Kosa moja halihalalishi jingine.Alikua wapi siku zote kumtaja?
La muhimu ni kusema ni kweli au siyo kweli kwa kuthibitisha kwa facts.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kosa moja halihalalishi jingine.Alikua wapi siku zote kumtaja?
Katavi, Kagera na Kigomakwa tanzania Tanzania huenda mkoa wa katavi ukaongoza kwa kuwa na watumishi wakimbizi zaid kutoka burundi
wahutu wengi sana wapo kazini
Akili yako ina jipu baya sana.Alikua wapi siku zote kumtaja?
Bahati mbaya zaidi mama hana msuli wa kupambana. Atawaambia tu hili nalo mkalitazameHii habari mitaani inasikika sana ni kama vile wamechelewa kuitangaza hivi.
" tatizo ni pale unapojua kitu tayari unakuwa umeshachelewa"
Anajua hana uwezo kwa hiyo hapo ametoa taarifa kwa wenye nchi, wajue la kufanyaSijapata kuona CDF poyoyo kama huyo.
Alishindwa kukaa na Amiri jeshi Mkuu akampa hizo habari za Kiintelijensia peke yake?
Nimemuona ni fala tu.
Hivi usalama wa Taifa huwa hawahusishwi kwenye kumfahamu mteule wa Rais?
Kama wanahusishwa,je wako chini ya nani?
Mimi ninasikitika huenda kuna jambo haliko sawa hadi umsikie CDF akisema hadharani mambo mazito kiasi hicho!
Wapi nimesema kuwa kwa sababu hajamtaja nyuma anakuwa Mtanzania? Unanilisha maneno.Kwa sababu hakumtaja kabla basi anakua Mtanzania?. Kifungu kipi hicho kinatoa uraia kama utachelewa kutajwa
Nani hyoKuna raia wa tanzania alipata uraisi nchi ya jirani huko
Mipasho? Sipo huko tafuta member mwingine.Akili yako ina jipu baya sana.
Wahi hispitali walitumbue
Ni kwasababu hawawajui hao wakimbizi waliopo kwenye vyombo vya mamuzi. Ni kama kutupa jiwe porini.Swali ni kwanini kasema?
Za ndaaani kabisa, hata mbunge Musukuma, kwa asili, sio mtanzania, ni mtusi kupitia wazazi wakeKwa uzoefu wangu wa nchi hii kuna kitu kinakuja. Kuna watu sio muda mrefu wataangua kilio.
Atakuwa kaongea hadharani kwa malengo maalumu na huenda hata Raisi anajua mpango mzima.Watanzania tupo warahisi sana kuchezewa akili zenu. Lakini acha tu tuchezewe kwani huwa hatutaki kutafakari. Hivi jambo kama ni hili ni la utekelezaji au ni la kusemea kwenye majukwaa! Tuna idara za usalama, upelelezi na ulinzi.
Kama wamegundua kuna watu wa aina hii kwa nini wasiondolewa kwanza? Rais kila siku ni lazima apewe briefing kuhusu masuala mbali mbali ya nchi, ina maana hawakumwambia huko kwenye vikao?
Kwangu mimi hili ni suala la utekelezaji zaidi na siyo suala la kusemea jukwaani. Otherwise, kuna jambo fishy linataka kufanywa na huu ni mwanzo tu wa kulihalalisha.
Huyo mtanambia lini anastaafu.Anajua hana uwezo kwa hiyo hapo ametoa taarifa kwa wenye nchi, wajue la kufanya
Hakuna mipasho.Mipasho? Sipo huko tafuta member mwingine.
Nani huyo?Kuna raia wa tanzania alipata uraisi nchi ya jirani huko
Mmezoea siri siri kibaao hafi wakimbizi mnateuana.Sijapata kuona CDF poyoyo kama huyo.
Alishindwa kukaa na Amiri jeshi Mkuu akampa hizo habari za Kiintelijensia peke yake?
Nimemuona ni fala tu.
Umefikilia nje ya BoxSwali ni kwanini kasema?