Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kuna jamaa alikuwa idara ya wanyamapori baadae akahamia nemc mweupe hivi jina nimesahau. Likizo zake huwa anaenda nchi jirani ya Rwanda. Yupo miaka mingi nchini. Nendeni pale nemc muulizie mtu aliyehamia kutoka idara ya wanyamapori mtanishukuru baadae
 
Kuna wazee wengi walikujaga
Na wakafikia na walikaa sana kwenye kambi ya Nyarugusu wamezaa mitoto

Na watoto wamekulia hapo na wakatoka hapo wengine wafanyabiashara, wanasiasa nk

Ova
IMG-20240122-WA0042.jpg
 
Asalaam aleykum wana Jf.
Leo Mkuu wa Majeshi, General Mkunda amegusia kuwa kuna baadhi ya wakimbizi wameshikilia nafasi nyeti serikalini kulingana na taarifa za kiintelijensia.
Sasa lengo la uzi huu ni kuwarahisishia vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ili kuwabaini wakimbizi wote ambao wameteuliwa kwenye nafasi za maamuzi.

Hii itasaidia kudumisha ulinzi na usalama wa Taifa letu kwani ni hatari sana kukabidhi nafasi nyeti kwa wageni/wakimbizi kwa sababu kuna wale ambao hata kama wameishi miaka 1000 sehemu nyingine, huendelea kuwa wazalendo kwa Taifa lao la asili. Mfano hai ni Mh. PK, Rais wa nchi mojawapo jirani, ambaye ni kama tu alizaliwa na kukulia Uganda, lakini bado kilichotokea wote tunakifahamu.

Kwa wasiofahamu tu ni kwamba huyu Mh. PK alishikilia nafasi nyeti sana katika nchi ya Uganda ikiwemo Mkuu wa kitengo cha Intelijensia Jeshini, lakini bado tu roho yake na akili yake ilikuwa katika nchi yake ya asili!

Chonde chonde kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, siyo kwamba hawa watu hawajulikani, wanafahamika vyema ila kwa sababu ya rushwa na mambo mengine, basi kunakuwa na ile hali ya kufumbia macho.

Naomba kuwasilisha.

View attachment 2879699
Haiwezekani ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.
 
Hivi Bashungwa si aliwahi kuwa waziri wa ulinzi ? Na alitembekea kambi zote ? Na anajua maeneo nyeti na muhimu et ? Duuuh ngoja nikakijoe nilale
 
Tulipopata uhuru 1961 ,Mwl Nyerere alifanya jambo la hekma kwamba kila aliyekuwemo ardhi ya Tanganyika usiku huo ni Mtanganyika halali.
Na wakati huo vita na misukosuko na utafutaji wa majiran vilishaleta wahamiaji waliounga tela.
Umakin unatakiwa katika kum define Mtanzania leo. Sio mambo ya pua au rang.
Wahima 2 inawezekana sana mmoja ni mtanzania na mwingine mnyarwanda!
Taadhari ni kwamba kuna Taifa lina hormones nyingi za kujiimarisha kimikakati.
Hivyo nchi zote ilipo jamii hiyo zinajikuta hatarin.
*Ikumbukwe kuna nchi (country)na Taifa(State).
Nchi ni man made*
 
Maeneo ambayo ni target ni zanzibar ( raia wa oman), kigoma , ngara (rwanda na burundi), wahindi, etc
 
Leo Mkuu wa Majeshi, General Mkunda amegusia kuwa kuna baadhi ya wakimbizi wameshikilia nafasi nyeti serikalini kulingana na taarifa za kiintelijensia.
Sasa lengo la uzi huu ni kuwarahisishia vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ili kuwabaini wakimbizi wote ambao wameteuliwa kwenye nafasi za maamuzi.
Labda wanatafuta mkondo wa kumfikia yule mbunge aliyesema kuna vigogo wana nyumba za B 25 Dubai
 
Back
Top Bottom