Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Asalaam aleykum wana Jf.
Leo Mkuu wa Majeshi, General Mkunda amegusia kuwa kuna baadhi ya wakimbizi wameshikilia nafasi nyeti serikalini kulingana na taarifa za kiintelijensia.
Sasa lengo la uzi huu ni kuwarahisishia vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ili kuwabaini wakimbizi wote ambao wameteuliwa kwenye nafasi za maamuzi.

Hii itasaidia kudumisha ulinzi na usalama wa Taifa letu kwani ni hatari sana kukabidhi nafasi nyeti kwa wageni/wakimbizi kwa sababu kuna wale ambao hata kama wameishi miaka 1000 sehemu nyingine, huendelea kuwa wazalendo kwa Taifa lao la asili. Mfano hai ni Mh. PK, Rais wa nchi mojawapo jirani, ambaye ni kama tu alizaliwa na kukulia Uganda, lakini bado kilichotokea wote tunakifahamu.

Kwa wasiofahamu tu ni kwamba huyu Mh. PK alishikilia nafasi nyeti sana katika nchi ya Uganda ikiwemo Mkuu wa kitengo cha Intelijensia Jeshini, lakini bado tu roho yake na akili yake ilikuwa katika nchi yake ya asili!

Chonde chonde kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, siyo kwamba hawa watu hawajulikani, wanafahamika vyema ila kwa sababu ya rushwa na mambo mengine, basi kunakuwa na ile hali ya kufumbia macho.

Naomba kuwasilisha.

View attachment 2879699
Acha ujinga bro, Mandela na, wapigania Uhuru wa Afrika kusini,waliishi bongo, hapa hapa, na wakatumia passport zetu, wamezaa, hapa, Rais kabila, kasoma UD, ameanza jeshi akiwa jwtz, hata Museveni, muda ulipofika, wakarudi kwao! Sio, ajabu, hizi conspiracy kuwa "Kagame kqpqndikiza watu ndani ya Nchi" Ni, upuuzi, mtupu, hata kama ni kweli, ndio kazi, ya taasisi za kiintelijensia, kamsome, jasusi, Robert Hansen, Kim Philby, hawa walikuwa ma jasusi wa Russia ndani ya USA! Ndio dunia, inavtokiwa, kama kwenye taasisi zenu za u jasusi mmejaza makende ya uvccm,yaliyopata D form four, mnategemea nini!? Lazima mtadukuliwa mpaka makalioni,
TISS yetu ni kama polisi,tunanyanganyana mademu kitaa, wanavimba kwenye baa, vingora vingi balabslani, hawana wanachojua, wenzenu, wana ma jasusi waliobobea, Kama hatuna ma jasusi ndsni ya, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, south afrika, basi, sie ni ngozi, ya tako aisee,
Idara ya u jasusi, inafanyaje kazi bila kupadikiza ma jasusi kila Kona?
Rwanda, ilinunua, software, Kutoka Israel ya kudukua simu za Marais! Ndio, inavyotakiwa, inabidi ujue, jirani zako wanaishi vipi, wanapanga nini,
Kipindi nasoma udasm, miaka ya 80,mwaka wa kwanza mkifika tu, wanakiwepo "agents" Wana pozi, kama, wanafunzi, mnaanza pamoja, wanacheki kama kuna raia wa kigeni, majsusi pamdikizi(illegals), wakiridhika, baada ya muda wanasepa, hutawaona tena!
Illegals hii mbinu ameitumia Sana mrusi ndani ya USA, unapeleka vijana wako Nchi nyingine, wanaijiingiza kwenye mfumo, shuleni, kwenye jamii, wanatsfuta vitambulisho, wanaoa, wanapata watoto,watapata kazi!
Hapo ujue umekwisha
 
Huyu jamaa siyo kabisa! Jenerali atuambie huyu aliingiaje JWTZ wakati alipomaliza Form VI hakuruhusiwa kwenda JKT, halafu alisomeshwa na nani MUHAS!

WIZARA AFYA YAJA NA MPANGO MKAKATI WAKUSADIA WATU WENYE UHITAJI WA VIFAA TIBA SAIDIZI.

View attachment 2880106
View attachment 2880109
Mkurugenzi Msaidizi wa huduma za Tiba kwa Hospital zote hapa nchini luteni kanali Dokta Pius Horumpende Wakati wa Mkutano ulio Wakutanisha wadau mbalimbali wanajishugulisha na wauzaji na utengenezaji wa Vifaa Tiba saidizi wa watu wenye Ulemavu wa Viungo.

Lieutenant Colonel (Dr) PIUS GERALD HORUMPENDE.

