residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Una akili sana unapokuwa unajadili hoja zisizo za udini na uCCM.
Upo sahihi sana.
Upo sahihi sana.
Itabidisheria m[pya zitungwe? Maana kwa sheria za sasa za Tanzania itabidi nusu au zaidi ya Watanzania waondoke.
Mimi Mtanganyiika, nirudisheni Tanganyika. Sijawahi kuuomba Utanzania wala kuukana Utanganyika wangu na sijawahi kuupinga utawala wa Muingereza. Nirudisheni kwetu Uingereza. Nimezaliwa wakati wa Utawala wa Muingereza.