo sahihi sana.
 
Hadi mwenye chama pia anahusishwa kuwa Ni muoman [emoji23][emoji23][emoji23]


Ila tuseme ukweli watanzania halisi kwa asili Ni wagogo tu

Ila pia wanasemaga malecela nae Ni mkongomani [emoji23][emoji23]
Ndio maana wazanzibar wanataka nchi yao kwa fikra kama hizi vipi utakuwa na mapenzi ya kweli na nchi, Angalia wazanzibar walivo na uchungu na nchi yao.. Africa huwezi linganisha na nchi zilizoendelea zenye mifumo thabit
 
Kuna mtu alikuwa ni mfungwa akatumikia kifungo jela kikaisha eti na yeye leo ni Askari kwenye moja ya vyombo vyetu vya ulinzi na usalama tena hivi vikubwa vikubwa . Aibu hii [emoji706]
Mtaje ni nani? Mbona unaandika kimafumbo bado unatumia ID FAKE.. mtaje hapa
 
Doto Biteko! aisee hili linchi halina mwenyewe bhana!
 
Hapana !
Najaribu kuonyesha kwamba kila aliyefuata taratibu zote za sheria inavyotaka ili atambulike kuwa ni raia halali wa Tanzania ana haki zote kupata nafasi yeyote ya uongozi ndani ya Nchi. !
Kasoro urahisi
 
Wana wasiwasi na watusi mpaka nunaweza hisi watusi sio binadamu wa kawaida bali ni aliens
Watusi si watu wa mchezo mchezo
Wale jamaa wamekuja duniani kutaka
Power tu
Wale syo watu wa kukata mauno mauno
Na kama huko mbeleni wataitawala afrika mashariki yote Acha watawale tu

Ova
 
Tuchukulie kuwa potea potea itazidi hivi karibuni.

Siioni sababu nyingine ya kuwa muwazi namna ile, mpaka inatisha. mambo mazitp sana yale kwa usalama wa Taifa.

Tusubiri tu poteapotea na fichaficha mpaka kieleweke.
Mbona mnawasiwasi sana na watusi
[emoji1]
Acha waje wawatawale waongoze
Tu

Ova
 
beteko--tutsi,bashe,kinana-shabab nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…