Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Ndugu yetu yupo serious na kazi halafu raia wanaleta utaniUkimbishia mleta uzi unalamba tusi lako unakaa pembeni.... Dah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu yetu yupo serious na kazi halafu raia wanaleta utaniUkimbishia mleta uzi unalamba tusi lako unakaa pembeni.... Dah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanza jiandikie lugha yako ya kuzaliwa,tunajua umesoma,lakini ndo hivyo ni wale wale mchongo tu. Ficha uovuHapakua na haja ya kutumia njia hiyo, palikua na possibly nyingine ya kuondoa hio gari hapo bila kuharibu. Mbona hilo tope sio kubwa hivyo
mituinga mingi akili kidogoKwanini wameamua kuharibu hii gari? Taarifa nilizonazo ni kwamba hiyo gari ilikuwa nzima kabisa na ilikuwa imepaki takribani mita 50 kutoka hapo iliponasa.
Yaani mtu kapata hasara ya injini halafu nyie mnakuja kumuongezea hasara ya bodi?
Kweli hii gari ingekuwa ya mwanajeshi au polisi wangeifanya hivi?
View attachment 2834898
Hiyo gari ilibidi waifunge kwenye chasis ndio waitoe
Wanajeshi waliopiga watu Kawe ilitakiwa wakupige wewe ili upate akili.Kwanini wameamua kuharibu hii gari? Taarifa nilizonazo ni kwamba hiyo gari ilikuwa nzima kabisa na ilikuwa imepaki takribani mita 50 kutoka hapo iliponasa.
Yaani mtu kapata hasara ya injini halafu nyie mnakuja kumuongezea hasara ya bodi?
Kweli hii gari ingekuwa ya mwanajeshi au polisi wangeifanya hivi?
Mwenye gari si angeondoa mapema kama ilikuwa rahisi?Hapakua na haja ya kutumia njia hiyo, palikua na possibility nyingine ya kuondoa hio gari hapo bila kuharibu. Mbona hilo tope sio kubwa hivyo
Huna akili.Waonee tu huruma,most of our wanajeshi ni darasa la 7,form 4 & 6 failures. Na wachache waliobaki degree holders na masters hawaruhusiwi kuhoji wala kupinga.
Ndiyo mwisho wa akili yao ilipofikia.Kwanini wameamua kuharibu hii gari? Taarifa nilizonazo ni kwamba hiyo gari ilikuwa nzima kabisa na ilikuwa imepaki takribani mita 50 kutoka hapo iliponasa.
Yaani mtu kapata hasara ya injini halafu nyie mnakuja kumuongezea hasara ya bodi?
Kweli hii gari ingekuwa ya mwanajeshi au polisi wangeifanya hivi?
Hawana akili hao walioitoa hiyo gari na hiyo inakupa picha halisi kuwa watu wetu wengi hawana akili wa maarifa ya kufanya vitu kwa weledi.Mwenye gari si angeondoa mapema kama ilikuwa rahisi?
Yaani pamoja na tofauti kubwa ya kiitikadi btn us, mchango wako huu tupo pamoja, uokoaji wetu ni zero, nguvu nyingi zenye ujinga mwingi, hii gari ingetolewa vema zaidi kama waokoaji wangekua na zana bora kwa kazi za uokoaji, kinachofanyika hapo ni zana moja kutumika kwenye uokoaji wote!,MV BUKOBA ni mawazo ya kipumbavu yaliifanya ile meli izame, na ile picha pekee ilipigwa na journalist aliyetokea Kisumu, bila yeye tusingekua na kumbukumbu yeyoteHapakua na haja ya kutumia njia hiyo, palikua na possibility nyingine ya kuondoa hio gari hapo bila kuharibu. Mbona hilo tope sio kubwa hivyo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Samahani sana mkuu, naomba kuuliza
Hv ww una akili timamu au ni mwendawazimu.?
Unatak wachafuke mkuu[emoji16][emoji16][emoji3482][emoji3482]Justification kwamba askari huwa hawana akili, walishindwa nini kuivuta kwa nyuma kwa kufunga chain kwenye chasis yake
Waliondoa tope mbele ya gari, wangeweza kulivutia hapo.Haya tuambie hilo tope hapo ingetumia njia gani?
Mbona kawaidaaaa sanaa sasa angefanyaje ? Akapambane nabodi...Kwanini wameamua kuharibu hii gari? Taarifa nilizonazo ni kwamba hiyo gari ilikuwa nzima kabisa na ilikuwa imepaki takribani mita 50 kutoka hapo iliponasa.
Yaani mtu kapata hasara ya injini halafu nyie mnakuja kumuongezea hasara ya bodi?
Kweli hii gari ingekuwa ya mwanajeshi au polisi wangeifanya hivi?
Kwanini wameamua kuharibu hii gari? Taarifa nilizonazo ni kwamba hiyo gari ilikuwa nzima kabisa na ilikuwa imepaki takribani mita 50 kutoka hapo iliponasa.
Yaani mtu kapata hasara ya injini halafu nyie mnakuja kumuongezea hasara ya bodi?
Kweli hii gari ingekuwa ya mwanajeshi au polisi wangeifanya hivi?
FICHA UJINGA WAKO
Uhai wa mwanadamu hauwez thaminishwa na kitu chochote kile.
Gari ina thamani gani mbele ya uhai wa mtu? Yaani waokoe gari badala ya watu, hii ni akili au matope?