Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Ana nafasi ya maamuzi Serikalini? Au umeamua Tu kutokutumia akili zako?Jenerali nae si mkimbizi?? Sema kazeeka tu sasa hana madhara; joka la kibisa halina sumu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana nafasi ya maamuzi Serikalini? Au umeamua Tu kutokutumia akili zako?Jenerali nae si mkimbizi?? Sema kazeeka tu sasa hana madhara; joka la kibisa halina sumu.
Kuna wazee wengi walikujaga
Na wakafikia na walikaa sana kwenye kambi ya Nyarugusu wamezaa mitoto
Na watoto wamekulia hapo na wakatoka hapo wengine wafanyabiashara, wanasiasa nk
Ova
Ujinga wa CCM ukiwa na ile kadi yao ni zaidi ya uraia.ccm yenyewe imejaa wakimbizi
Haiwezekani ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.Asalaam aleykum wana Jf.
Leo Mkuu wa Majeshi, General Mkunda amegusia kuwa kuna baadhi ya wakimbizi wameshikilia nafasi nyeti serikalini kulingana na taarifa za kiintelijensia.
Sasa lengo la uzi huu ni kuwarahisishia vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ili kuwabaini wakimbizi wote ambao wameteuliwa kwenye nafasi za maamuzi.
Hii itasaidia kudumisha ulinzi na usalama wa Taifa letu kwani ni hatari sana kukabidhi nafasi nyeti kwa wageni/wakimbizi kwa sababu kuna wale ambao hata kama wameishi miaka 1000 sehemu nyingine, huendelea kuwa wazalendo kwa Taifa lao la asili. Mfano hai ni Mh. PK, Rais wa nchi mojawapo jirani, ambaye ni kama tu alizaliwa na kukulia Uganda, lakini bado kilichotokea wote tunakifahamu.
Kwa wasiofahamu tu ni kwamba huyu Mh. PK alishikilia nafasi nyeti sana katika nchi ya Uganda ikiwemo Mkuu wa kitengo cha Intelijensia Jeshini, lakini bado tu roho yake na akili yake ilikuwa katika nchi yake ya asili!
Chonde chonde kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, siyo kwamba hawa watu hawajulikani, wanafahamika vyema ila kwa sababu ya rushwa na mambo mengine, basi kunakuwa na ile hali ya kufumbia macho.
Naomba kuwasilisha.
View attachment 2879699
Akafuta Michezo shuleni ndio mana team la Taifa kimeo yaani yule Mkenya hovyo sanaAko Mungai wakati furani ako na uwaziri wa mambo ya elimu hakuwa mbongo alikuwa raia wa nchi jirani
Rais usiwazoeshe wanajeshi haya mambo hata wao wanaweza kushikwa tamaa binadamu usimuamini.Ameleta taharuki bila sababu!!! Na anahatarisha Amani na ulinzi mwenyewe!!! Jeshi kuingia siasani ni hatari!!!
Unaziachaje Geita, Kagera, Shinyanga na Katavi?Maeneo ambayo ni target ni zanzibar ( raia wa oman), kigoma , ngara (rwanda na burundi), wahindi, etc
Kamtaja siku nyingi sanaAlikua wapi siku zote kumtaja?
Mrundi anaitwajeKamtaja siku nyingi sana
Sikuwa nafahamu hilo. Asante.Kamtaja siku nyingi sana
Labda wanatafuta mkondo wa kumfikia yule mbunge aliyesema kuna vigogo wana nyumba za B 25 DubaiLeo Mkuu wa Majeshi, General Mkunda amegusia kuwa kuna baadhi ya wakimbizi wameshikilia nafasi nyeti serikalini kulingana na taarifa za kiintelijensia.
Sasa lengo la uzi huu ni kuwarahisishia vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ili kuwabaini wakimbizi wote ambao wameteuliwa kwenye nafasi za maamuzi.