Qualifications: (MD) (UDSM - Tanzania), PGD - Med (Bergen - Norway), MSc Med - (Wits – South Africa) Certificate in Bioinformatics & Mol.Bio (Stellenbosch – South Africa), PhD (Infectious Diseases) (TUMA-KCMUCo Moshi -Tanzania).
  • Oct 2016 - Dec 2020

    Doctorate

    Tumaini University Makumira (KCMC) Tanzania/University of Nijmegen, The Netherlands
  • Jan 2010 - Dec 2010

    Diploma

    University of Stellenbosch, Cape Town, South Africa
  • Jan 2007 - Dec 2009

    Masters

    University of The Witwatersrand, Johannesburg, South Africa
  • Jul 2005 - Jul 2006

    Diploma

    University of Bergen, Norway
  • Sep 1993 - Dec 1999

    Bachelors

    University of Dar es Salaam, Tanzania

Honors & Awards​




  • May 1993

    Best Form 6 National Examinations performer for the School

    St. Kizito Seminary, Mafinga, Iringa.

    In high school studying Physics, Chemistry, Biology, Elimu ya Siasa and Basic Applied Mathematics I was the best student in the 1992 Class. I was awarded the Advanced Level Best Student for Sciences of the Mafinga Seminary by the Archbishop Tarcicius Ngalalekumtwa

  • Nov 1987

    Prize-Best Form II National Exams-Western Zone

    Certificate of Best National Form II Performing student

    In Tanzania, there are Form 2 National Examinations done countrywide but assessed Zonally. I was the Best National Form II Examinations performing student in the Western Zone of Tanzania (Regions of Kigoma, Tabora and Shinyanga). I was a student of St. Joseph's Seminary, Ujiji, Kigoma by then.
 
Asalaam aleykum wana Jf.
Leo Mkuu wa Majeshi, General Mkunda amegusia kuwa kuna baadhi ya wakimbizi wameshikilia nafasi nyeti serikalini kulingana na taarifa za kiintelijensia.
Sasa lengo la uzi huu ni kuwarahisishia vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ili kuwabaini wakimbizi wote ambao wameteuliwa kwenye nafasi za maamuzi.

Hii itasaidia kudumisha ulinzi na usalama wa Taifa letu kwani ni hatari sana kukabidhi nafasi nyeti kwa wageni/wakimbizi kwa sababu kuna wale ambao hata kama wameishi miaka 1000 sehemu nyingine, huendelea kuwa wazalendo kwa Taifa lao la asili. Mfano hai ni Mh. PK, Rais wa nchi mojawapo jirani, ambaye ni kama tu alizaliwa na kukulia Uganda, lakini bado kilichotokea wote tunakifahamu.

Kwa wasiofahamu tu ni kwamba huyu Mh. PK alishikilia nafasi nyeti sana katika nchi ya Uganda ikiwemo Mkuu wa kitengo cha Intelijensia Jeshini, lakini bado tu roho yake na akili yake ilikuwa katika nchi yake ya asili!

Chonde chonde kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, siyo kwamba hawa watu hawajulikani, wanafahamika vyema ila kwa sababu ya rushwa na mambo mengine, basi kunakuwa na ile hali ya kufumbia macho.

Naomba kuwasilisha.

View attachment 2879699

Jipe kaz yakufanya iyo waachie wenye ajira yao wafanye kazi yao ww pambana na mizigo yako na familia yako

Sasa unataka kuingilia kaz za
Jwtz
Uhamiaji
Usalama taifa
Tis
Polisi Tz

Sasa km ww unataka kufanya kaz ya vyombo vya usalama vyenyewe vitafanya kaz gan na kwa akili yako ndogo unazani hawawajui watu hao
Kwa akili yako ndogo unazan jwtz na vyombo vingne vya usalama vimetoa taalifa bila kuwa na majina ya wakimbizi wenyewe
 
Mkurugenzi Msaidizi wa huduma za Tiba kwa Hospital zote hapa nchini luteni kanali Dokta Pius Horumpende Wakati wa Mkutano ulio Wakutanisha wadau mbalimbali wanajishugulisha na wauzaji na utengenezaji wa Vifaa Tiba saidizi wa watu wenye Ulemavu wa Viungo.

Lieutenant Colonel (Dr) PIUS GERALD HORUMPENDE.

Qualifications: (MD) (UDSM - Tanzania), PGD - Med (Bergen - Norway), MSc Med - (Wits – South Africa) Certificate in Bioinformatics & Mol.Bio (Stellenbosch – South Africa), PhD (Infectious Diseases) (TUMA-KCMUCo Moshi -Tanzania).
Hilo jina ni la asili ya kitusi
 
Watusi ni uzao wa Nilotes people, kwa hiyo wanajiona wao ni bora zaidi kuliko Bantu people. Kujiona kwao bora kunawafanya wawe na upendeleo na ubaguzi dhidi ya wabantu.
Hiyo ndiyo root ya kuchukiwa watusi.
Mimi nataka kila Mwafrika ajione Bora kwa tabia hiyo ndio maana Mtusi haku hukuliwa Utumwa.

Tuige tabia zao na sio kuwachukia bila sababu.
 
