Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Nilisikia ni wakandarasi waliharibu kazi majengo yakaporomoka, nao wanaporomoshwa na AK 47.Sijui hii video imeingiaje kwenye simu yangu! Sikumbuki kama nimeshawahi kupakua video kama hiyo.
Hao wanajeshi ni wa nchi gani? Mbona wamekubuhi kwa ukatili?