Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hao wanajeshi wakimaliza kazi hiyo ndio wale unasikia wanapandishwa vyeo vya nishani sijui na nini tena.
Ogopa sana ukisikia Mwanajeshi anapandishwa cheo[emoji1787][emoji1787]
Hata Syria hii ni Civil War yao ya kwanza, kama kuna nyingine labda uniambie.
Mkuu unajifariji namna hiyo kweli katika dunia hii ya wadhalimu!Sitaki kuamini kuwa hilo ni tukio halisi! Labda ni video ya kutengenezwa.
Mhhhh mbona balaa aisehSijui hii video imeingiaje kwenye simu yangu! Sikumbuki kama nimeshawahi kupakua video kama hiyo.
Hao wanajeshi ni wa nchi gani? Mbona wamekubuhi kwa ukatili?
TAHADHARI: Video hapo chini ina matukio ya kutisha. Usiiangalie kama huna ustahimilivu wa kutazama matukio ya kutisha.
Yoote haya Chanzo chake ni Siasa, Madaraka, uongozi, fedha na Starehe.
Mnasema kweli Mungu yupo?
Mimi ni Mkristo lakini inabidi nianza kufikiria Upya hii Doctrine ya Uungu wake.
Matukio yanayoendelea Duniani na watu wanaojifanya wana Dini ni Ushahidi Kabisa kuwa Duniani hakuna Uwepo wala Udhibiti q Nguvu za Mungu.
Ama Mungu ametutupa Mkono kutokana na Dhambi zetu au Mungu anayedhaniwa Yupo basi ni Bosheni tu.
Sio Kufuru lakini najaribu Kutaka kuona Nguvu za Mungu.
Na Mungu aliyehai Aonekane.
Ifike Mahali Mungu tumwambie Ukweli kama Yeye ni Yehova basi tunamtaka aonekane kwa watu wake.
Huo Ukatiri hata Shetani hawezi fanya hadhara
Ipo haja ya kuwepo siku ya malipo kwa kile kinafanyika , mtu anapigwa chuma ya kichwa kaburi moja watu 200+ hao wote ni wamefanya kosa gani?Sijui hii video imeingiaje kwenye simu yangu! Sikumbuki kama nimeshawahi kupakua video kama hiyo.
Hao wanajeshi ni wa nchi gani? Mbona wamekubuhi kwa ukatili?
TAHADHARI: Video hapo chini ina matukio ya kutisha. Usiiangalie kama huna ustahimilivu wa kutazama matukio ya kutisha.
Vyovyote vile mkuu, hawakupaswa kutenda ukatili mkubwa kiasi hicho.Wadau hii Video ni noma sana aisee. Kuna watu wana Roho ngumu sana. Ila huwezi jua labda na wao walifanyiwa mambo mabaya sana na hawa watu. Tunapaswa kusikiliza na Upande wao hawa.
Wee unadhani IDF akikamata viongozi wa HAMAS atawafanya nini?
Na anasema anaenda kusali sijui kuungama AiseeNa wengine wanaenda kanisani na misikitini🤣🤣
Mkuu, kwa hii comment wewe Great thinker adimu sana humu jukwaani asante sana Mkuu.👊👊Yoote haya Chanzo chake ni Siasa, Madaraka, uongozi, fedha na Starehe.
Mnasema kweli Mungu yupo?
Mimi ni Mkristo lakini inabidi nianza kufikiria Upya hii Doctrine ya Uungu wake.
Matukio yanayoendelea Duniani na watu wanaojifanya wana Dini ni Ushahidi Kabisa kuwa Duniani hakuna Uwepo wala Udhibiti q Nguvu za Mungu.
Ama Mungu ametutupa Mkono kutokana na Dhambi zetu au Mungu anayedhaniwa Yupo basi ni Bosheni tu.
Sio Kufuru lakini najaribu Kutaka kuona Nguvu za Mungu.
Na Mungu aliyehai Aonekane.
Ifike Mahali Mungu tumwambie Ukweli kama Yeye ni Yehova basi tunamtaka aonekane kwa watu wake.
Huo Ukatiri hata Shetani hawezi fanya hadharani.
Hapana mkuu, Acha masihara hakijawahi kutokea kitu kama hiki wala kinachokaribiana hata kidogo, Futa kauli yako. Pamoja na matatizo yetu kadha wa kadha ila watanzania tunapendana sana na angalau tuna ka utu japo shida yetu ni uchawa na njaa tu.CCM kipindi cha mwendazake walifanya unyama zaidi ya huu
Mkuu, Mimi sidhani Waarabu wote ni "makatili". Sijawahi kuwasikia Waarabu wa Misri na wa Dubai wamefanya "ukatili" kama huo karne hii.Mambo ya waarabu hayo huwezi Kuta mataifa civilized yanakua hvo
PengineHii Video ni ya kipindi cha Civil War ya Syria na hao wanaoua wenzao ni ama Jeshi la Assad au Wanamgambo Waasi wa Free Syria Army.
📌🔨unyama hauna mwenyewe.
Hawa ni wanajeshi wa Serikali ya Syria inayoongozwa na Rais Bashar Asad Wakiwauwa Magaidi wa ISIS.Sijui hii video imeingiaje kwenye simu yangu! Sikumbuki kama nimeshawahi kupakua video kama hiyo.
Hao wanajeshi ni wa nchi gani? Mbona wamekubuhi kwa ukatili?
TAHADHARI: Video hapo chini ina matukio ya kutisha. Usiiangalie kama huna ustahimilivu wa kutazama matukio ya kutisha.