residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Itabidisheria m[pya zitungwe? Maana kwa sheria za sasa za Tanzania itabidi nusu au zaidi ya Watanzania waondoke.
Mimi Mtanganyiika, nirudisheni Tanganyika. Sijawahi kuuomba Utanzania wala kuukana Utanganyika wangu na sijawahi kuupinga utawala wa Muingereza. Nirudisheni kwetu Uingereza. Nimezaliwa wakati wa Utawala wa Muingereza.
Polonium zitatembea sana mwaka huu!Hajalopoka,kasema Kwa dhamira na Kwa lengo maalum!
Kuna vitu vinaendelea wajuao ninwenye Siri tu!!
Sisi raia hatuwezi jua!!
Kwanini JWTZ wasichukue nchi kwa muda ili kuondoa magugu ndani ya serikali na kisha wakabifhi nchi kwa Watanzania halisi baada kuandika katiba mpya!We urudi kwenu Rwanda, atutaki wakimbizi
Ndio maana wazanzibar wanataka nchi yao kwa fikra kama hizi vipi utakuwa na mapenzi ya kweli na nchi, Angalia wazanzibar walivo na uchungu na nchi yao.. Africa huwezi linganisha na nchi zilizoendelea zenye mifumo thabitHadi mwenye chama pia anahusishwa kuwa Ni muoman [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila tuseme ukweli watanzania halisi kwa asili Ni wagogo tu
Ila pia wanasemaga malecela nae Ni mkongomani [emoji23][emoji23]
Mtaje ni nani? Mbona unaandika kimafumbo bado unatumia ID FAKE.. mtaje hapaKuna mtu alikuwa ni mfungwa akatumikia kifungo jela kikaisha eti na yeye leo ni Askari kwenye moja ya vyombo vyetu vya ulinzi na usalama tena hivi vikubwa vikubwa . Aibu hii [emoji706]
Kwaiyo ikitokea leo hii Samia akauma shuka Tanzania itaongozwa na mrundi?Philip Mpango Ntibazonkiza
View attachment 2881336Mie kuna mmoja namfahamu...hayupo serikalini ila yuko kwenye taasisi nyeti ya Elimu.....ni mkimbizi toka Burundi anaitwa Isidore Minani...yupo RUCO Iringa.....Sasa ndugu zake wapo Serikali kuu kwa majina tofauti
Mtaje jina.. mbona unaandika as if tunamjua wote andika eneo alipo na jina lakeNamfahamu mmoja ni polisi jamaa ni mnyarwanda ata siku ya Harusi yake alivaa mavazi ya asili ya kitutsi
Doto Biteko! aisee hili linchi halina mwenyewe bhana!Huyo Biteko ni miongoni mwa watu wa kutiliwa mashaka makubwa. Maana kila alipowekwa alijifanya mzalendo sana kwa maneno lakini matendo yake ni mabaya ya kutisha.
Amekuwa Waziri, anawanyang'anya maeneo Watanzania wanayomiliki kihalali na kisheria, halafu anawapa Wanyarwanda wenzake! Ina maana hawapendi Watanzania. Yupo kwaajili ya kuwanufaisha Wanyarwanda wenzake. Na sijui kama dhamira yake inaishia tu hapo kwenye kujinufaisha yeye binafsi na kuwanufaisha wenzake, au huenda kuna makubwa mabaya zaidi anayoyaandaa.
Marehemu Mengi (RIP) alitumia zaidi ya bilioni 15 kufanya utafiti wa dhahabu kwenye vitalu vyake kule Shinyanga. Mara baada ya kufariki, Biteko akaifuta leseni kihuni akampa mnyarwanda mwenzake Evarii anayemtumia kwenye huo uovu maeneo mbalimbali. Familia ya Mengi imehangaika bila mafanikio. Maana huo utajiri anaoupata, sehemu yake anawagawia TISS wa ikulu, hasa wale wanaofanya vetting.
Hata mwenyekiti wa chama ni mkimbiziNina wasiwasi na mwenezi wa chama fulani naye ni mmoja wao.
Kasoro urahisiHapana !
Najaribu kuonyesha kwamba kila aliyefuata taratibu zote za sheria inavyotaka ili atambulike kuwa ni raia halali wa Tanzania ana haki zote kupata nafasi yeyote ya uongozi ndani ya Nchi. !
😂😂Kasoro urahisi
Wazo zuri sana hiliKwanini JWTZ wasichukue nchi kwa muda ili kuondoa magugu ndani ya serikali na kisha wakabifhi nchi kwa Watanzania halisi baada kuandika katiba mpya!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Watusi si watu wa mchezo mchezoWana wasiwasi na watusi mpaka nunaweza hisi watusi sio binadamu wa kawaida bali ni aliens
Mbona mnawasiwasi sana na watusiTuchukulie kuwa potea potea itazidi hivi karibuni.
Siioni sababu nyingine ya kuwa muwazi namna ile, mpaka inatisha. mambo mazitp sana yale kwa usalama wa Taifa.
Tusubiri tu poteapotea na fichaficha mpaka kieleweke.
Inamana watoto wote wameichukua nchiHuyo baba yake ni wa awamu kabla ya yule jamaa wa mtwara.
Oman hakuna mtu mweusiYule bibi kwao ni Oman
Huyu marehemu mnataka kwenda kumfukua?Ako Mungai wakati furani ako na uwaziri wa mambo ya elimu hakuwa mbongo alikuwa raia wa nchi jirani
beteko--tutsi,bashe,kinana-shabab nkKwa mujibu wa mkuu wa majeshi Gen Jacob John Mkunda amemueleza Rais kuwa Kuna wakimbizi wapo Hadi Serikalini na wamepewa nafsi za juu kabisa za kimaamuzi
Hili inashangza na kufikirisha Sana inakuwaje Hadi mkuu wa majeshi anawajua wakimbizi na wameteuliwa na wala hajawasiliana na mamlaka za uteuzi kuzuia uteuzi wao yeye amekaa kimya Hadi leo ndio Kuja kumueleza Rais by suprise.
Mimi najiuliza hivi Rais leo atapata usingizi Kweli? Atakuwa anajiuliza ni Nani huyu nimemteua ambae Ni mkimbizi?
Lazima Rais atapitia mafail yake kwa upya mnk kwa taarifa ya leo wa kamanda wake CDF kusema wasiwasi kuwa unawateua hadi wakimbizi inamaana kwamba wasaidizi wake wanamuingiza Chaka.
Anyway Kama Kuna kiongozi au afsa tunamuhisi siyo mtanzania mwenzetu Basi tumtaje hapa hajui kuwa siyo mwenzetu.
- Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba
Pitieni huu uzi
Kwani mama Abdul ni mweusi.?Oman hakuna mtu mweusi