Hawa wanajeshi katili ni wa wapi?

Hawa wanajeshi katili ni wa wapi?

Hao wanajeshi wakimaliza kazi hiyo ndio wale unasikia wanapandishwa vyeo vya nishani sijui na nini tena.

Ogopa sana ukisikia Mwanajeshi anapandishwa cheo[emoji1787][emoji1787]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Wasiijulikana wa CCM ni makatili kama hawa tu Azory Gwanda aliuwawa kikatili sana na Balozi wetu fulani alieko huko Southern Rhodesia.
 
Sitaki kuamini kuwa hilo ni tukio halisi! Labda ni video ya kutengenezwa.
Mkuu unajifariji namna hiyo kweli katika dunia hii ya wadhalimu!

Nadhani haufuatilii mambo yanayotendeka hasa nchi za kiarabu.

Watu wanafanyiana ukatili usio na kiwango cha ustaarabu ama haki za binadamu.

Haujawahi ona clips za wanajeshi wa Yemeni, matendo wanayowafanyia wale wanaoonekana kwao wana hatia?

Je haujawahi kuona utekelezwaji wa adhabu ya kifo nchini Saudia?

Ni ukatili wa kutisha zaidi ya huu na clips zipo zimezagaa mitandaoni.
 
Sijui hii video imeingiaje kwenye simu yangu! Sikumbuki kama nimeshawahi kupakua video kama hiyo.

Hao wanajeshi ni wa nchi gani? Mbona wamekubuhi kwa ukatili?

TAHADHARI: Video hapo chini ina matukio ya kutisha. Usiiangalie kama huna ustahimilivu wa kutazama matukio ya kutisha.
Mhhhh mbona balaa aiseh
 
Duniani Kuna unyama mwingi hata sisi yalitokea mengi sana ila naona walinyang'anywa simu zao wakapewa Nokia za kitochi kila mhusika wa viroba
Laiti wangekuwa wanarekodi yale mateso naona hii ingekuwa cha mtoto
 
Wadau hii Video ni noma sana aisee. Kuna watu wana Roho ngumu sana. Ila huwezi jua labda na wao walifanyiwa mambo mabaya sana na hawa watu. Tunapaswa kusikiliza na Upande wao hawa.

Wee unadhani IDF akikamata viongozi wa HAMAS atawafanya nini?
 
Kuna watanzania wanaenda Saudi Arabia kufanya kazi jamanii...
 
Yoote haya Chanzo chake ni Siasa, Madaraka, uongozi, fedha na Starehe.

Mnasema kweli Mungu yupo?

Mimi ni Mkristo lakini inabidi nianza kufikiria Upya hii Doctrine ya Uungu wake.

Matukio yanayoendelea Duniani na watu wanaojifanya wana Dini ni Ushahidi Kabisa kuwa Duniani hakuna Uwepo wala Udhibiti q Nguvu za Mungu.

Ama Mungu ametutupa Mkono kutokana na Dhambi zetu au Mungu anayedhaniwa Yupo basi ni Bosheni tu.

Sio Kufuru lakini najaribu Kutaka kuona Nguvu za Mungu.

Na Mungu aliyehai Aonekane.

Ifike Mahali Mungu tumwambie Ukweli kama Yeye ni Yehova basi tunamtaka aonekane kwa watu wake.

Huo Ukatiri hata Shetani hawezi fanya hadhara

Sijui hii video imeingiaje kwenye simu yangu! Sikumbuki kama nimeshawahi kupakua video kama hiyo.

Hao wanajeshi ni wa nchi gani? Mbona wamekubuhi kwa ukatili?

TAHADHARI: Video hapo chini ina matukio ya kutisha. Usiiangalie kama huna ustahimilivu wa kutazama matukio ya kutisha.
Ipo haja ya kuwepo siku ya malipo kwa kile kinafanyika , mtu anapigwa chuma ya kichwa kaburi moja watu 200+ hao wote ni wamefanya kosa gani?

Duniani hakuna haki haki ipo kwa Mungu, Mungu ametuleta yeye ametubainishia halali na haramu ibaki sisi tufanye, wenye kudhulumu na kudhulumiwa haki yao wataipata
 
Wadau hii Video ni noma sana aisee. Kuna watu wana Roho ngumu sana. Ila huwezi jua labda na wao walifanyiwa mambo mabaya sana na hawa watu. Tunapaswa kusikiliza na Upande wao hawa.

Wee unadhani IDF akikamata viongozi wa HAMAS atawafanya nini?
Vyovyote vile mkuu, hawakupaswa kutenda ukatili mkubwa kiasi hicho.
 
Yoote haya Chanzo chake ni Siasa, Madaraka, uongozi, fedha na Starehe.

Mnasema kweli Mungu yupo?

Mimi ni Mkristo lakini inabidi nianza kufikiria Upya hii Doctrine ya Uungu wake.

Matukio yanayoendelea Duniani na watu wanaojifanya wana Dini ni Ushahidi Kabisa kuwa Duniani hakuna Uwepo wala Udhibiti q Nguvu za Mungu.

Ama Mungu ametutupa Mkono kutokana na Dhambi zetu au Mungu anayedhaniwa Yupo basi ni Bosheni tu.

Sio Kufuru lakini najaribu Kutaka kuona Nguvu za Mungu.

Na Mungu aliyehai Aonekane.

Ifike Mahali Mungu tumwambie Ukweli kama Yeye ni Yehova basi tunamtaka aonekane kwa watu wake.

Huo Ukatiri hata Shetani hawezi fanya hadharani.
Mkuu, kwa hii comment wewe Great thinker adimu sana humu jukwaani asante sana Mkuu.👊👊
 
CCM kipindi cha mwendazake walifanya unyama zaidi ya huu
Hapana mkuu, Acha masihara hakijawahi kutokea kitu kama hiki wala kinachokaribiana hata kidogo, Futa kauli yako. Pamoja na matatizo yetu kadha wa kadha ila watanzania tunapendana sana na angalau tuna ka utu japo shida yetu ni uchawa na njaa tu.
 
Mambo ya waarabu hayo huwezi Kuta mataifa civilized yanakua hvo
Mkuu, Mimi sidhani Waarabu wote ni "makatili". Sijawahi kuwasikia Waarabu wa Misri na wa Dubai wamefanya "ukatili" kama huo karne hii.
 
Sijui hii video imeingiaje kwenye simu yangu! Sikumbuki kama nimeshawahi kupakua video kama hiyo.

Hao wanajeshi ni wa nchi gani? Mbona wamekubuhi kwa ukatili?

TAHADHARI: Video hapo chini ina matukio ya kutisha. Usiiangalie kama huna ustahimilivu wa kutazama matukio ya kutisha.
Hawa ni wanajeshi wa Serikali ya Syria inayoongozwa na Rais Bashar Asad Wakiwauwa Magaidi wa ISIS.
 
Back
Top Bottom