Watanzania tupo warahisi sana kuchezewa akili zenu. Lakini acha tu tuchezewe kwani huwa hatutaki kutafakari. Hivi jambo kama ni hili ni la utekelezaji au ni la kusemea kwenye majukwaa! Tuna idara za usalama, upelelezi na ulinzi.

Kama wamegundua kuna watu wa aina hii kwa nini wasiondolewa kwanza? Rais kila siku ni lazima apewe briefing kuhusu masuala mbali mbali ya nchi, ina maana hawakumwambia huko kwenye vikao?

Kwangu mimi hili ni suala la utekelezaji zaidi na siyo suala la kusemea jukwaani. Otherwise, kuna jambo fishy linataka kufanywa na huu ni mwanzo tu wa kulihalalisha.
Inafikirisha sana
 
Mimi binafsi Imhotep nawapenda sana Watutsi kwa uvumilivu wao kwa ujasiri wao na uchapakazi wao wengi ni wasomi.

Wao ndio wametufundisha kuchapa kazi 24hrs waliifungua ile Rusumo.

Tunawategemea sana itakapozaliwa Serikali ya UNITED AFRIKA.
 
Tuache utani---
System za serikali zinawajua
Tunajua Saa100 umeanza kumsagia kunguni VP wako Dr Mpango kuwa ni Mrundi. Mpango tunajua hamuivi.
Sasa wewe mguse Mpango kama hatujakufurusha kurudi Oman.
Watz wako wengi sana wenye vinasaba vya ukimbizi
Doto Biteko - Mnyaruanda
Majaliwa - Mmakonde wa Msumbiji
Saa100- Mwarabu wa Oman
General Mkunda fanya hii kazi mwenyewe na intelijensia ya JWTZ uwafurushe hawa wasio na chembe ya huruma na raslimali zetu!

Sa100hawezi kuwa wa oman, labda useme makunduchi huko karibu na mombasa
 
Tuache utani---
System za serikali zinawajua
Tunajua Saa100 umeanza kumsagia kunguni VP wako Dr Mpango kuwa ni Mrundi. Mpango tunajua hamuivi.
Sasa wewe mguse Mpango kama hatujakufurusha kurudi Oman.
Watz wako wengi sana wenye vinasaba vya ukimbizi
Doto Biteko - Mnyaruanda
Majaliwa - Mmakonde wa Msumbiji
Saa100- Mwarabu wa Oman
General Mkunda fanya hii kazi mwenyewe na intelijensia ya JWTZ uwafurushe hawa wasio na chembe ya huruma na raslimali zetu!

Anatenguliwa tu , simple like that

Tunaposema Rais apunguziwe power hamuelewi
 
acheni ushamba!!!
Kwa mujibu wa mkuu wa majeshi Gen Jacob John Mkunda amemueleza Rais kuwa Kuna wakimbizi wapo Hadi Serikalini na wamepewa nafsi za juu kabisa za kimaamuzi

Hili inashangza na kufikirisha Sana inakuwaje Hadi mkuu wa majeshi anawajua wakimbizi na wameteuliwa na wala hajawasiliana na mamlaka za uteuzi kuzuia uteuzi wao yeye amekaa kimya Hadi leo ndio Kuja kumueleza Rais by suprise.

Mimi najiuliza hivi Rais leo atapata usingizi Kweli? Atakuwa anajiuliza ni Nani huyu nimemteua ambae Ni mkimbizi?

Lazima Rais atapitia mafail yake kwa upya mnk kwa taarifa ya leo wa kamanda wake CDF kusema wasiwasi kuwa unawateua hadi wakimbizi inamaana kwamba wasaidizi wake wanamuingiza Chaka.

Anyway Kama Kuna kiongozi au afsa tunamuhisi siyo mtanzania mwenzetu Basi tumtaje hapa hajui kuwa siyo mwenzetu.

- Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba

Pitieni huu uzi
mbona ENGLAND[UINGEREZA] inatawaliwa na MDOSI !!! tena aliishi uapanga,,,mimi nilishawai kunywa nae kahawa!!!!!,,,mbona USA ilitawaliwa na MKENYA OBAMA????,,,,mbona waziri wa zamani wa ulinzi wa USA ALIKUWA MWEUSI?[GENERAL POWEL}...na black woman CONDOLEZA RISE alikuwa waziri wa nini sijui pale kwenye nchi iliyojaa MAPUNGA???,ok tuje kwe2 sisi tunaojiita wazawa!!!,,,wamakonde asilimia kubwa wametoka msumbiji,wahaya uganda,wasukuma cameroon,wajaluo kenya,wamasai kaskazini mwa afriaka,wachagga ethiopia,wapemba wamechanganya na waarabu{mama mwenyewe ana wajomba zake saudi arabia], wangoni afrika kusini,,,yaani wenyeji original wa nchi hii ni WAGOGO peke yake!!!! agweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!
 
Back
Top Bottom